Sasa ndio mtaamini nani mmiliki wa wasafi tv na redio

nzagambadume

JF-Expert Member
Apr 9, 2018
2,430
5,769
Wala nisiende mbali,mmiliki ni Kusaga ,kwenye documents za brela TCRA anatumia jina la mzee tyson ana asilimia 92,diamond ana 8.

Majuzi kuna watu wakawa wanasema hii beef ni ya uongo kutengeneza pesa,beef ya uongo halfu watu wengine wakubali kuitwa hawana marinda?

Kibali kimefutwa mmeamini sasa? Joe Kusaga mwenyewe angekuwa serious na clouds tena show ingepigika tu,Joe hana time nao,Ruge anaumwa waliobaki pale wanyonge hakuna mwenye connection,DAB juzi alikuwa anawachora tu kinyongo bado anacho anajua tangu avamie Clouds umaarufu wake ulianza kuporomoka pale na shilawadu walivyoendelea kumponda mara ananuka mdomo na miguu.

Issue iko hivi kwa wasiojua,clouds media ni mali ya marehemu mzee Kusaga kwa hiyo watoto wote akiwemo Joe Kusaga wana shares wako watano.

Joe akaona baadaye yeye anapiga kazi kubwa at the end of the day kuna kugawana,akaanza juhudi kama kuanzisha Clouds international huko Dubai wapi anakula hasara tu na ni mjanja wa kusoma nyakati alianza kuona Clouds inavyopoteza mvuto thats why akarukia kwa Diamond kutumia jina lake ukweli ni kwamba hela nyingi inaenda kwake.

Kwa wanaojua ndugu wa Joe,ni wajeuri kwelikweli hata Ruge kuna kipindi alidai apewe share asilimia 5 wakakataa so analipwa mshahara tu kwa hiyo kwa kilichotokea leo nafikiri ndugu zake wamepata LESSON KUBWA SANA,hakuna clouds bila Ruge wala Joe Kusaga.

Yes jamaa bado ataendela kula share zake Clouds lakini haweki nguvu yake pale thats why alihamia Dubai nafasi yake ikachukuliwa na Ruge,nafasi ya Ruge ikachukuliwa na Seba Maganga,nafasi ya Seba ikachukuliwa na Shaffih Dauda.

Sasa angalia Seba na Shaffih Dauda walivyopwaya kwenye hii issue, inasikitisha lakini pia inachekesha sana maana ubaya hawa jamaa waliofanyiaga watu huko nyuma ni mkubwa sana.
 
Hili ndiyo tatizo la Mwafrica, taasisi kubwa kama clouds kutengemea mtu mmoja ni ujuha yaani huyo mtu asipo kuwepo inamaana hamna taasisi (clouds)?

Angalia kama Apple muanzilishi alisha kufa kitambo lakini bado kampuni inafanya vizuri..

Niseme sisi hatuna vision au hatuna plan za mbele miaka 50 ijayo tunaangalia kesho itakuaje badala ya kuweka malengo ya mbele..

Poorest Africa
 
Hili ndiyo tatizo la Mwafrica, taasisi kubwa kama clouds kutengemea mtu mmoja ni ujuha yaani huyo mtu asipo kuwepo inamaana hamna taasisi (clouds)?

Angalia kama Apple muanzilishi alisha kufa kitambo lakini bado kampuni inafanya vizuri..

Niseme sisi hatuna vision au hatuna plan za mbele miaka 50 ijayo tunaangalia kesho itakuaje badala ya kuweka malengo ya mbele..

