Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

1.Ali Kiba 2.diamond 3.Harmonize 4.jux 5.Aslay 6.Baraka Da Prince 7.Rayvanny 7 .richMavoko 8. Ben Pol 9. Nandy. 10. Barnaba
1 Reactions
6 Replies
7K Views
Hawa wasanii was bongo flava sina Imani kwa sababu naheshimu kazi zao ila inabidi waelekezwa kuhusu jinsi ya kuhimudi uimbaji wao. Nuh Mziwanda, Shilole, Giggy Money na Young D
1 Reactions
17 Replies
2K Views
mkali kutoka tamaduni music wa kuitwa p the mc AKA P mawenge juzi kati kaachia ngoma yake mpya inaitwa NOMA MWANANGU kwangu ni bonge la nyimbo japokua idea yake aloitumia inafanana na ile...
6 Reactions
40 Replies
9K Views
Nimeiona instagram, Diamond ametoa offer ya watoto 10 wakiambatana na wazazi wao kwenda kujumuika na Latifa katika sherehe yake ya kutimiza miaka mitatu ya kuzaliwa. Ninahisi mmoja wa watoto...
4 Reactions
86 Replies
11K Views
Mbunge wa Mbeya Mjini kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi @II Proud Mr II Sugu, akihojiwa na Gazeti la Mwananchi jana ofisini kwao, alikiri wazi kuwa, yeye hana uwezo wa kuandika neno "Zinjanthropus"...
2 Reactions
44 Replies
8K Views
imeanza kufuatilia stori za hawa watu hasa kipindi kile cha msiba namna zilivyo trend kwenye mitandao ya kijamii. Lakini leo nimeshtushwa baada ya kusikia yule mama wa marehemu ameitisha press...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Hii nyimbo mpya ya gigi inayoitwa Kiki ni gigi gigi kanikomesha ukchukia unajipa tabu angalia video utaona Cardi b hamuwezi Gigi nimeamka kukera watu leo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba nimtakie kijana wenu katika safari yake mpya ya kiimani.....hopefully sasa lazima hawe kama diamond Mapenzi ni kitu ingine..
2 Reactions
58 Replies
11K Views
Wanajamvi waandaaji wa Miss Tanzania 2018 tumewapata au tumepatikana? Hebu ona miss Rukwa aliyepatikana anaitwa Florida venance umri miaka 23,
1 Reactions
157 Replies
22K Views
Diamond adaiwa kuwa ame copy na kupaste wimbo wake mpya was baila kutoka wimbo original saans. Alichocopy inadaiwa mavazi na location ya video shoot Hii si mwanzo zingine kama Wimbo wa kidogo (...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za jioni wakuu Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu, ni muda mrefu nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa muziki mtamu na wenye ladha tamu kutoka Africa ya Magharibi(hasa Nigeria. Kiukweli...
1 Reactions
28 Replies
5K Views
Hivi Babra Hassan ana mimba ? Mbona siku hizi amekuwa mkali sana? Kitu kidogo tu akitaniwa anafura redioni na kutoa maneno makali, Anashindwa kwenda sawa na Masoud Kipanya na kufanya kipindi...
6 Reactions
43 Replies
14K Views
Yule presenter maarufu na mwananadada gang,Salama J amezua gumzo mitandaoni baada ya kupost picha ambazo zinaonekana kuwa amechoka,kubwa kabisa ni pale anapoonekana kama busta ya kutaka kifua...
1 Reactions
79 Replies
16K Views
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imesema itatoa amri endapo msanii wa filamu nchini Wema Sepetu atashindwa kuwasilisha uthibitisho wa nyaraka za matibabu yake. Hatua hiyo imetokana...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Nimefatilia sana hawa wasanii wa kike waliopata kuwa na majina makubwa tangu zamani kama Ray C, Mwasiti, Linah, Rachel, Vumilia, Qeen Darlin, Pipi, Shilole, Snura, Vanessa Mdee, Ruby, Maua Sama...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Muimbaji wa muda mrefu wa kwaya ya Ambassadors of Christ, Mr. Nelson Manzi pamoja na mke wake Eunice wamepata mtoto wa kike, taarifa toka kwa ndugu wa karibu wa familia hiyo ametupa habari...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Huyu jamaa kweli ni mwendeshaji mzuri wa kipindi cha Morning Magic akiwa na wenzake akina Kibwana Dachi Mkambala, na Mary Edward. Tatizo lake ni kuongea maneno ya Kingereza kila baada ya...
3 Reactions
30 Replies
9K Views
Awali ya yote naomba nitangaze "mahaba" yangu (decralation of interest) kwa mwanamuziki nyota nchini Ali Kiba, kwamba mimi ni mshabiki wako wa kutupwa. una sauti nzuri, una kipaji cha hali ya juu...
1 Reactions
35 Replies
7K Views
Wakuu huyu jamaa kila igizo lao la futuhi nikiangaliaga namuona kavaa mshati mkubwa unaoweza kufunika hata VITZ 3. Mi mashati yake nikiyaonaga yanachekesha sana mara vifungo vimepishama mikono...
8 Reactions
106 Replies
31K Views
Picha iliozagaa katika mtandao wa facebook, ikimwonyesha mtangazaji mashuhuli wa idhaa ya kiswahili ambae ni raia wa Tanzania; Salim Kikeke imezua mjadala mzito. Picha hiyo ambayo Kikeke...
5 Reactions
193 Replies
54K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…