Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hata yeye amewahi kukiri mpenzi wake lady jaydee amewahi mtuhumu na scandal ya ushoga Ila yeye akapotezea, now picha yake na shoga maarufu Nigeria , bob risk imesambaa ikiwaonyesha wawili hao...
2 Reactions
45 Replies
15K Views
Tukumbushane jamani zilizobamba wakati ule. Dudu baya Konki konki konki master oil chafu mamba. Katika wimbo wake wa napenda manundu.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Video kaliii..kutoka WCB wasafiiiii chama la wana Rayvanny ft diamond platnumz .. ngoma ina kwenda kwa jina la MWANZA.. ikiwa ime tumia LOCATION kutoka MWANZA ila tukaona sio mbaya tukiwaacha...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
habari za asubuhi ndugu wana jf, natumaini mu wazima wa afya, niende moja kwa moja kwene hoja asilimia kubwa wasanii wanaotoka mwanza ndio wanaopotea kwene game kiurahisi na sijui nini kina...
2 Reactions
30 Replies
13K Views
Salama wapendwa wangu. Naomba kuuliza kitu. Mbona hizi picha za wasanii kwenye mitandao ni weupe sana kama wazungu ila ukikutana nao live weusi kama mimi tu. Nimewakilisha baadhi ya wanaume...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kudadeiki WCB noma sana, Ni jiwe baada ya jiwe, ngomaa baada ya ngoma huku kukiwa pe ya Konki konki konki master kwa mbali, yaani ni full full hata wale waliobaniwa airtime,huku unamsikiliza...
17 Reactions
56 Replies
10K Views
Msanii Harmorapa amefunguka na kuingilia ishu ya Dudu Baya kuwataja mashoga katika mitandao ya kijamii. Harmorapa anasema kuwa kama Dudu baya anajifanya kupambana na Mange kimambi baada ya...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Hawa jamaa wameamua kuonyeshana ubabe kila mmoja anapita alipokanyaga mwenzake hii tunaita kufuta legacy,nani kuibuka mbabe?
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Baada ya kuwa katika upinzani wa muda mrefu, hatimaye wasanii nyota nchini Tanzania, Diamond Platinum na ALIKIBA wamekutana na kumaliza tofauti zao za muda mrefu. Hatua hiyo imepokelewa kwa...
3 Reactions
40 Replies
58K Views
Kiba ana roho mbaya , roho ya kukunja ndio maana kila jambo analolifanya hafanikiwi. Dharau kama hizi zitamponza.
1 Reactions
35 Replies
5K Views
Amefanya unyama huo na kutokomea kusiko julikana, kampiga kisu cha sikio mamake na kuliacha sikio linaning'inia kisa eti anamroga ndio maana nyimbo hazivumi. source : clouds fm
4 Reactions
127 Replies
36K Views
Raha ya kuachwa jaribu kuchagua mpz ambaye hata ex wako akimuona au akimsikia roho inamuuma na sio kutafuta bwegeee.. Asilimia kubwa hilo hatulijui muumize ex wako kwa kutoka na mtu aliye juuu...
1 Reactions
99 Replies
10K Views
Kwanza: kabisa nianze na wasafi fm ambayo ipo nyuma ya Paul makonda, hawatoweza hata siku moja kuizima CLOUDS fm ingawa wana Matatizo Yao ikiwemo kuwanyonya wasanii watu wengi tuliamini E fm ndo...
5 Reactions
114 Replies
15K Views
Wentworth Miller, Maarufu zaidi kama Michael Scofield Mwigizaji Victor Garber Ricky Martin Adam Lambert Anne Burrell na patna wake Neil Patrick Harris na patna...
1 Reactions
89 Replies
50K Views
Habari zenu wakuu kwema??..Ni hivi kume kuwa kuna huu msemo ni wa mda kidogo unaitwa Konk huu msemo ni msemo wa miaka kama 3 au mi 4 ivi imepita na huu msemo muanzilishi wa huu msemo ni Huyu dogo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
1. Ali kiba Moja kati ya wasanii ambao wamejaaliwa kipaji na sauti nzuri ila jamaa anajiamini kupita kiasi na ili akubali ushauri au idea ya kuendeleza kipaji chake nguvu kubwa sana inahitajika...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Sam Mahela ni kijana bora kabisa anayechipukia kwa kasi zaidi ktk tasnia ya habari nchini. Kijana Sam asipoonekana kwenye taarifa ya habari ya saa 2 pale ITV usiku wangu ukosa raha.Zaidi sana...
0 Reactions
82 Replies
15K Views
Mtoto wa Konki konki konki Master Dudu Baya amefunguka kuhusu tuhuma zinazomkumba baba yake za kumuhusisha na ushoga na kusema baba yake siyo shoga. Wille amesema anachofanya baba yake ni kuwataja...
1 Reactions
9 Replies
6K Views
Bondia asiyepigika mwenye pesa chafu ambaye pia anashika namba moja kwa wanamichezo walioingiza pesa ndefu zaidi mwaka huu pia anashika nafasi ya tatu kwa wanamichezo wenye pesa zaidi duniani...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Pancho Latino maarufu 'Mafia' amefariki dunia kwenye ajali ya kuzama kwenye maji wakati anaogelea kwenye kisiwa cha Mbudya, jijini Dar es Salaam Pancho alikuwa mtayarishaji wa muziki katika...
23 Reactions
660 Replies
106K Views
Back
Top Bottom