Unaipa asilimia ngapi hii nyimbo mpya ya P the MC

fundi bishoo

JF-Expert Member
Jun 26, 2018
12,956
22,648
mkali kutoka tamaduni music wa kuitwa p the mc AKA P mawenge
juzi kati kaachia ngoma yake mpya inaitwa NOMA MWANANGU
kwangu ni bonge la nyimbo japokua idea yake aloitumia inafanana na ile aloimba na jux (MIMI)
aiseee huyu jamaa ni nomah hanaga ngoma mbovu
wale wadau wa hip hop fanyeni kuisikiliza na muipe % zake

[HASHTAG]#YUNGTEmpeR[/HASHTAG]
[HASHTAG]#NOMAMWANANGU[/HASHTAG]
 
Bwana mawenge kajitahidi sana kwenye hili song , mimi nampa 80%.

Moja ya ngoma ninayobang nayo kwenye playlist yangu kwa sasa
 
mkali kutoka tamaduni music wa kuitwa p the mc AKA P mawenge
juzi kati kaachia ngoma yake mpya inaitwa NOMA MWANANGU
kwangu ni bonge la nyimbo japokua idea yake aloitumia inafanana na ile aloimba na jux (MIMI)
aiseee huyu jamaa ni nomah hanaga ngoma mbovu
wale wadau wa hip hop fanyeni kuisikiliza na muipe % zake

[HASHTAG]#YUNGTEmpeR[/HASHTAG]
[HASHTAG]#NOMAMWANANGU[/HASHTAG]

Bonge la wimbo.
 
fundi
 
wadau mmegoma mamake hii sio poa
hahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaassasasasasasasasasasasas
 
hahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaassasasasasasasasasasasas


amini hivo mwanangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom