Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,143
Yule presenter maarufu na mwananadada gang,Salama J amezua gumzo mitandaoni baada ya kupost picha ambazo zinaonekana kuwa amechoka,kubwa kabisa ni pale anapoonekana kama busta ya kutaka kifua kionekane saa sita imegoma kabisa......hii mitandao ya kijamii sasa inatuchosha mana kila siku kunazuka jipya!!