Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

To honor your closest and dearest friend. Who is your best friend?
0 Reactions
1 Replies
328 Views
Wajue watu wanaompa Mkongwe KOFFI OLOMIDE Nguvu ya Kudumu kwenye Muziki wa Afrika Takribani Miaka 40 Leo.. Wanasema Penye Mafanikio ya Mtu lazima kuna Connection au Mchakato flani wa kueleweka...
42 Reactions
189 Replies
11K Views
Mimi ni msikilizaji mzuri wa radio mbalimbali ikiwamo Wasafi Fm. Vipindi karibuni vyote kama Wasafi fm ukikuta wanamu_interview mtu au msanii huwa wanaboa sana wanajidai wanajua kwenda Kwa...
10 Reactions
38 Replies
2K Views
Wakuu, Baada ya wananchi kuvamia page za serikali mpaka za rais samia na no reforms no election chawa na kupe wa mama wamekuja na kampeni yao ili kuonesha mama anakubalika. Kwenye masuala ya...
8 Reactions
50 Replies
3K Views
Mtoto wa Will Smith, Jaden Smith, amefungua mgahawa wake wa "I Love You Restaurant”—mahali ambapo watu wenye uhitaji na wanaokabiliwa na ukosefu wa makazi wanaweza kula BURE. Sasa, mtu yeyote...
4 Reactions
26 Replies
1K Views
Jamani hii couple ya Navykenzo hua naipenda sana. Imedumu na ni mfano wa kuigwa. Sijawaona hadharani siku nyingi mpaka nilipowaona Jana kwenye harusi ya Jux. Nahreel hana raha na amekonda na sio...
7 Reactions
62 Replies
5K Views
  • Closed
Nawapa taarifa wafuasi na mashabiki wa Chadema kuwa diamond platnumz ni mkubwa kuliko chama chenu. Naona sasa hivi mnaendesha jaribio la mtandaoni kumzuia Diamond kufanya shughuli zake za muziki...
0 Reactions
71 Replies
3K Views
Mjadala ambao umechukua hisia za mashabiki katika viunga mbalimbali Africa ya mashariki ni kuhusu hoja iliyoletwa na watangazaji vijana machachari wa East Africa radio kuwa Diamond Platinumz ni...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Diamond Imemchukua Miaka 6 Kumtengeneza Jux kuwa Msanii Namba 2, Alianza 2019 Akambless na Sugua, 2023 Enjoy, 2024 Ololufe Mi, Zote Hits 2023 Akampeleka BK Arena RWANDA [emoji1206] Kwenye Trace...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Usiku wa kuamkia leo msanii Yammi amefanya uzinduzi wa wimbo wake mpya na akifanya interview na waandishi wa habari amefunguka kuwaalika wasanii Nandy na Billnass lakini hawajatokea, mbali na hilo...
7 Reactions
74 Replies
4K Views
Staa wa zamani wa Yanga Princess anayekipiga klabu ya wanawake ya Al Nassr amefunguka kuhusu mahusiano. Anasema kwasasa hana mpenzi kwakuwa wanaume wengi wanaogopa kumtongoza. Una maoni gani?
14 Reactions
99 Replies
5K Views
Source: BBC South African reggae musician, Lucky Dube, has been shot dead in front of his children during an attempted car hijacking. What is your reaction to his death? One of South Africa's...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Naona Jaden Smith Kapita nayo huko,je harmo amefeli wapi.
2 Reactions
25 Replies
1K Views
Wakuu Huu mbona kama ni mkakati hivi wa kutaka kututoa kwenye Reli? Msanii wa Bongo Fleva, Nadeem Abdul maarufu kwa jina la Diamond Platnumz amemuoa mpenzi wake wa muda mrefu Zuhura Othman Soud...
1 Reactions
32 Replies
7K Views
Namuona sana kijana mmoja mtandaon anaitwa jay Combat. Anajua kuimba nyimbo za uswazi almaaurufu mnanda au mchiriku au vanga. Kiukweli toka atutoke duniani Juma Mpogo GOAT wa mnanda bado pengo...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Wakuu! Msanii Ambwene Yesaya maarufu A.Y amesema wanaomkasirikia kisa kuwa Samia Kings hawana utimamu wa akili, akijibu madai ya baadhi ya mashabiki wanaomtuhumu kwa Uchawa.
3 Reactions
51 Replies
3K Views
The music icon says he believes it’s “addictive” and “leads to other drugs” Elton John criticized the legalization of marijuana, saying it’s “addictive” and impairs cognitive thinking. “I...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Huyu jamaa kwa sasa hana mpinzani. Na contents haishiwi. Tunae sana. https://youtu.be/K3uWj2MpydI?si=waw1IIdb73q7akb6
0 Reactions
5 Replies
803 Views
ASKOFU Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, amesema yeye si tajiri kama inavyodhaniwa, bali alichonacho ikiwa ni pamoja na nyumba, magari na helikopta ni baraka tu za Mungu, lakini kama...
0 Reactions
191 Replies
30K Views
Hatimaye! Baada ya sarakasi nyingi, Msanii Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ amekata shauri la kumuoa mpenzi wake ambaye ni msanii ndani ya lebo yake ya muziki (WCB) Zuhura Othman Soud ‘Zuchu’...
32 Reactions
404 Replies
20K Views
Back
Top Bottom