Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Msanii mkongwe wa muziki wa hip hop nchini Dudu Baya amefunguka maana ya ‘Konki Master’, hii inakuja mara baada ya msemo huo kujizoelea umaarufu kwa muda mfupi tu tangu alipoutumia. ”Konki ni mtu...
0 Reactions
20 Replies
16K Views
Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imesema kampeni ya kuwasaka watu wanaojihusisha na vitendo vya ushoga inayoratibiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
1. Emelda Mwamwanga - Bang! Magazine 2. Ridhwan Kikwete - UVCCM 3. Constantine Magavilla - ZAIN 4. Zitto Kabwe - CHADEMA 5. Elsie Kanza - State House 6. Kelvin Twissa - Zain 7. Modesta Mahiga...
1 Reactions
95 Replies
26K Views
Baada ya Wasafi TV kufanya vizuri kila kona ya TZ sasa Wasafi FM Coming soon,ila huku sasa kwenye radio station ndo kwenye ushindani halisi,ngoja tuone
1 Reactions
42 Replies
8K Views
Mtangazaji ‘ Kipenzi ‘ cha wengi Cloudstv360 Babie Kabae katika hali isiyokuwa ya kawaida leo asubuhi aliweza kutoa ‘ dukuduku ‘ lake moyoni kwa kumshauri Rais JPM ajitahidi awe anatenga muda...
3 Reactions
25 Replies
5K Views
Alipozaliwa wazazi wake wakamwita Godfrey William Tumain....... Baadae sasa akaanza kujipachika majina ya ajabu ajabu tu......mara:- Ngumi jiwe....akaibuka na jina lingine....Mapafu ya...
0 Reactions
38 Replies
13K Views
Msanii Dudubaya amefunguka na kusema kuwa maisha ya kuwa maarufu ni magumu sana kwani kuna wakati unashindwa kufanya vitu ambavyo wewe unapenda kutokana na kuwa na umaarufu. Dudubaya kupitia...
3 Reactions
104 Replies
18K Views
Habari wadau wa celebrity Forum. Niende madani hapo juu. Mmoja wa wasanii wakongwe ktk fani hususan Bongo fleva, Dudu Baya aka Dudu Zuri amehojiwa na sudi Brown wa clouds FM juu ya kumtelekeza...
6 Reactions
23 Replies
8K Views
Jamaa Ali Kiba anahangaika sana ,halafu kila anachofanya anafeli tu. Mziki kafeli, mpira kafeli naona kageukia kwenye boxing ,ngoja tuone mwisho wake.
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Jumamosi ya wikii hii nilikuwa Mwanza nikasema ngoja namimi nikahudhulie kwenye tamasha, lakini kwa jinsi nilivoona muitikio ulikuwa mzuri na mapungufu pia yalikuwepo yakutosha, kwa lugha ingine...
1 Reactions
38 Replies
5K Views
Akizindua msimu mpya ya wasafi festival Diamond platnumz amesema mkongwe wa hip hop Dudubaya atapanda stage ya wasafi festival na wakali wengine. "Nimeongea na uongo ili kuweka wakongwa ambao...
3 Reactions
44 Replies
8K Views
Hello wanaJF Leo nimekuja na historia fupi ya mwanadada rihanna Rihanna Robyn Fenty (amezaliwa tar. 20 Februari 1988) ni msanii wa uimbaji wa muziki wa R&B na pop kutoka nchini Barbados...
4 Reactions
28 Replies
14K Views
Nampongeza sana sana kijana huyu..kwa kuyumba sana hapa majuzi ila ameweza yashinda mapito na kurejea tena. Situation aliyokuwa nayo angeweza kujiingiza katika uraibu wa vileo ..madawa na...
4 Reactions
11 Replies
3K Views
Kuna taarifa za kupotea kwa motto mwengine anasoma shule ya Roman Catholic pale Mabibo maarufu farasi, Matukio haya yanaongezeka lakini hadi sasa hakuna kauli yeyote ya serikali kuhusu kadhia hii...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Anatangaza huku anatabasamu na sometime anacheka cheka Anatangaza huku kila mara akiwa anachezea chezea Kalamu yake Anatangaza huku kila mara akiwa ' anachomekea ' maneno yasiyoendana na Habari...
11 Reactions
102 Replies
19K Views
Wanamuziki Billnas na mwenzake Barnaba wameiponda miguu ya dogojanja na kudai kwamba jamaa ana miguu membamba kama chelewa. Billnas alienda mbali zaidi kwa kudai kwamba jamaa ashukuru Mungu mtoto...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Nimemsikia Rais Magufuli akisema serikali Ina akiba ya Dola za Kimarekani Bilioni 5 zinazoweza kuendesha nchi Kwa takriban miezi sita huku mfanyabiashara MO Dewji akimiliki utajiri wa Dola za...
11 Reactions
36 Replies
6K Views
Nionavyo Mimi Hii ishu Ya ushoga ni mtego ambao umetegwa kwa walengwa hapo Juu. Ma Master mind wanajua hakika kuwa Wananchi wa kawaida ambao ni wengi hawapo tayari kuona Suala la Ushoga lina...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Harmonize ameachia hit song amefanya vizuri kwambali inaonekana ile chemistry yakuapamoja na international Artist hapa nikimaanisha Jah Prezah..Huyu jamaa alifanya Collabo na Mondi-Watora Mari...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwanza kabisa niwapongeze wasafi kwa hatua waliyoipiga kwani sio jambo dogo kwa hatua waliyofikia Wasafi FM ni radio ambayo inapatikana kwa mkoa dar es salaam tu hii ni kutokana na sheria...
2 Reactions
24 Replies
6K Views
Back
Top Bottom