Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,234
Wakati kitendo cha msanii Diamond Platnumz kushikwa makalio kikiushangaza umma. Kitendo kingine kilichoishangaza jamii kwenye wasafi festivals ni kitendo cha msanii Lavalava kuchezewa sehemu za siri jukwaani na mashabiki. Wakati mashabiki wakifanya hivyo Lavalava alionekana kutojali na kuenjoy kitendo hicho. Cha kushangaza zaidi kuna baazi ya wanaume walikuwa wakipambana ili wapate kumshika japo bunduki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app