Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wasalaam Kati ya watu au wasanii wenye vipaji hapa nchini vya kuimba ni Aslay.... Aslay anao uwezo mkubwa sana tena sana... Lakini kwa hivi karibuni muziki wake umeanza kuyumba kabisa na hata ile...
8 Reactions
108 Replies
19K Views
Chama cha waigizaji mkoa wa Kinondoni (TDFAA) kimemfungia mwanachama wake Wema Sepetu kujihusisha na masuala ya filamu kwa muda wa miaka miwili. Huo ni mwendelezo wa adhabu kwa mwigizaji huyo...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Ni nani anayemjua vyema huyu ndugu? Nasikia ni Mhubiri, je kanisa lake liko wapi?
4 Reactions
517 Replies
114K Views
I won't do justice if I comment In swahili for this new glitz and glamorous look of Hamisa Mobetto, the Queen without a throne. This is the one of the most gorgeous trending pic on instagram for...
15 Reactions
93 Replies
12K Views
Mwanadada Hamisa Mobeto amekiri kuwa mzazi mwenzake na msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alimpa gundu. Hamisa alitoa kauli hiyo hivi karibuni kwa hoja kwamba katika kipindi...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Kiongozi wa G-Unit, 50 Cent ameendelea kumuandama Ja Rule ambapo wiki hii amezua jambo kwa kununua tiketi 200 za viti vya mbele vya tamasha la hasimu wake huyo ili viwe wazi. Ja Rule anajiandaa...
1 Reactions
32 Replies
8K Views
Siri imefichuka ,kumbe staa wa filamu nchini na aliyekuwa miss tanzania 2006, wema isaac sepetu anadaiwa kuwa mke wa mtu, inasemekana staa huyo alifunga ndoa na mjasiriamali aitwaye yusuph jumbe...
2 Reactions
54 Replies
12K Views
Lile penzi lililokuwa gumzo kwa muda wa siku chache zilizopita kati ya Diamond na mwanadada Kim nana limefika mwisho baada ya mwanadada huyo kutupiwa mabegi nje katika gate la Diamond Platinumz...
3 Reactions
47 Replies
11K Views
Wote mwezi uliopita (mwezi wa 9) waliachia video za ngoma zao pendwa... Alianza aslay akaachia video ya Kwatu tar. 12/9 (takribani siku 46 zimepita).... siku kumi na nne baadae yaani yar. 24/9...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Wanandugu leo katika pita pita zangu nikasema ngoja niangalie boxing records za huyu ndugu yetu Hassan Mwakinyo lakini cha ajabu nikakuta anaitwa Halfan Hythan Hamza, sasa nimeshindwa kuelewa hilo...
6 Reactions
123 Replies
20K Views
Watoto wa mjini siku hizi huita VIBE KAMA LOTEEEE... Mond wa enzi hizo alikuwa km rais wa marekani anavotembelea nchi za Afrika Je diamond wa sasa hv anaweza kufikia tena umati km huo? Wa watu...
1 Reactions
48 Replies
7K Views
Mrembo wa kichaga anaetamba bongo kutokana na umbo lake matata, ameonya watu kuacha kutumia picha zake kwenye matangazo ya dawa zao za kuongeza makalio kwani no kuwapotosha wadada Sanchoka...
6 Reactions
222 Replies
48K Views
Hayo ndo yalojiri jana usiku baina ya queen vee na mwanamziki otile..
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Huko ig katuonesha kuwa kashapata mme wake mtarajiwa..namwombea heri kwa hilo na Mungu amfanyie wepesi afikishe kile anachokutegemea..ni wema na pck now ni new couple in town. Kwa wale mlokuwa...
3 Reactions
303 Replies
44K Views
Yani Toka zari apost UA jeusi domo naona anahangaika kujifariji lakini wapi , anabadilisha kila wanawake Ila wapi . Sasa huyu kimnana nae kujikuta kafika na kuanza kujishau, Ila nilijua tu ata...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Lisa Sparks mcheza ngono maarufu ambaye anashikilia rekodi ya dunia kwa kulala na wanaume 919 ndani ya siku moja (24Hrs)
0 Reactions
42 Replies
13K Views
Mwana falsafa na mfanya biashara mkubwa Dunia PORTER aliwahi kusema moja ya njia ambayo unaweza kumuua mshindani wako kwa urahisi ni kutengeneza ushirika na mshindani wako....Hii husaidia katika...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Ila hii combination matata sana , hawa ndio wanamuziki bhana sio wauza sura , naona kesho patakua hapatoshi mlimani, natamanije ningekua bongo na Mimi . Ila shoga zangu na wenyewe uso umewakomaa...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Unajua shoga yetu Cheusi mangala mambo yake sio Haba , sema tu ni vile yeye hanaga show off za kipumbavu, ni miongoni mwa mastaa wachache ambao wanaishi maisha ya kifahari, anaishi nyumba nzuri ...
12 Reactions
133 Replies
20K Views
Back
Top Bottom