Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Katika kile kinachoonyesha maji yamewafika shingoni Clouds media wametoa kauli nzito kupitia kwenye page ya Shilawadu(hapa nadhani wameamua kuficha aibu kwa kupost bandiko kwenye akaunti ya...
0 Reactions
36 Replies
6K Views
Mama wa burudani hapa nchini anajulikana ni komando binti machozi jide lady jay deeeeee hili halina ubishi Kwa sasa mpaka sisi timu kiba tunajua na tunaunga mkono mapinduzi ya burudani, tamasha...
3 Reactions
23 Replies
4K Views
Vijana kwa kweli wanakimbiza
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Itoshe tu kusema kwamba muziki wa Bongo Fleva umekua na kufika mbali pengine tofauti na ilivyofikiriwa... Miaka ya mwanzoni ya 90 huu muziki ulionekana ni wa kihuni tu, huku muziki wa Congo...
4 Reactions
24 Replies
8K Views
WAKATI masuala ya ushoga yakipingwa kwa nguvu zote hapa nchini, skendo ya aina yake imeikumba serikali baada ya siri kuvuja kuwa mmoja wa viongozi kumi wa juu nchini ni shoga. Habari hizo za...
2 Reactions
152 Replies
36K Views
Msikieni huyu hapa chini... ....
1 Reactions
7 Replies
1K Views
MAMA wa mwanamitindo mwenye jina kubwa Bongo, Hamisa Mobeto, Shufaa Rutiginga ‘Mama Mobeto’, ameibuka na kusema kuwa aliuona umaarufu wa mwanaye mapema tangu alipokuwa na umri mdogo. Akizungumza...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Michelle Obama ametoa siri zake nyingi katika kusanyiko la matukio katika maisha yake kwenye kitabu chake cha "Becoming" Kwenye kitabu hicho, Michelle anasimulia mambo mengi kuhusu maisha yake...
4 Reactions
71 Replies
10K Views
Msanii wa kimataifa kitoka Nigeria,Mr.Flavour amethibitisha kuwa atakuwepo kwenye uzinduzi wa tamasha Konki la wasafi festival 2018 litakalofanyika kesho jumammosi Nov 24,Mtwara. akiongea kupitia...
4 Reactions
63 Replies
8K Views
baada ya fid kuwakandia kwenye tangazo la fiesta jamaa nao wametupa jiwe gizani
5 Reactions
63 Replies
16K Views
Kwa kumbukumbu zangu Efm huwa wanamatamasha mawili KOMAA CONCERT, na MZIKI MNENE, wamefanya kadri ya uwezo wao na mapokeo ni mazuri hasa ukipelekea matamasha yao ni bure kabisa, hawa jamaa...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Tamasha la wasafi festival limefanikiwa Kwa kiwango cha juu.hi inatokana kuwa Na wasanii wenye mvuto Na ushawishi kwenye jamii . Pia artists walio kwenye record label ya wasafi wanajitahidi ku...
1 Reactions
31 Replies
6K Views
Tunajua Joseph Kusaga yupo karibu sana na Diamond (Diamond Karanga, Wasafi media). Pia tunasikia Clouds Media wana beef na Wasafi. Kumbuka Kusaga ni Mkurugenzi wa Clouds na Ruge ni mkurugenzi wa...
0 Reactions
38 Replies
9K Views
Stori: Erick Evarist na Imelda Mtema NYOTA wa Nyimbo za Injili Bongo, Rose Mhando (pichani)amefungukia eneo fupi la maisha yake magumu ambapo alisema amewahi kutekwa kwa bastola na mwanaume...
0 Reactions
35 Replies
31K Views
Baada ya wao kugundua vyuma vimekaza wakaja na kauli mbiu ya "local artists", wakijinasibu kua sasa wamezamilia kuifanya bongo fleva kua ya kimataifa na uzalendo kwanza, sasa matokeo yake yamekua...
25 Reactions
58 Replies
11K Views
Daaah nimesikitika sana baada kuziona hizi taarifa. Hivi madaktari wa Tanzania wanatumia aina gani ya vipimo vipimo vyao ni vya kubahatisha sana. Nakumbuka hata kwa ommidimpozi walituambia...
13 Reactions
102 Replies
14K Views
Kuna time ilifika hakuna msanii anayeangaliwa zaidi ya diamond na alikiba... Nakumbuka Barnaba aliwahi kusikika akisema imefikia wakati hawapewi nafasi ya kusikilizwa. Pia nilimsikia nay wa...
2 Reactions
32 Replies
10K Views
Hivi nyiye mnajuwa alikiba anafaidi sana bifu kuliko Diamond mana asingekuwepo diamond alikiba angekuwa ashapoteya ... sasa hili bifu la Clouds na Wcb wasafi limemuyumbisha Alikiba alikiba...
1 Reactions
2 Replies
854 Views
Hii imevujaa baada ya Adam Mchomvu kulopoka kabla ya tangazo rasmi kutoka afu wakajifanya kupotezea ila ndio ivo kesharopoka.
5 Reactions
157 Replies
22K Views
Msanii mkongwe na asiyesahaulika katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya dudu baya amekivua nguo kituo cha clouds fm kwa kuwaita ni wanafki wakubwa, wanyonyaji wa wasanii, na wenye kuharibia...
23 Reactions
223 Replies
24K Views
Back
Top Bottom