Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Ameandika Henry Kileo mume wa Joyce Kiria katika ukurasa wake wa Facebook. Hakuna chochote katika maisha cha kupigania! Nguo zako zile bora kabisa kuna mtu kwake ni matambara tu. Akiba yako...
15 Reactions
85 Replies
13K Views
HUU UJUMBE UMFIKIE SUPER FAKE WOMEN (JOYCE KIRIA) Kwanza kabisa, nianze kwa kusema, kwamba, kwasababu mambo haya ameyaleta (joyce) kwenye mitandao ya kijamii, (public platform) na kwa makusudi...
69 Reactions
161 Replies
18K Views
Bondia asiyepigika ,THE MOST ACCURATE PUNCHER, THE BEST DEFENSIVE GENIUS EVER FLOYD MAYWEATHER amkung'uta Tenshin Nasukawa round ya kwanza dakika ya kwanza sekunde ya 51 . Mpaka sasa Floyd bado...
4 Reactions
48 Replies
9K Views
Mayweather atalipwa zaidi ya Tsh billion 20 na million 698 kupigana na Tenshin Nashikawa Leo tar 31/12/2018. Pambano hili litatumia dakika 9 tu. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Katika mtandao wa Twitter, raia wa Kenya na mashabiki AA Muziki wa Bongo Fleva wamekerwa na show ya Wasafi Festival iliyofanywa na Diamond na timu yake siku za hivi Karibuni nchi Kenya. Sina mengi...
1 Reactions
68 Replies
12K Views
Sasa ni takribani miaka 12 toka atoweke duniani msanii na mtayarishaji maarufu wa muziki wa Bongo Fleva akijulikana kama Complex. Jina la Complex lilianza kusikika hasa pale aliposhirikishwa na...
13 Reactions
23 Replies
12K Views
huyu mchuchu mimi nilikuwa namzimia sana,na ndio aliyekuwa ananifanya niende kuwaona jamaa wakitumbuiza.yupo wapi huyu mtoto wazee? au yupo yuropu nin?
0 Reactions
162 Replies
39K Views
Huu wimbo unaenda kuvunja record ya despacito kwa utazamaji YouTube Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
1K Views
MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Baby Joseph Madaha, ameibuka na kudai kwa sasa ameamua kutulia katika ndoa yake na Mwarabu wa Dubai ambaye hakutaka kumtaja jina. Baby yupo mbioni kuachia video ya...
0 Reactions
76 Replies
15K Views
Ni katika kuendeleza sports tourism,anataka kupanda mlima kilimanjaro! Source:tbc
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Imeelezwa kupenda umaarufu na sifa kwa wasanii wetu ni miongoni mwa sababu za kuambukizwa VVU Wasanii wametajwa kuwa hatarini kuambukizwa virusi vya UKIMWI kutokana na umaarufu walionao na...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Sina neno kwa WasafiFestival
2 Reactions
0 Replies
2K Views
bongo huenda ikawa ya pili afrika baada ya nigeria kwa kuwa na talented celebrities.wapo wengi sana na wengi wao wapo talented. tatizo kubwa walilonalo ni kufall rondomly in love kwa celebrities...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Rais Jakaya Kikwete alikuwa miongoni mwa watu waliobahatika kupata picha ya kumbukumbu na Mcheza Filamu wa Marekani Steven Seagal wakati watafrija iliyoandaliwa na Madaktari wa Kimarekani kwaajili...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Msanii wa bongo muvi riyama amefunguka kuhusiana na tuzo za sinema zetu na kusema waandaaji wamemkosea sana kumshindanisha bila kushirikishwa wala kuarifiwa. Riyama Ally ameyasema hayo akihojiwa...
4 Reactions
29 Replies
7K Views
Siku za hivi Karibuni kumekuwepo na malalamiko kutoka kwa mashabiki Wasafi katika sehemu mbalimbali walisopita na kufanya show kuwa hawapati kile wanachokitarajia kutoka kwa wasanii wanaounda WCB...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Ruby nimefurahi kukuona jamani Umerudi tena kwenye muziki Karibu sana Mdogowangu Sauti kama kawaida nyororo, nzuri,laini... doh ama kweli kama ipo ipo tu. Sasa umeshajifunza...
3 Reactions
43 Replies
8K Views
Mtumishi wa Mungu aliehai alitangaza kuwa sasa ameshaokoka, anampenda Yesu na Yesu akirudi nae atanyakuliwa kwenda Mbinguni Hongera sana Jackline Wolper, tunaomba usiokoke roho turn bali na...
2 Reactions
69 Replies
10K Views
Back
Top Bottom