Poorest Africa
msingi wa clouds ilikuwa kupewa favour na serikali na ccm haswa awamu ya nne,unajua hata majukwaa kwenye issue za ccm na promo walikuwa wanapewa prime time,kampuni mama ya clouds iliyo chini ya God kusaga?ilikuwa ni mwendo wa kula mamilioni
Kikwete alitoa studio isaidie wasanii Ruge akataifisha leo imekuwa ya tht,kipindi hicho Ruge anapiga simu anytime kwa waziri au RPC au yeyote yule kukiwa na kizingiti,hii issue ilikuwa ndogo sana kwa Ruge na Joe kusaga sema Joe kaamua kukausha maana anaingiza mamilioni yake wasafi huko,last year DAB alisema iishe saa sita uliona Ruge alivyopambana hadi ikulu kitu kikakesha??/
 
Unachosahau ni
msingi wa clouds ilikuwa kupewa favour na serikali na ccm haswa awamu ya nne,unajua hata majukwaa kwenye issue za ccm na promo walikuwa wanapewa prime time,kampuni mama ya clouds iliyo chini ya God kusaga?ilikuwa ni mwendo wa kula mamilioni
Kikwete alitoa studio isaidie wasanii Ruge akataifisha leo imekuwa ya tht,kipindi hicho Ruge anapiga simu anytime kwa waziri au RPC au yeyote yule kukiwa na kizingiti,hii issue ilikuwa ndogo sana kwa Ruge na Joe kusaga sema Joe kaamua kukausha maana anaingiza mamilioni yake wasafi huko,last year DAB alisema iishe saa sita uliona Ruge alivyopambana hadi ikulu kitu kikakesha??/
Unachosahau ni kwamba, Mzee wa Fitina pale Clouds ni Ruge na sio Joe! Ni Ruge ndie anajua aanzie wapi amalizie wapi, kwahiyo kukosekana kwa Ruge imekuwa bonge la pigo!

That's one but 2; msijifanye hamkumbuki! Hata mwaka jana Fiesta Dar es salaam ilipata msukosuko baada ya Makonda kusema mwisho saa 5 usiku na aliwakomalia hadi dakika ya mwisho wakaja kuokolewa na JPM!

Kwavile mwaka jana walipata backup dakika za mwisho, huenda walidhani na mwaka huu ingekuwa hivyohivyo!
 
Unachosahau ni

Unachosahau ni kwamba, Mzee wa Fitina pale Clouds ni Ruge na sio Joe! Ni Ruge ndie anajua aanzie wapi amalizie wapi, kwahiyo kukosekana kwa Ruge imekuwa bonge la pigo!

That's one but 2; msijifanye hamkumbuki! Hata mwaka jana Fiesta Dar es salaam ilipata msukosuko baada ya Makonda kusema mwisho saa 5 usiku na aliwakomalia hadi dakika ya mwisho wakaja kuokolewa na JPM!
Joe na DAB huko wasafi ni kitu kimoja kama kweli angetaka iendelee wangeyamaliza hukohuko,suninimabie kwamba Joe angeshindwa kuongea na mwakyembembe,sirro,DAb au Jpm hili suala likaisha
 
wla nisiende mbali,mmiliki ni kusaga ,kwenye documents za brela tcra anatumia jina la mzee tyson ana asilimia 92,diamond ana 8
majuzi kuna watu wakawa wanasema hii beef ni ya uongo kutengeneza pesa,beef ya uongo halfu watu wengine wakubali kuitwa hawana marinda?
kibali kimefutwa mmeamini sasa?joe kusaga mwenyewe angekuwa serious na clouds tena show ingepigika tu,Joe hana time nao,Ruge anaumwa waliobaki pale wanyonge hakuna mwenye connection,DAB juzi alikuwa anawachora tu kinyongo bado ancho anajua tangu avamie clouds umaarufu wake ulianza kuporomoka pale na shilawadu walivyoendelea kumponda mara ananuka mdomo na miguu
Issue iko hivi kwa wasiojua,clouds media ni mali ya marehemu mzee kusaga kwa hiyo watoto wote akiwemo Joe kusaga wana shares wako watano
Joe akaona baadaye yeye anapiga kazi kubwa at the end of the day kuna kugawana,akaanza juhudi kama kuanzisha clouds international huko dubai wapi aanakula hasara tu na ni mjanja wa kusoma nyakati alianza kuona clouds inavyopoteza mvuto thats why akarukia kwa diamond kutumia jina lake ukweli ni kwamba hela nyingi inaenda kwake
kwa wanaojua ndugu wa Joe,ni wajeuri kwelikweli hata Ruge kuna kipindi alidai apewe share asilimia 5 wakakataa so analipwa mshahara tu kwa hiyo kwa kilichotokea leo nafikiri ndugu zake wamepata LESSON KUBWA SANA,hakuna clouds bila Ruge wala Joe kusaga
Yes jamaa bado ataendela kula share zake clouds lakini haweki nguvu yake pale thats why alihamia dubai nafasi yake ikachukuliwa na Ruge,nafasi ya Ruge ikachukuliwa na seba maganga,nafasi ya seba ikachukuliwa na shaffih dauda
sasa angalia Seba na shaffih dauda walivyopwaya kwenye hii issue ,inasikitisha lakini pia inachekesha sana maana ubaya hawa jamaa waliofanyiaga watu huko nyuma ni mkubwa sana
Huu uzi naanza kuuamini
 
