Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kwanza kabisa niwapongeze wasafi kwa hatua waliyoipiga kwani sio jambo dogo kwa hatua waliyofikia Wasafi FM ni radio ambayo inapatikana kwa mkoa dar es salaam tu hii ni kutokana na sheria...
2 Reactions
24 Replies
6K Views
Madam original Irene Pancras Uwoya huu mwaka wake kwa kweli maana duh anavimba sana mpaka wasanii wenzake wanatamani hata kumloga ili kumshusha chini na chanzo cha yote haya ni baada ya Irene...
2 Reactions
51 Replies
14K Views
Huu wimbo nimeuangalia mara mbili mbili ameutendea haki na sauti ameitoa kama inavyotakiwa kama ingekua ni American Got Talent basi ningembonyezea GOLDEN BUZZER. Appreciate you Kijana
4 Reactions
23 Replies
8K Views
binafsi nimekuwa nikipata tabu sana kumuweka 1 juu ya mwenzake ben pol anajua kunyonga chorus hali kadharika belle 9 na nyimbo zao sasa embu nisaidieni hapo nani yuko juu zaidi ya mwenzake
0 Reactions
18 Replies
6K Views
SERIKALI wilayani Muheza imetoa muda wa saa 24 vinginevyo italazimika kutumia nguvu ya dola kuwasaka na kuwafikisha mahakamani wananchi wote wa Kijiji cha Songa Kibao Maguzoni waliohusika na wizi...
1 Reactions
52 Replies
9K Views
Early this week Nilipata mshituko mkubwa kuona taarifa E-Newz ya muigizaji wa kichina Jet li anavyoteseja na ugonjwa kwa miaka 10. Tumfahamu jet li ni nani? Anaitwa Li Lianjie kazaliwa 26/4/1963...
8 Reactions
98 Replies
26K Views
Kufuatia huyu Kaka'etu aliyepata heshima kubwa sana kwenye tasnia ya Uandishi wa Habari na Utangazaji nchini kupitia IPP Media, Ambaye pia ni mwalimu wa fani hiyo Chuo Kikuu cha Tumaini kampasi...
0 Reactions
46 Replies
16K Views
Natumaini mko vyema, kuna jambo linajitokeza sana kuhusu wasanii wamikoani sana sana hawa chipukizi kiukweli fikra zao zimetawaliwa nanini au sijui ndio menejimenti za muziki zimewasahau hawa...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Pamoja na umaarufu alionao wema , ni wapi alipokwama hadi anashindwa kuwa na maendeleo?., Amekosa washauri au tatizo ni nini Baadhi ya watu wanadai kuwa wema ameshindwa kutumia umaarufu wake...
11 Reactions
307 Replies
31K Views
Madam original Irene Uwoya milango ya neema inazidi kumfungukia kila kukicha. Club ya Irene Uwoya ambayo itafunguliwa rasmi mwaka huu december 25 itakuwa ni Club kali kuliko night club yoyote ile...
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Mwanamuziki na Muandaaji wa muziki nchini Marekani, Pharrell Williams amemlima barua Rais wa Taifa hilo, Donald Trump inayomtaka asitumie tena wimbo wake wa ‘HAPPY’ kwenye shughuli zake za...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
Wakati Bodi ya Filamu ikiwa imemfungia mwigizaji na mfanyabiashara Wema Sepetu kwa mda usiojulikana kujihusisha na masuala ya filamu, huku Chama cha Waigizaji Wilaya ya Kinondoni (TDFAA)...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
kwa watoto waliozaliwa miaka ya hivi karibuni sio rahisi kumfahamu,labda wam-google. huyu ni moja ya mwana-RnB aliyetamba sana katikati na mwishoni mwa miaka ya "tisaini"(nimeitamka kihenga)...
23 Reactions
71 Replies
14K Views
. The model nailed the Queen's look with her curly white hair and colourful coat, complete with her iconic block-heeled court shoes and the patent black handbag she is always seen carrying...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Beyoncé Giselle Knowles (alizaliwa 4 Septemba 1981), anayefahamika zaidi kwa jina moja Beyoncé pronounced /biˈjɒn.seɪ/ ni mwimbaji wa R & B, mtunzi wa nyimbo, mtayarishaji wa rekodi, mwigizaji na...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Msanii wa muziki wa Bongofleva na Diwani wa Kata ya Mwanga Kaskazini mkoani Kigoma, Crayton Chipando (Baba Levo), amesema kitambi cha Peter Msechu kinatokana na kurogwa. Baba Levo amedai Peter...
4 Reactions
23 Replies
8K Views
Anayejua alipo mwanadada huyu anambie au ndo bangi za kibongo zishammeza
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Mjela jela Papii Kocha hatimaye apata mtoto wa kiume ndani ya muda mfupi tu tangu atoke jela. Ila mpaka sasa bado hatujamjua shemela wetu.
2 Reactions
34 Replies
7K Views
Huyu jamaa Castodickson nitamlaumu milele kwa kumuacha mtoto wake mpaka kaharibika kitabia kwa kuiga mambo ya kiume ume na mbaya zaidi baba yake anamtazama tu. Casto ana mtoto anaitwa Fatuma au...
3 Reactions
47 Replies
9K Views
Licha ya kupitia kwenye mahusiano na wanawake lukuki, Mwanamieleka maarufu duniani, John Cena ameonekana nafsi yake kufedheheka kwa kukosa mtoto. John Cena (41) ambaye ameshapitia kwenye maisha ya...
2 Reactions
34 Replies
10K Views
Back
Top Bottom