talentboy
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 2,101
- 2,051
Sheikh aonesha kutoridhishwa na mwenendo/style anaokwenda nao mwanamziki nguli nchini diamondplatnumz....asema life style yake kwa sasa haiendani kabisa na miongozo ya imani/dini yake ya kiislamu,ni bora ajitangaze tu kuwa yupo upande wa pili.
Ameeleza hayo kwa kurejea ngoma ya mwanamziki huyo inayobamba kwa sasa ya HALELLUJAH...ambapo pia ameelezea tabia yake ya kuvaa misalaba kama wanavyofanya ndugu zetu wa damu wakristu.
Naomba Allah amuongoe diamond kama alivyomuongoa Mzee Yussuf! Amin. Angalia video hapa chini:
Ameeleza hayo kwa kurejea ngoma ya mwanamziki huyo inayobamba kwa sasa ya HALELLUJAH...ambapo pia ameelezea tabia yake ya kuvaa misalaba kama wanavyofanya ndugu zetu wa damu wakristu.
Naomba Allah amuongoe diamond kama alivyomuongoa Mzee Yussuf! Amin. Angalia video hapa chini: