Asante Mod's kwa kuniachia huru... Ban inauma.
Dada Munalove, kwanza shikamoo, japo najua utaikataa shikamoo yangu, maana mpaka leo bado unaji-bebisha wakati kidali poo ulicheza na shangazi yangu...
Kwa ufupi
Jana Julai 4, 2018 Muna kupitia ukusara wa mtandao wa kijamii wa Instagram liandika baba wa mtoto ni Casto Dickson
Dar es Salaam. Kufuatia sintofahamu kuhusu nani ni baba halisi wa...
Toka jana na leo asubuhi hizi taarifa zimezagaa sana. Tunambiwa mtoto anaumwa yupo Nairobi na kwa namna moja au nyingine nimeguswa ila mpaka sasa sijafahamu huyu mtoto anasumbuliwa na nini...
Wakuu wazima,
Kwanza nitoe pole kwa dada huyu kwa kuondokewa na mwanae.
Ushabiki tuweke pembeni.
Jamani Muna hongera mama pamoja na kuwa wewe ulikuwa Star ila umeweza mlea mwanao katika ile...
kwa wale wazee wanaofuatilia miziki ya hip hop especially trap music nani mkali kati ya hao wawili maana tunabishana sana kitaa
upande wangu naona 21 anajua sana kutokana na ngoma zake mfano...
Wakuu,
Ni wakati wa kumsema huyu dada yetu mcute maana amekuwa bonge la mama.
Haiwezekani miss wenzie wakina K lyn na Faraja Kotta, Nancy wawe mamiss mpaka leo yeye awe bonge nyanya.
Haiingii...
Wadau niaje,e bwana kuna mrembo alikuwa ana-hit sana miaka ya 2006 kwa kushiriki kwenye video za wasanii wa mamtoni,nasikia amekuwa-deported,sasa sijui yupo wapi kwa sasa?
::::deportee - a person...
huyu dada kwanini anakomaa tu na Diamond na sio majizzo aliyezaa nae mtoto wa kwanza? Kama utajiri mbona majizo ana pesa kuliko daimond? Au anafuata jina? Ama sababu Lulu alimtoa kwenye reli na...
Yeah ni kwa mara nyingine tena!!
Leo nataka wale wajuvi wa kufuatilia celebrities uchwara Jenifer na Patrick kanumba hivi hawa watoto Wanasoma kweli? Maana naona daily kutafutiana followers...
XXXTentacion.
MMOJA wa watu wanaotuhumiwa kumwua mwanamuziki wa Marekani, XXXTentacion, aliyetajwa kwa jina la Dedrick Williams, amekamatwa.
Mwanamuziki huyo aliuawa na watu wanaosemekana...
Ukiachana na yule muimba kaswida mwenye aibu aibu nyingi pindi akiwa jukwaani ambaye pia inasemekana ni nyoka wa kibisa Mr Lavalava , mpaka leo sielewi kigezo alichotumia diamond kumsajili huyu...
Msanii TID amesema kuwa utaratibu wa wadau/media kushusha wasanii pale wanapodai maslai yao na kuwapandisha wengine ndio kitu kinaathiri muziki wa Bongo Flava.
Muimbaji huyo ameeleza kuwa kitu...
Mtoto kama huyu alitakiwa awe shule anasoma ikifika saa nne anaenda kunywa uji na wenzake. Lakini ona mambo anayofanya, kweli ana wazazi huyu mtoto?!
Au ndo wale mnasemaga watoto...
Brother Chibu/Simba/Dangote/Sukari ya Warembo/Rais wa WCB/Domo/ Mzee wa TUMEWASHA ngoja niishie hapo.
Sasaaaa hebu sawazishaaaa/Lipa kisasi cha Kiba na Samatta kwa jamii ya Watanzania ili nawe...
Huyu ni msanii kutokea kule kigoma amefanya ngoma kali miaka kadhaa iliyopita nyimbo ya mwisho kufanya vizuri ilikuw ile aliyemshirikisha diamond salima
ila sasa hiv mshkaji anajitahidi kurudi...
Watanzania wengi washamba sana.. Baba Nyerere angefufuka leo nadhani angewatia mboko asilimia 80 ya watanzania wote kwa akili zenu zilizojaa upupu. Mzee nyerere hakuacha taifa la majitu majinga...
Hii ni remix ya wimbo wa Ace Hood wa "ride" ambao model wa Kitanzania Cynthia Masasi ana cameo.....bonyeza hapa YouTube - ACE HOOD - RIDE REMIX (WORLD PREMIRE) RICK ROSS JUELZ TREY
Anaanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.