fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 12,956
- 22,648
mkali kutoka tamaduni music wa kuitwa p the mc AKA P mawenge
juzi kati kaachia ngoma yake mpya inaitwa NOMA MWANANGU
kwangu ni bonge la nyimbo japokua idea yake aloitumia inafanana na ile aloimba na jux (MIMI)
aiseee huyu jamaa ni nomah hanaga ngoma mbovu
wale wadau wa hip hop fanyeni kuisikiliza na muipe % zake
[HASHTAG]#YUNGTEmpeR[/HASHTAG]
[HASHTAG]#NOMAMWANANGU[/HASHTAG]
juzi kati kaachia ngoma yake mpya inaitwa NOMA MWANANGU
kwangu ni bonge la nyimbo japokua idea yake aloitumia inafanana na ile aloimba na jux (MIMI)
aiseee huyu jamaa ni nomah hanaga ngoma mbovu
wale wadau wa hip hop fanyeni kuisikiliza na muipe % zake
[HASHTAG]#YUNGTEmpeR[/HASHTAG]
[HASHTAG]#NOMAMWANANGU[/HASHTAG]