wla nisiende mbali,mmiliki ni kusaga ,kwenye documents za brela tcra anatumia jina la mzee tyson ana asilimia 92,diamond ana 8
majuzi kuna watu wakawa wanasema hii beef ni ya uongo kutengeneza pesa,beef ya uongo halfu watu wengine wakubali kuitwa hawana marinda?
kibali kimefutwa mmeamini sasa?joe kusaga mwenyewe angekuwa serious na clouds tena show ingepigika tu,Joe hana time nao,Ruge anaumwa waliobaki pale wanyonge hakuna mwenye connection,DAB juzi alikuwa anawachora tu kinyongo bado ancho anajua tangu avamie clouds umaarufu wake ulianza kuporomoka pale na shilawadu walivyoendelea kumponda mara ananuka mdomo na miguu
Issue iko hivi kwa wasiojua,clouds media ni mali ya marehemu mzee kusaga kwa hiyo watoto wote akiwemo Joe kusaga wana shares wako watano
Joe akaona baadaye yeye anapiga kazi kubwa at the end of the day kuna kugawana,akaanza juhudi kama kuanzisha clouds international huko dubai wapi aanakula hasara tu na ni mjanja wa kusoma nyakati alianza kuona clouds inavyopoteza mvuto thats why akarukia kwa diamond kutumia jina lake ukweli ni kwamba hela nyingi inaenda kwake
kwa wanaojua ndugu wa Joe,ni wajeuri kwelikweli hata Ruge kuna kipindi alidai apewe share asilimia 5 wakakataa so analipwa mshahara tu kwa hiyo kwa kilichotokea leo nafikiri ndugu zake wamepata LESSON KUBWA SANA,hakuna clouds bila Ruge wala Joe kusaga
Yes jamaa bado ataendela kula share zake clouds lakini haweki nguvu yake pale thats why alihamia dubai nafasi yake ikachukuliwa na Ruge,nafasi ya Ruge ikachukuliwa na seba maganga,nafasi ya seba ikachukuliwa na shaffih dauda
sasa angalia Seba na shaffih dauda walivyopwaya kwenye hii issue ,inasikitisha lakini pia inachekesha sana maana ubaya hawa jamaa waliofanyiaga watu huko nyuma ni mkubwa sana
Issue ya clouds ipo complicated sana.
Clouds TV na Clouds FM waulize mitambo waliipata wapi!? Kuna organization fulani mitambo hiyo ilitoka. Ni suala la muda tu. Hayo nayo yataripuka Ruge analijua hilo. Hata vifaa vya THT vilitolewa kwaajili ya wasanii wote.

Kuhusu Wasafi TV taarifa zote zipo wazi TCRA. Kwenye document za TCRA wamilki wapo watatu. Mwanamke mmoja ambaye anasadikika ni mke wa Kusaga 50% Nasibu 48% na mwingine 2%.
Tafuta document za TCRA.
 
