Msanii mkongwe wa muziki wa hip hop nchini Dudu Baya amefunguka maana ya ‘Konki Master’, hii inakuja mara baada ya msemo huo kujizoelea umaarufu kwa muda mfupi tu tangu alipoutumia.
”Konki ni mtu...
Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imesema kampeni ya kuwasaka watu wanaojihusisha na vitendo vya ushoga inayoratibiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es...
Baada ya Wasafi TV kufanya vizuri kila kona ya TZ sasa Wasafi FM Coming soon,ila huku sasa kwenye radio station ndo kwenye ushindani halisi,ngoja tuone
Mtangazaji ‘ Kipenzi ‘ cha wengi Cloudstv360 Babie Kabae katika hali isiyokuwa ya kawaida leo asubuhi aliweza kutoa ‘ dukuduku ‘ lake moyoni kwa kumshauri Rais JPM ajitahidi awe anatenga muda...
Alipozaliwa wazazi wake wakamwita Godfrey William Tumain.......
Baadae sasa akaanza kujipachika majina ya ajabu ajabu tu......mara:- Ngumi jiwe....akaibuka na jina lingine....Mapafu ya...
Msanii Dudubaya amefunguka na kusema kuwa maisha ya kuwa maarufu ni magumu sana kwani kuna wakati unashindwa kufanya vitu ambavyo wewe unapenda kutokana na kuwa na umaarufu.
Dudubaya kupitia...
Habari wadau wa celebrity Forum.
Niende madani hapo juu. Mmoja wa wasanii wakongwe ktk fani hususan Bongo fleva, Dudu Baya aka Dudu Zuri amehojiwa na sudi Brown wa clouds FM juu ya kumtelekeza...
Jumamosi ya wikii hii nilikuwa Mwanza nikasema ngoja namimi nikahudhulie kwenye tamasha, lakini kwa jinsi nilivoona muitikio ulikuwa mzuri na mapungufu pia yalikuwepo yakutosha, kwa lugha ingine...
Akizindua msimu mpya ya wasafi festival Diamond platnumz amesema mkongwe wa hip hop Dudubaya atapanda stage ya wasafi festival na wakali wengine.
"Nimeongea na uongo ili kuweka wakongwa ambao...
Hello wanaJF Leo nimekuja na historia fupi ya mwanadada
rihanna
Rihanna Robyn Fenty (amezaliwa tar. 20 Februari 1988) ni msanii wa uimbaji wa muziki wa R&B na pop kutoka nchini Barbados...
Nampongeza sana sana kijana huyu..kwa kuyumba sana hapa majuzi ila ameweza yashinda mapito na kurejea tena.
Situation aliyokuwa nayo angeweza kujiingiza katika uraibu wa vileo ..madawa na...
Kuna taarifa za kupotea kwa motto mwengine anasoma shule ya Roman Catholic pale Mabibo maarufu farasi, Matukio haya yanaongezeka lakini hadi sasa hakuna kauli yeyote ya serikali kuhusu kadhia hii...
Anatangaza huku anatabasamu na sometime anacheka cheka
Anatangaza huku kila mara akiwa anachezea chezea Kalamu yake
Anatangaza huku kila mara akiwa ' anachomekea ' maneno yasiyoendana na Habari...
Wanamuziki Billnas na mwenzake Barnaba wameiponda miguu ya dogojanja na kudai kwamba jamaa ana miguu membamba kama chelewa.
Billnas alienda mbali zaidi kwa kudai kwamba jamaa ashukuru Mungu mtoto...
Nimemsikia Rais Magufuli akisema serikali Ina akiba ya Dola za Kimarekani Bilioni 5 zinazoweza kuendesha nchi Kwa takriban miezi sita huku mfanyabiashara MO Dewji akimiliki utajiri wa Dola za...
Nionavyo Mimi
Hii ishu Ya ushoga ni mtego ambao umetegwa kwa walengwa hapo Juu.
Ma Master mind wanajua hakika kuwa Wananchi wa kawaida ambao ni wengi hawapo tayari kuona Suala la Ushoga lina...
Harmonize ameachia hit song amefanya vizuri kwambali inaonekana ile chemistry yakuapamoja na international Artist hapa nikimaanisha Jah Prezah..Huyu jamaa alifanya Collabo na Mondi-Watora Mari...
Kwanza kabisa niwapongeze wasafi kwa hatua waliyoipiga kwani sio jambo dogo kwa hatua waliyofikia
Wasafi FM ni radio ambayo inapatikana kwa mkoa dar es salaam tu hii ni kutokana na sheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.