Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Godfrey Willium Ngelela a.k.a Dudubaya amepost video akiwaomba radhi watanzania wote, baraza la sanaa Tanzania (BASATA) pamoja na familia ya Ruge...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
Huyu bibie Mboni nasikia alishawahi toka na Samuel Etoo wakati Cameroon walipokuja kucheza na Taifa stars...Ana kila sababu ya kushangilia ushindi wa Inter
1 Reactions
241 Replies
67K Views
Ni msiba kwa wana hiphop wa kweli hasa kwa wale tunaopenda real stuff. Jamaa ali rep sana mtaa though hakupata airtime kivile. R.I.P Legend Nipsey Hu$$le Habari kamili hapo chini, source CNN...
4 Reactions
1 Replies
3K Views
ametumia maneno machache ya busara na kumualika kesho asubuhi ofisini kwake source fungua hapa https://www.dictionary.com/e/fool/
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wote nawaona ni Wajanja Wajanja na wanaojua kucheza na wakati na akili za Watanzania. Karibuni.
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Natoa angalizo tu asaiv ukihitaj Kiki kipind hiki lazima uongee na pierre mlamba alolo konki liquid mama nakufa itabaki kuwa juu. ..Ati nin bila hivo utasubiri sana mana ndo aliyeshika hili jiji...
4 Reactions
26 Replies
5K Views
Nakukubali bibie upo vizuri. Full package ya mtangazaji bora! Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
38 Replies
5K Views
Victor Wanyama amemualika Pierre Liquid kwenda Uingereza na kila kinachohitajika kwa safari atalipia yeye mwenyewe Victor. Sasa kwa jicho la roho mbaya nani atakubali (anayeonekana mlevi, asiye...
6 Reactions
20 Replies
4K Views
Ni wazi sasa DSM ni kama imepata Mkuu wa Mkoa mpya katika sekta ya burudani,si mwingine bali ni Pierre Liquid,mziki wake ni mzito wa takribani wats laki nane, anatikisa kila kona Watu wazima sana...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Msanii wa nyimbo za injili Martha Mwaipaja ambaye ni miongoni mwa wasanii walio karibu sana muimbaji Rose Muhando ameeleza kilichotokea kwa Rose Muhando . Martha ameeleza jinsi Rose...
36 Reactions
207 Replies
69K Views
Nadhani ni muda muda muafaka na sisi sasa tukapiga marufuku wasanii wote ambao hawalipi kodi na wanaimba matusi wanaotoka Kenya, jino kwa jino.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Baada ya kushiriki kikamilifu katika kampeni ya Tokomeza Zero, Liquid amepata mwaliko mwingine Ughaibuni. Lengo la ziara yake pamoja na mambo mengine ni kuhamasisha Tanzania Diaspora kutoa misaada...
6 Reactions
23 Replies
5K Views
Siku hizi habari zipo mkononi, watu wanahitaji content za kusoma kila muda, nani wa kuwalisha habari?. Maisha ni magumu watu wanahitaji zaidi habari za kuwapunguzia stress za maisha, binadamu...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Pierre Konk Liquid, ni jina maarufu sana kwa sasa si tu kwenye mitandao ya kijamii bali hata mitaani kote katika eneo la Afrika Mashariki kwa ujumla. Pierre, mtu ambaye kwa sasa ameanza kupata...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Aliyekuwa mmiliki wa studio za Kiumbe video &Audio ambaye pia ni muimbaji na mtayarishaji wa muziki Abamto Valentino amefariki dunia akiwa kwao ilala. Moja ya kazi alizowahi kufanya ni pamoja na...
1 Reactions
24 Replies
9K Views
Ni utamaduni wa muda mrefu katika kabila la wahaya kunyoa nywele zao tena wengine kipara kabisa kama watu wafuatao wakifiwa Mjane Watoto wa marehemu Ndugu wa damu mtu akitaka lakini hasahasa...
0 Reactions
28 Replies
12K Views
kaandika kwa kifupi tu lakini kwa hekima kuliko yule anayejiita mcha Mungu aliyejaa roho yenye kutu,kasema HILI NALO LITAPITA. Mtu wa karibu kaniambia Piere kafarijika sana na watanzania...
3 Reactions
5 Replies
3K Views
Wadau kifupi mie nimfuatiliaji wa matukio ya hapa nchini, na mojawapo ya tukio nililolitazama ni hili la TOKOMEZA ZIRO - lililoandaliwa na Mhe . JoKate. Suala ni kwamba , Muheshimiwa ambaye ni...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Amefariki nchini ufaransa na tayari familia yake imethibitisha. Hili ni pigo kubwa sana kwa wapenda rhumba wote duniani
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Fahamu kwamba video queen wa wimbo wa kwanza wa Diamond platnumz alikuwa dada yake Esma Platnumz, kwanini Esma? Ni kwamba wadada ambao aliwaalika Diamond kufanya hiyo scene hawakutokea kutokana...
2 Reactions
63 Replies
27K Views
Back
Top Bottom