Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kayaandika haya KILA KAZI INA GHARAMA YAKE!! Acha tulipe gharama ya tulichoitiwa. NAKUPENDA MPAKA PUMZI YANGU YA MWISHO MKE WANGU. Hili nalo litapita🙏🏿 TUOMBEENI NASI TUNAOMBA. MTETEZI WETU YU HAI🙏🏿
22 Reactions
158 Replies
25K Views
1. Gara B achana na events za kujazana ujinga. Nyoosha kiingereza chako ingia dimba za kimataifa (level za Energy Summit). 2. Jifunze kwa moderators wa sessions za huu Mkutano. Kama kichwa si...
6 Reactions
14 Replies
2K Views
Msanii Abigail Chams aliyeteuliwa kuwania tuzo za BET Leo akiwa Bungeni Dodoma.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Msanii wa Bongo fleva, Msami amejitokeza na kujilipua kwa kukemea na kumshauri Rais Samia kutokana na hali ya usalama iliyopo nchini kwa sasa ambapo watu wanauawa na kutekwa. Akiongea katika video...
3 Reactions
10 Replies
947 Views
Mfanyabiashara maarufu wa magari nchini, Ndugu Dotto Magari anatarajiwa kufanya mkutano na waandishi wa habari, kuzungumzia na kufafanua masuala ya kitaifa na Kimataifa. Wote mnakaribishwa.
7 Reactions
81 Replies
5K Views
Ukizungumzia msanii wa Hip Hop waliokuwa wana matukio ya kushangaza na ukorofi basi huwezi kumuacha Kala Pina mzee wa Kikosi cha Mizinga kutokea pale Kinondoni Block 41. Pina aliwahi kutishia...
17 Reactions
74 Replies
4K Views
Lala salama mtumishi wa Mungu aliye hai. Nilichojifunza kwako ni kwamba Mungu wetu hawekewi mipaka, yeye humpa karama amtakaye kwa sifa na utukufu wake. Felician V. M. Nkwera Felician Venant...
26 Reactions
271 Replies
18K Views
Huyu Mtumishi wa Mungu aliekuwa akihudumu zaidi katika uimbaji nyimbo za injili ...alikuwa akisikika sana siku za nyuma na nyimbo zake zilikuwa na mafundisho mengi sana sio tu kwa watu walimpokea...
10 Reactions
26 Replies
4K Views
✍️ #Ibraah “Sito kusifu roho mbaya na wala sito kutangazia mabaya yako na ndio mana hata waandishi wa habari na wakwepa mana sitamani kuona unaandikwa vibaya kwenye mitandao ya kijamii wewe ni...
22 Reactions
149 Replies
10K Views
Wakuu! Tanzania's Sweetheart Wema Sepetu amepokea ukosoaji mkubwa kutoka kwa watumiaji wa Mitandao ya kijamii kwa hiki kivazi
10 Reactions
102 Replies
7K Views
Wakuu, Hili limenishangaza, BASATA inakuwa kama vile mpo kwaajili ya kusumbua wasanii tu na kuwaona wanafeli kwa nguvu zote, yaani kwa miaka yote hii hiki ndio kikubwa Watanzania wanaona...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Wakuu, Hivi karibuni, Ibraah amekuwa kama “hot cake” kwenye anga za muziki si tu kwa sababu ya mafanikio ya wimbo wake Copy and Paste, bali zaidi kutokana na sakata lake na lebo ya Konde Gang...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Aliyekuwa mwigizaji wa Filamu nchini marehemu Hawa Hussein (Carina), amezikwa leo Aprili 19, 2025 katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam. Carina alifariki dunia Aprili 15, 2025 nchini...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Mbilia Bel akiimba kwa hisia kubwa sana moja ya nyimbo zake za enzi zileeeee,nafikiri mtakuwa mnazikumbuka. “bado niko fiti” si mnamuona wenyewe,sasa msikose kesho pale new world...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Amani iwe nanyi wapendwa, Dada yetu Wastara Juma leo amefunga ndoa ya kiislam na kufanya idadi yake ya kuolewa kufika mara saba. Dada huyo ambaye juzi tumetoka kumchangia pesa za matitabu...
23 Reactions
280 Replies
37K Views
Najivunia sana kumfahamu huyu mwamba kati ya watu wachache wenye talent ya kufanya muziki wa asili as long wewe una sikio la muziki ukimsikiliza tu kwa mara ya kwanza utagundua mwamba ni level...
0 Reactions
2 Replies
482 Views
Dada wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, Sunna Sepetu (37) ametiwa mbaroni mjini Worcester, Massachusetts nchini Marekani baada ya kukutwa na hatia ya kula njama ya utakatishaji fedha zilizotokana...
10 Reactions
92 Replies
9K Views
Ni kwa masikitiko makubwa kwa wana tasnia wa miziki ya Kongo, mwanamuziki REGIS TOUBA hatunae tena, amefariki mapema leo akiwa kwa Congo Brazzavile. Atakumbukwa kama sehemu ya Muasisi wa kundi la...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Msanii wa kondegang anaejulikana kwa jina la IBRA ambaye yupo chini ya msanii harmonize amefunguka kuwa mpaka kufika hapa boss wake amewekeza mil 6 tu na huwa anapatapa show nyingi za Dola 3000...
12 Reactions
36 Replies
3K Views
MAREKANI: Rapa na Mfanyabiashara, Sean "Diddy" Combs anatarajiwa kupandishwa Kizimbani kujibu mashtaka matatu aliyofunguliwa ambayo ni ulaghai, biashara ya ngono kwa kutumia nguvu, Usafirishaji...
14 Reactions
145 Replies
13K Views
Back
Top Bottom