Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Godfrey Willium Ngelela a.k.a Dudubaya amepost video akiwaomba radhi watanzania wote, baraza la sanaa Tanzania (BASATA) pamoja na familia ya Ruge...
Huyu bibie Mboni nasikia alishawahi toka na Samuel Etoo wakati Cameroon walipokuja kucheza na Taifa stars...Ana kila sababu ya kushangilia ushindi wa Inter
Ni msiba kwa wana hiphop wa kweli hasa kwa wale tunaopenda real stuff. Jamaa ali rep sana mtaa though hakupata airtime kivile.
R.I.P Legend Nipsey Hu$$le
Habari kamili hapo chini, source CNN...
Natoa angalizo tu asaiv ukihitaj Kiki kipind hiki lazima uongee na pierre mlamba alolo konki liquid mama nakufa itabaki kuwa juu. ..Ati nin
bila hivo utasubiri sana mana ndo aliyeshika hili jiji...
Victor Wanyama amemualika Pierre Liquid kwenda Uingereza na kila kinachohitajika kwa safari atalipia yeye mwenyewe Victor.
Sasa kwa jicho la roho mbaya nani atakubali (anayeonekana mlevi, asiye...
Ni wazi sasa DSM ni kama imepata Mkuu wa Mkoa mpya katika sekta ya burudani,si mwingine bali ni Pierre Liquid,mziki wake ni mzito wa takribani wats laki nane, anatikisa kila kona
Watu wazima sana...
Msanii wa nyimbo za injili Martha Mwaipaja ambaye ni miongoni mwa wasanii walio karibu sana muimbaji Rose Muhando ameeleza kilichotokea kwa Rose Muhando .
Martha ameeleza jinsi Rose...
Baada ya kushiriki kikamilifu katika kampeni ya Tokomeza Zero, Liquid amepata mwaliko mwingine Ughaibuni. Lengo la ziara yake pamoja na mambo mengine ni kuhamasisha Tanzania Diaspora kutoa misaada...
Siku hizi habari zipo mkononi, watu wanahitaji content za kusoma kila muda, nani wa kuwalisha habari?. Maisha ni magumu watu wanahitaji zaidi habari za kuwapunguzia stress za maisha, binadamu...
Pierre Konk Liquid, ni jina maarufu sana kwa sasa si tu kwenye mitandao ya kijamii bali hata mitaani kote katika eneo la Afrika Mashariki kwa ujumla.
Pierre, mtu ambaye kwa sasa ameanza kupata...
Aliyekuwa mmiliki wa studio za Kiumbe video &Audio ambaye pia ni muimbaji na mtayarishaji wa muziki Abamto Valentino amefariki dunia akiwa kwao ilala. Moja ya kazi alizowahi kufanya ni pamoja na...
Ni utamaduni wa muda mrefu katika kabila la wahaya kunyoa nywele zao tena wengine kipara kabisa kama watu wafuatao wakifiwa
Mjane
Watoto wa marehemu
Ndugu wa damu mtu akitaka
lakini hasahasa...
kaandika kwa kifupi tu lakini kwa hekima kuliko yule anayejiita mcha Mungu aliyejaa roho yenye kutu,kasema HILI NALO LITAPITA. Mtu wa karibu kaniambia Piere kafarijika sana na watanzania...
Wadau kifupi mie nimfuatiliaji wa matukio ya hapa nchini, na mojawapo ya tukio nililolitazama ni hili la TOKOMEZA ZIRO - lililoandaliwa na Mhe . JoKate.
Suala ni kwamba , Muheshimiwa ambaye ni...
Fahamu kwamba video queen wa wimbo wa kwanza wa Diamond platnumz alikuwa dada yake Esma Platnumz, kwanini Esma?
Ni kwamba wadada ambao aliwaalika Diamond kufanya hiyo scene hawakutokea kutokana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.