Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Msanii Roma Mkatoliki anadaiwa kupatikana na yupo Kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar. Habari ya akina Roma kupatikana imethibitishwa na Mkurugenzi wa Tongwe Records J. Mada. Bado hakuna...
37 Reactions
802 Replies
148K Views
Mega hitsong ya Juma Nature ni inaniuma sana. Kwenye ule wimbo nature ameelezea mapenzi yake na mwanamama Sinta. Kuna mstari anasema alikuja kwangu usiku. Usiku huo anaozungumzia Nature ni...
14 Reactions
108 Replies
8K Views
Said Said aondoka kwa aibu baada ya kuzuiwa na Walinzi wa Rais Samia alipotaka kumkabidhi Kitu kutoka mfukoni mwake baada ya ku-perform kwenye Samia Kalamu Awards. Wadau mbalimbali wa Sanaa ya...
4 Reactions
59 Replies
4K Views
Mai wa Jesse anasema haiwezekani Mond huyu aliejenga Brand yake kwa Gharama kubwa eti aende tu Nigeria kujichoresha kumfuta machozi na kamasi Jux katika harusi😂😂👋🏼. Hata mimi nimefikiria sana...
15 Reactions
105 Replies
7K Views
Mr Pimbi ameeleza uma kuwa Harmonize amemlipa Kajala milioni sabini ili warudiane Ameenda mbali na kusema kuwa Kajala alitaka kulipwa milioni mia moja lakini baada ya negotiation dau la Harmonize...
9 Reactions
65 Replies
4K Views
Matajiri wote mnaojijua mnavaaga vito kama vile saa, pete mikufu ya almasi au dhahabu na vitu vingine vya thamani na ni mtu wa watu, mtu wa mitandao (public figure), basi fanyeni harakati zenu...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Kupitia Ukurasa wa Instagram msanii wa Bongofleva ambaye mwaka 2020 alitambulishwa rasmi kuwa Msanii wa Label ya Muziki ya Konde Gang, Ibraah ameandika ujumbe wa kuomba msaada kwa watanzania kiasi...
1 Reactions
51 Replies
3K Views
Kabla hujaanza kusoma vizuri, naomba kwanza urejee kichwa cha habari hapo juu, kielewe vizuri halafu ndiyo uendelee kusoma, Binafsi ukija kwa mbele yangu na kunitupia swali la haraka, kutaka...
8 Reactions
61 Replies
6K Views
Sasa Hivi SAJENTI anaomba kukutanishwa Na PATENI, Hata kama walikuwa na kutoelewana ila kwa namna moja ama nyingine Media zinachochea ugomvi wa hawa madogo. Hawana experience ya kuhojiwa kila...
3 Reactions
12 Replies
753 Views
Biashara ya muziki Tanzania imeendelea kupanuka kwa kiasi kikubwa, na wasanii wenye hits, majina, connection, bahati na sababu zingine wameendelea kuingiza fedha nyingi kutokana na muziki wao...
0 Reactions
9 Replies
11K Views
Zaidi ya watu milioni 2.1 walihudhuria tamasha la bure la Lady Gaga katika ufukwe wa Copacabana, Rio de Janeiro, Brazil, lililofadhiliwa na jiji hilo kwa lengo la kukuza uchumi wa ndani, ambapo...
1 Reactions
38 Replies
2K Views
Huko mitandaoni kona za Instagram kumechafuka habari kubwa ni kumuhusu Manara.... Kwa sasa wadau wanasema lile jina lake la semaji halimfai bali aitwe Sengenyaji kwa sbb ya tabia zake za...
19 Reactions
285 Replies
18K Views
Kwanza nianze kumpongeza msanii mwimbaji Nikki wa pili ambaye kwa mujibu EATV anasoma PhD kwa sasa. Tanzania atakuwa msanii wa ngapi kuwa noyo PhD? Afrika Mashariki je Afrika Mashariki na Kati...
2 Reactions
66 Replies
9K Views
Soon ataitwa Dr.Nick wa pili. Habari imekamilika hiyo,haina haja ya nyama.
5 Reactions
418 Replies
46K Views
msomi wa Phd anaandika kujizibiti na hajashtuka zaidi ya masaa 8,na hii sio typing error, anazidiwa kabisa na mtoto wa shule ya msingi
2 Reactions
72 Replies
17K Views
Unajua manara ana hii tabia ya kuchonganisha watu pia ana tabia ya kuwapondea watu anapokuwa amezungukwa na watu, alishawai kumzungumzia vibaya Hersi ambaye ni Rais wa Yanga. Pia safari hii...
8 Reactions
72 Replies
6K Views
Toka miezi kadhaa tangu alikiba kuambiwa ni mbana pua na Master Jay, voice note zilizovuja zimeonesha Manara akigongelea msumari kuwa Alikiba ni mbana pua tu. Inaonekana Alikiba ana maadui wengi...
2 Reactions
29 Replies
4K Views
Hivi Huyo kijana wa Mwanza amechoma mercedes benz Kwann asingepeka kwa watumishi wakiliombea au akawapa msaada watumishi wa Mungu wa Huko vijijini angepata dhawabu Kitendo hicho kitakuwa na...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Nimevutiwa na utajiri mkubwa huyu kijana mwenye miaka 31. Amekuwa akiuza maji kabla ya kujiajiri kwa kazi be ya kufunga mziki magari na kuyapimpu.Kazi hii kafanya kwa miaka zaidi ya ishirini...
17 Reactions
152 Replies
21K Views
Back
Top Bottom