Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

nimejivika uhusika wa Lulu kwa kesi inayomkabili,nahisi ningekua ni mimi kabla ya hiyo tarehe13 Nov ndugu zangu wangekua wamenizika tayari kwa msongo wa mawazo ila nampongeza kwa kuwa strong mpaka...
2 Reactions
107 Replies
13K Views
Kufuatia tetesi hizo vyombo mbalimbali vya habari na mashabiki wao wameibuka na kuhoji bongo muvi kunani? Maana ni juzi tu Wolper kaibuka na kiben teni leo hii ni Uwoya Sent using Jamii Forums...
1 Reactions
46 Replies
9K Views
Uwoya amedai hajawahikuachana na mumewe Ndikumana ila hawapo pamoja kwa sababu ya mwanaume huyo yupo busy na kazi Pia amesema hamjui Harmo rapa zaidi ya kumsikia mitandaoni na watu wamekuwa...
2 Reactions
24 Replies
10K Views
Kipindi cha FNL kinatazamwa na watu wengi sana. Sasa kuna jamaa mmoja wamemweka pale anajichetuachetua tu kama zezeta, Mara ainame, mara aoneshe mlegezo, atembee kwa kujirusharusha, mara ajirambe...
16 Reactions
122 Replies
24K Views
Kwenye Instagram zao mastaa hao wamepost waki safiri toka dar siku moja na wote wamepost picha wakiwa dubai same day then wote wamepost wakiwa china same place ila hawajapig picha pamoja.. Ambapo...
4 Reactions
82 Replies
25K Views
habari wadau.. hivi wasomi wa kuajiriwa taasisi za uma na private sector.. kipato chao hakiruhusu kufanya harusi za ukweli.. kama ambao hawajaenda shule kina joti wanavyozifanya... je ni vipato...
6 Reactions
43 Replies
8K Views
Sheikh aonesha kutoridhishwa na mwenendo/style anaokwenda nao mwanamziki nguli nchini diamondplatnumz....asema life style yake kwa sasa haiendani kabisa na miongozo ya imani/dini yake ya...
6 Reactions
98 Replies
17K Views
Enzi za mapenzi motomoto
0 Reactions
2 Replies
3K Views
rayctanzania: Unajua nini ! Kwenye maisha usimuogope binadamu mwenzio ila muheshimu tu kama na yeye anakuheshimu lakini ! Maana kuna binadamu wengine wanajihisi kama wao ndio Mungu vile ! Afu...
1 Reactions
70 Replies
11K Views
Yanga Africa Aungurumapo Simba Ohh.. Wapumzike kwa amani.
0 Reactions
1 Replies
944 Views
Habari wakuu, Leo ni siku kubwa ya mchekeshaji wetu maarufu Joti bwana huyu ameamua kufunga pingu za maisha.Ndoa hiyo imefungwa kanisa katoliki Magomeni.Bwana na bibi harusi wamenoga sana...
2 Reactions
98 Replies
30K Views
Diamond Platnumz ni msanii wa 19 Duniani Kati ya wasanii wanaosikilizwa zaidi kwenye kituo cha BBC RADIO LONDON,Uku WizKid toka Nigeria ikishika ya 12. Uku nafasi ya kwanza ipo na Ed Sheeran na...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Kumekuwa na watu hapa wakimkandia marehemu kanumba kwamba alikuwa eti anakabaka ka lulu,kwanza nianze kusema ya kwamba hata bongo movie wengi wanajua mengi na mtaani yanaongelewa,ni kweli lulu ana...
12 Reactions
132 Replies
27K Views
Msanii wa Bongo Movie Irene Uwoya Sasa rasmi amebadili Dini yake ya awali na kuwa Muislamu na kutumia Jina la Sheila. Msanii huyu amechukua uamuzi Huu baada ya kupata bwana Mwenye Imani ya...
0 Reactions
135 Replies
66K Views
Baada ya kukana kwa kipindi kirefu kuwa na ujauzito hatimae aika aonyesha hadharani tumbo lake Inasemekana ni ujauzito wa Nahreel ambaye ni mpenzi wake na pia msanii mwenzie kwenye group la...
1 Reactions
88 Replies
12K Views
Msanii wa muziki mwanamama Lady Jaydee ameyaongea hayo akihojiwa na mtangazaji Jonijoo kwenye now you know
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Harusi ya mchekeshaji mahiri nchini Jotti itaonyeshwa live na Azam Tv kupitia chanel yake ya Sinema Zetu kuanzia saa tatu(3) kamili usiku live kutoka mlimani City. Joti ameahidi burudani na vitu...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Matukio katika picha mchekeshaji joti akiwa na mkewe mtarajiwa kwenye sendoff paty yao. Jumamosi hii ndio harusi babkubwa ndani ya ukumbi wa mlimani city
3 Reactions
86 Replies
22K Views
GAZETI LA GLOBAL PUBLISHER HIVI KARIBUNI LIMEJULISHWA NA MSANII LULU AKA MAMA MAUCHI KWAMBA SI YEYE BALI AKIVAA NGUO NDEFU MAPAJANA MAKALIO YANAWASHWA..KAZI KWAKO WEWE UNAWASHWA NINI UNAENGANGANA...
1 Reactions
74 Replies
45K Views
Back
Top Bottom