Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,689
- 8,852
Mwanamuziki mkongwe Mohamed Mwinjuma (MAZINGAZINGA) baba yake mzazi na Khamis Mwinjuma (MWANAFA) baada ya kukataliwa na mwanae na kukosa msaada kabisa ameamua kujikita zaidi kwenye muziki na kutaka kuifufua bendi ya Moro Jazz ambayo anasema ndio ndoto yake kubwa.
Pia amebainisha wala hataki tena kuomba msaada kutoka kwa mwanae huyo maana amemdhalilisha vya kutosha hivyo ameamua kupambana na hali yake.
Mpe neno mzee huyo
Pia amebainisha wala hataki tena kuomba msaada kutoka kwa mwanae huyo maana amemdhalilisha vya kutosha hivyo ameamua kupambana na hali yake.
Mpe neno mzee huyo
![53545905_134281164291208_1366937534533206016_n.jpg](/proxy.php?image=https%3A%2F%2Fz-m-scontent.fdar4-1.fna.fbcdn.net%2Fv%2Ft1.0-0%2Fcp0%2Fe15%2Fq65%2Fp320x320%2F53545905_134281164291208_1366937534533206016_n.jpg%3F_nc_cat%3D106%26efg%3DeyJpIjoibyJ9%26_nc_eui2%3DAeGGpL3EYavMPKwozXZzPXtbAYZYIkWH5r1ok-pTYgwy9sTRh5dUTBOwLoSw3Zc3AzHOncdO8F3_ugnqIIuwZGq74uSNjVvPHwH_Il6BzcFalpQnTcrb8EJGB9V9-OeBBlA%26_nc_ad%3Dz-m%26_nc_cid%3D1436%26_nc_zor%3D9%26_nc_ht%3Dz-m-scontent.fdar4-1.fna%26oh%3Dd6e4cc3cacc2c5716e9dd319b8eb420e%26oe%3D5D25DC4E&hash=b65614af870548cb320045b382a57a40)