Hiyo document ipo wapi
Issue ya clouds ipo complicated sana.
Clouds TV na Clouds FM waulize mitambo waliipata wapi!? Kuna organization fulani mitambo hiyo ilitoka. Ni suala la muda tu. Hayo nayo yataripuka Ruge analijua hilo. Hata vifaa vya THT vilitolewa kwaajili ya wasanii wote.

Kuhusu Wasafi TV taarifa zote zipo wazi TCRA. Kwenye document za TCRA wamilki wapo watatu. Mwanamke mmoja ambaye anasadikika ni mke wa Kusaga 50% Nasibu 48% na mwingine 2%.
Tafuta document za TCRA.
 
msingi wa clouds ilikuwa kupewa favour na serikali na ccm haswa awamu ya nne,unajua hata majukwaa kwenye issue za ccm na promo walikuwa wanapewa prime time,kampuni mama ya clouds iliyo chini ya God kusaga?ilikuwa ni mwendo wa kula mamilioni
Kikwete alitoa studio isaidie wasanii Ruge akataifisha leo imekuwa ya tht,kipindi hicho Ruge anapiga simu anytime kwa waziri au RPC au yeyote yule kukiwa na kizingiti,hii issue ilikuwa ndogo sana kwa Ruge na Joe kusaga sema Joe kaamua kukausha maana anaingiza mamilioni yake wasafi huko,last year DAB alisema iishe saa sita uliona Ruge alivyopambana hadi ikulu kitu kikakesha??/
Mkuu naanza kukuamini hivi
 
wla nisiende mbali,mmiliki ni kusaga ,kwenye documents za brela tcra anatumia jina la mzee tyson ana asilimia 92,diamond ana 8
majuzi kuna watu wakawa wanasema hii beef ni ya uongo kutengeneza pesa,beef ya uongo halfu watu wengine wakubali kuitwa hawana marinda?
kibali kimefutwa mmeamini sasa?joe kusaga mwenyewe angekuwa serious na clouds tena show ingepigika tu,Joe hana time nao,Ruge anaumwa waliobaki pale wanyonge hakuna mwenye connection,DAB juzi alikuwa anawachora tu kinyongo bado ancho anajua tangu avamie clouds umaarufu wake ulianza kuporomoka pale na shilawadu walivyoendelea kumponda mara ananuka mdomo na miguu
Issue iko hivi kwa wasiojua,clouds media ni mali ya marehemu mzee kusaga kwa hiyo watoto wote akiwemo Joe kusaga wana shares wako watano
Joe akaona baadaye yeye anapiga kazi kubwa at the end of the day kuna kugawana,akaanza juhudi kama kuanzisha clouds international huko dubai wapi aanakula hasara tu na ni mjanja wa kusoma nyakati alianza kuona clouds inavyopoteza mvuto thats why akarukia kwa diamond kutumia jina lake ukweli ni kwamba hela nyingi inaenda kwake
kwa wanaojua ndugu wa Joe,ni wajeuri kwelikweli hata Ruge kuna kipindi alidai apewe share asilimia 5 wakakataa so analipwa mshahara tu kwa hiyo kwa kilichotokea leo nafikiri ndugu zake wamepata LESSON KUBWA SANA,hakuna clouds bila Ruge wala Joe kusaga
Yes jamaa bado ataendela kula share zake clouds lakini haweki nguvu yake pale thats why alihamia dubai nafasi yake ikachukuliwa na Ruge,nafasi ya Ruge ikachukuliwa na seba maganga,nafasi ya seba ikachukuliwa na shaffih dauda
sasa angalia Seba na shaffih dauda walivyopwaya kwenye hii issue ,inasikitisha lakini pia inachekesha sana maana ubaya hawa jamaa waliofanyiaga watu huko nyuma ni mkubwa sana
Mange ???
 
Back
Top Bottom