Habari wadau wa celebrity Forum.
Niende madani hapo juu. Mmoja wa wasanii wakongwe ktk fani hususan Bongo fleva, Dudu Baya aka Dudu Zuri amehojiwa na sudi Brown wa clouds FM juu ya kumtelekeza...
Jumamosi ya wikii hii nilikuwa Mwanza nikasema ngoja namimi nikahudhulie kwenye tamasha, lakini kwa jinsi nilivoona muitikio ulikuwa mzuri na mapungufu pia yalikuwepo yakutosha, kwa lugha ingine...
Akizindua msimu mpya ya wasafi festival Diamond platnumz amesema mkongwe wa hip hop Dudubaya atapanda stage ya wasafi festival na wakali wengine.
"Nimeongea na uongo ili kuweka wakongwa ambao...
Hello wanaJF Leo nimekuja na historia fupi ya mwanadada
rihanna
Rihanna Robyn Fenty (amezaliwa tar. 20 Februari 1988) ni msanii wa uimbaji wa muziki wa R&B na pop kutoka nchini Barbados...
Nampongeza sana sana kijana huyu..kwa kuyumba sana hapa majuzi ila ameweza yashinda mapito na kurejea tena.
Situation aliyokuwa nayo angeweza kujiingiza katika uraibu wa vileo ..madawa na...
Kuna taarifa za kupotea kwa motto mwengine anasoma shule ya Roman Catholic pale Mabibo maarufu farasi, Matukio haya yanaongezeka lakini hadi sasa hakuna kauli yeyote ya serikali kuhusu kadhia hii...
Anatangaza huku anatabasamu na sometime anacheka cheka
Anatangaza huku kila mara akiwa anachezea chezea Kalamu yake
Anatangaza huku kila mara akiwa ' anachomekea ' maneno yasiyoendana na Habari...
Wanamuziki Billnas na mwenzake Barnaba wameiponda miguu ya dogojanja na kudai kwamba jamaa ana miguu membamba kama chelewa.
Billnas alienda mbali zaidi kwa kudai kwamba jamaa ashukuru Mungu mtoto...
Nimemsikia Rais Magufuli akisema serikali Ina akiba ya Dola za Kimarekani Bilioni 5 zinazoweza kuendesha nchi Kwa takriban miezi sita huku mfanyabiashara MO Dewji akimiliki utajiri wa Dola za...
Nionavyo Mimi
Hii ishu Ya ushoga ni mtego ambao umetegwa kwa walengwa hapo Juu.
Ma Master mind wanajua hakika kuwa Wananchi wa kawaida ambao ni wengi hawapo tayari kuona Suala la Ushoga lina...
Harmonize ameachia hit song amefanya vizuri kwambali inaonekana ile chemistry yakuapamoja na international Artist hapa nikimaanisha Jah Prezah..Huyu jamaa alifanya Collabo na Mondi-Watora Mari...
Kwanza kabisa niwapongeze wasafi kwa hatua waliyoipiga kwani sio jambo dogo kwa hatua waliyofikia
Wasafi FM ni radio ambayo inapatikana kwa mkoa dar es salaam tu hii ni kutokana na sheria...
Madam original Irene Pancras Uwoya huu mwaka wake kwa kweli maana duh anavimba sana mpaka wasanii wenzake wanatamani hata kumloga ili kumshusha chini na chanzo cha yote haya ni baada ya Irene...
Huu wimbo nimeuangalia mara mbili mbili ameutendea haki na sauti ameitoa kama inavyotakiwa kama ingekua ni American Got Talent basi ningembonyezea GOLDEN BUZZER. Appreciate you Kijana
binafsi nimekuwa nikipata tabu sana kumuweka 1 juu ya mwenzake ben pol anajua kunyonga chorus hali kadharika belle 9 na nyimbo zao sasa embu nisaidieni hapo nani yuko juu zaidi ya mwenzake
SERIKALI wilayani Muheza imetoa muda wa saa 24 vinginevyo italazimika kutumia nguvu ya dola kuwasaka na kuwafikisha mahakamani wananchi wote wa Kijiji cha Songa Kibao Maguzoni waliohusika na wizi...
Early this week Nilipata mshituko mkubwa kuona taarifa E-Newz ya muigizaji wa kichina Jet li anavyoteseja na ugonjwa kwa miaka 10.
Tumfahamu jet li ni nani?
Anaitwa Li Lianjie kazaliwa 26/4/1963...
Kufuatia huyu Kaka'etu aliyepata heshima kubwa sana kwenye tasnia ya Uandishi wa Habari na Utangazaji nchini kupitia IPP Media,
Ambaye pia ni mwalimu wa fani hiyo Chuo Kikuu cha Tumaini kampasi...
Natumaini mko vyema, kuna jambo linajitokeza sana kuhusu wasanii wamikoani sana sana hawa chipukizi kiukweli fikra zao zimetawaliwa nanini au sijui ndio menejimenti za muziki zimewasahau hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.