Kwanza nianze kumpongeza msanii mwimbaji Nikki wa pili ambaye kwa mujibu EATV anasoma PhD kwa sasa.
Tanzania atakuwa msanii wa ngapi kuwa noyo PhD?
Afrika Mashariki je
Afrika Mashariki na Kati...
Unajua manara ana hii tabia ya kuchonganisha watu pia ana tabia ya kuwapondea watu anapokuwa amezungukwa na watu, alishawai kumzungumzia vibaya Hersi ambaye ni Rais wa Yanga. Pia safari hii...
Toka miezi kadhaa tangu alikiba kuambiwa ni mbana pua na Master Jay, voice note zilizovuja zimeonesha Manara akigongelea msumari kuwa Alikiba ni mbana pua tu.
Inaonekana Alikiba ana maadui wengi...
Hivi Huyo kijana wa Mwanza amechoma mercedes benz
Kwann asingepeka kwa watumishi wakiliombea au akawapa msaada watumishi wa Mungu wa Huko vijijini angepata dhawabu
Kitendo hicho kitakuwa na...
Nimevutiwa na utajiri mkubwa huyu kijana mwenye miaka 31.
Amekuwa akiuza maji kabla ya kujiajiri kwa kazi be ya kufunga mziki magari na kuyapimpu.Kazi hii kafanya kwa miaka zaidi ya ishirini...
Katika kitu ambacho Irene Uwoya anakijutia na ataendelea kukijutia katika maisha yake ni kukubali kumvulia kufuli dogo janja, wengi sana tulimuonya tangu awali lakini alijifanya kuziba masikio na...
Nimeandika sana Threads zako hapa JamiiForums na Kukushauri mengi ila una Kiburi, Ushamba na Upumbavu mwingi. Haji Manara hivi kuna Mtu ambaye hajui na nakumbuka hata Baba yako alishakuambia kuwa...
Mwanaume anayesambaza picha za utupu za mpenzi wake,hana akili.
Kushinda ile kesi haimaanishi hakufanya,mahakama zetu tunazijua
Ukiangalia matwndo yake tu unajua Mwijaku amekulia makuzi ya...
Staa wa muziki, Jux, amerudi bongo usiku wa kuamkia leo, Septemba 5, akitua kwenye Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere akiwa na mpenzi wake Priscilla Ajoke, mtoto wa mwigizaji mkongwe Iyabo...
Taharuki iliyotokea Kenya haina mashiko zaidi ya ujinga
Diamond Platnumz ni msanii mkubwa Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla wala haina haja ya kubisha kufanya hivyo ni kukumbatia ubishi...
Kwa wale wa zamani kidogo wanafahamu hawa ni moja wa madansa wenye heshima kubwa.
Leo ndani ya Isumba lounge zamani Jolly Club patakuwa na mpambano kati ya wakongwe hawa wa disko.
Kamakawa...
Mimi huwa nawashangaa sana , kuna vijana wanakunja mpunga huko Youtube tusiwachukulie poa. Mwaka uliopita Diamond kakunja zaidi ya bilion 6 youtube kwa nyimbo yake Diamond Platnumz earns over...
TAARIFA KWA UMMA
Ndugu MTEGANDA HUSSEIN almaarufu "MTEGANDA",
pichani, ametoweka jijini Mbeya tangu tarehe 25 December,2024 majira ya saa saba usiku.
MTEGANDA alikuwa jijini Mbeya kwaajili ya...
Sultan Tamba na kundi lake la Tamba Arts group ambapo humo ndani unakutana na waigizaji kama Riyama Ally, Mwajabu Kazimili (Bi Nyamisi),Rehema Msangule (Doreen Nsyuka),Sanjo,Ringo,Chilisosi, nk...
Je umeshawai kuiona movie ya Titanic ya mwaka 1997 ??
Bila shaka baada yakuiona hiyo picha hapo juu,, jibu ni ndiyo na kama bado unaweza kuitafuta sasa kwenye site mbalimbali na kuitazama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.