The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,424
- 13,386
Wengi hamjui wawili hawa walikuwa na ukaribu wa wastani na kuheshimiana ,By then Diamond alikuwa anamtreat kam bro na mkongwe wa kumuonesha njia ukitizama picha zao utagundua kuna viashiria vya utiifu sana ,hebu tizama kwa umakini :
,hii tabia Diamond anayo sana anajiweka karibu na gari analotaka kuli-overtake kwenye mbio ,rejea urafiki wake na hawa ambao badae aliwapiku na kuwapotezea Alianza na bob junior ,akahamia kwa Mr blue akaenda kwa TID (alikuwa akionekana sana kinondoni studio kwao na jamaa) .
Diamond tatizo lake kubwa linalompelekea kugombana na ma-role model wake ni kwamba kijana kwanza si mlevi wa pombe kiivyo bali mlevi wa totoz sasa bob junior alikuwa mlevi sana ,wakilewa kijana anaiba mademu wa majamaa ,kumbukeni Wema alikuwa demu wa bob junior
lakini kijana akampindua ndo ukawa uhasama ,by the way bad roads leads to beautiful destination ,ili kufanikiwa kuna kipindi lazima ukanyage wengine cha muhimu kuwataka radhi na kutubu kwa allah.
,hii tabia Diamond anayo sana anajiweka karibu na gari analotaka kuli-overtake kwenye mbio ,rejea urafiki wake na hawa ambao badae aliwapiku na kuwapotezea Alianza na bob junior ,akahamia kwa Mr blue akaenda kwa TID (alikuwa akionekana sana kinondoni studio kwao na jamaa) .
Diamond tatizo lake kubwa linalompelekea kugombana na ma-role model wake ni kwamba kijana kwanza si mlevi wa pombe kiivyo bali mlevi wa totoz sasa bob junior alikuwa mlevi sana ,wakilewa kijana anaiba mademu wa majamaa ,kumbukeni Wema alikuwa demu wa bob junior
lakini kijana akampindua ndo ukawa uhasama ,by the way bad roads leads to beautiful destination ,ili kufanikiwa kuna kipindi lazima ukanyage wengine cha muhimu kuwataka radhi na kutubu kwa allah.