Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kwa kweli hali ya msanii wetu inazid kuwa mbaya mpaka anatia huruma. Show zake nyingi zime~flop mpaka team zari wanamwita Diamond the flopnumz yaani hai ni mbaya. Lakini hii kwa maoni yangu naona...
12 Reactions
107 Replies
15K Views
This was my results... At 47th page...lakini hiyo kitu inayozungumzwa at that page is just recent...'IYENA'.... 47 - 1 = !?? The answer would mean how Di is into you compared to other...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Wengi hamjui wawili hawa walikuwa na ukaribu wa wastani na kuheshimiana ,By then Diamond alikuwa anamtreat kam bro na mkongwe wa kumuonesha njia ukitizama picha zao utagundua kuna viashiria vya...
8 Reactions
36 Replies
12K Views
Umewahi sikia kisa fulani cha 50 Cents kufungiwa kurecord nyimbo yoyote New york City?. Hebu chukulia mfano leo Ney wa mitego ajilipue atunge nyimbo awaimbe wauza madawa wote bongo halafu na wao...
28 Reactions
205 Replies
32K Views
Kufuatia mkutano alioufanya muigizaji Muna Love na waandishi wa habari hapo jana na katika maelezo yake akaanika sauti ya muigizaji mwenziye Steve Nyerere ambayo alimpigia simu muda mfupi baada ya...
0 Reactions
41 Replies
9K Views
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Ijumaa, Julai 20, 2018 inatarajiwa kutoa hukumu katika kesi ya dawa za kulevya inayomkabili muigizaji wa filamu nchini, Wema Sepetu na wenzake wawili. Mrembo...
0 Reactions
119 Replies
23K Views
Waziri mpya na machachari wa mambo ya ndani wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kangi Lugola ametoa maoni yake kuhusiana na wasanii wanaofanya vizuri nchini Diamond na Alikiba. Katika...
3 Reactions
43 Replies
8K Views
1.Ali Kiba 2.diamond 3.Harmonize 4.jux 5.Aslay 6.Baraka Da Prince 7.Rayvanny 7 .richMavoko 8. Ben Pol 9. Nandy. 10. Barnaba
1 Reactions
6 Replies
7K Views
Hawa wasanii was bongo flava sina Imani kwa sababu naheshimu kazi zao ila inabidi waelekezwa kuhusu jinsi ya kuhimudi uimbaji wao. Nuh Mziwanda, Shilole, Giggy Money na Young D
1 Reactions
17 Replies
2K Views
mkali kutoka tamaduni music wa kuitwa p the mc AKA P mawenge juzi kati kaachia ngoma yake mpya inaitwa NOMA MWANANGU kwangu ni bonge la nyimbo japokua idea yake aloitumia inafanana na ile...
6 Reactions
40 Replies
9K Views
Nimeiona instagram, Diamond ametoa offer ya watoto 10 wakiambatana na wazazi wao kwenda kujumuika na Latifa katika sherehe yake ya kutimiza miaka mitatu ya kuzaliwa. Ninahisi mmoja wa watoto...
4 Reactions
86 Replies
11K Views
Mbunge wa Mbeya Mjini kupitia CHADEMA, Joseph Mbilinyi @II Proud Mr II Sugu, akihojiwa na Gazeti la Mwananchi jana ofisini kwao, alikiri wazi kuwa, yeye hana uwezo wa kuandika neno "Zinjanthropus"...
2 Reactions
44 Replies
8K Views
imeanza kufuatilia stori za hawa watu hasa kipindi kile cha msiba namna zilivyo trend kwenye mitandao ya kijamii. Lakini leo nimeshtushwa baada ya kusikia yule mama wa marehemu ameitisha press...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Hii nyimbo mpya ya gigi inayoitwa Kiki ni gigi gigi kanikomesha ukchukia unajipa tabu angalia video utaona Cardi b hamuwezi Gigi nimeamka kukera watu leo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba nimtakie kijana wenu katika safari yake mpya ya kiimani.....hopefully sasa lazima hawe kama diamond Mapenzi ni kitu ingine..
2 Reactions
58 Replies
11K Views
Wanajamvi waandaaji wa Miss Tanzania 2018 tumewapata au tumepatikana? Hebu ona miss Rukwa aliyepatikana anaitwa Florida venance umri miaka 23,
1 Reactions
157 Replies
22K Views
Diamond adaiwa kuwa ame copy na kupaste wimbo wake mpya was baila kutoka wimbo original saans. Alichocopy inadaiwa mavazi na location ya video shoot Hii si mwanzo zingine kama Wimbo wa kidogo (...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za jioni wakuu Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu, ni muda mrefu nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa muziki mtamu na wenye ladha tamu kutoka Africa ya Magharibi(hasa Nigeria. Kiukweli...
1 Reactions
28 Replies
5K Views
Hivi Babra Hassan ana mimba ? Mbona siku hizi amekuwa mkali sana? Kitu kidogo tu akitaniwa anafura redioni na kutoa maneno makali, Anashindwa kwenda sawa na Masoud Kipanya na kufanya kipindi...
6 Reactions
43 Replies
14K Views
Yule presenter maarufu na mwananadada gang,Salama J amezua gumzo mitandaoni baada ya kupost picha ambazo zinaonekana kuwa amechoka,kubwa kabisa ni pale anapoonekana kama busta ya kutaka kifua...
1 Reactions
79 Replies
16K Views
Back
Top Bottom