Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,237
- 22,629
Huyu jamaa wa kuitwa gazza kiukweli ni fundi sana.. yupo Tip Top.. ana ngoma mbili.. ya kwanza inaitwa naniii yupo na madee.. na hii iliyotoka miezi michache iliyopita."Sana "...
hii ngoma Sana yaani ni moto.. kwa siku naiskiliza hata mara kumi!... sema jamaa hapewi promo tuu
hii ngoma Sana yaani ni moto.. kwa siku naiskiliza hata mara kumi!... sema jamaa hapewi promo tuu