Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Huyu Masai Hana muda sana tangu aingie au kujiunga social media kama Instagram na TikTok ila followers wanazid Kwa Kasi ya 5G,na Hana hata miaka 4 . Diamond, Millard, Wema, Shilole na wengine...
6 Reactions
60 Replies
4K Views
Aziz Kii mchezaji Mpira raia Burkina Faso kuja nchini kucheza Mpira ilikuwa mpango wa Mungu ili awakutanishe Na Hamisa The mother of our future leader. Tuwaombee Mungu awajalie wapate mtoto...
20 Reactions
62 Replies
3K Views
Hivi huyu mtangazaji yuko wapi siku hizi? Sijamsikia muda mrefu kweli.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Ni mwanamke ninayempenda sana. Nampenda Sylvia mwanamke aliyewahi kuvuma katika tasnia ya urembo nchini Tanzania. Kwa sisi wanaume tunaojua mrembo ni nani huyu this woman is real, nampenda...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Jamani super modo Leo ni wedding yake. Anaolewa na nini, mbona kafichwa hivyo.. Au mume ya mutu? ======== Hatimaye mwanamitindo wa kimataifa, Flaviana Matata amekuwa Mrs Massawe. Flavy na...
2 Reactions
140 Replies
67K Views
Kayaandika haya KILA KAZI INA GHARAMA YAKE!! Acha tulipe gharama ya tulichoitiwa. NAKUPENDA MPAKA PUMZI YANGU YA MWISHO MKE WANGU. Hili nalo litapita🙏🏿 TUOMBEENI NASI TUNAOMBA. MTETEZI WETU YU HAI🙏🏿
22 Reactions
158 Replies
25K Views
1. Gara B achana na events za kujazana ujinga. Nyoosha kiingereza chako ingia dimba za kimataifa (level za Energy Summit). 2. Jifunze kwa moderators wa sessions za huu Mkutano. Kama kichwa si...
6 Reactions
14 Replies
2K Views
Msanii Abigail Chams aliyeteuliwa kuwania tuzo za BET Leo akiwa Bungeni Dodoma.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Msanii wa Bongo fleva, Msami amejitokeza na kujilipua kwa kukemea na kumshauri Rais Samia kutokana na hali ya usalama iliyopo nchini kwa sasa ambapo watu wanauawa na kutekwa. Akiongea katika video...
3 Reactions
10 Replies
916 Views
Mfanyabiashara maarufu wa magari nchini, Ndugu Dotto Magari anatarajiwa kufanya mkutano na waandishi wa habari, kuzungumzia na kufafanua masuala ya kitaifa na Kimataifa. Wote mnakaribishwa.
7 Reactions
81 Replies
5K Views
Ukizungumzia msanii wa Hip Hop waliokuwa wana matukio ya kushangaza na ukorofi basi huwezi kumuacha Kala Pina mzee wa Kikosi cha Mizinga kutokea pale Kinondoni Block 41. Pina aliwahi kutishia...
17 Reactions
74 Replies
4K Views
Lala salama mtumishi wa Mungu aliye hai. Nilichojifunza kwako ni kwamba Mungu wetu hawekewi mipaka, yeye humpa karama amtakaye kwa sifa na utukufu wake. Felician V. M. Nkwera Felician Venant...
26 Reactions
271 Replies
17K Views
Huyu Mtumishi wa Mungu aliekuwa akihudumu zaidi katika uimbaji nyimbo za injili ...alikuwa akisikika sana siku za nyuma na nyimbo zake zilikuwa na mafundisho mengi sana sio tu kwa watu walimpokea...
10 Reactions
26 Replies
4K Views
✍️ #Ibraah “Sito kusifu roho mbaya na wala sito kutangazia mabaya yako na ndio mana hata waandishi wa habari na wakwepa mana sitamani kuona unaandikwa vibaya kwenye mitandao ya kijamii wewe ni...
22 Reactions
149 Replies
10K Views
Wakuu! Tanzania's Sweetheart Wema Sepetu amepokea ukosoaji mkubwa kutoka kwa watumiaji wa Mitandao ya kijamii kwa hiki kivazi
10 Reactions
102 Replies
7K Views
Wakuu, Hili limenishangaza, BASATA inakuwa kama vile mpo kwaajili ya kusumbua wasanii tu na kuwaona wanafeli kwa nguvu zote, yaani kwa miaka yote hii hiki ndio kikubwa Watanzania wanaona...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Wakuu, Hivi karibuni, Ibraah amekuwa kama “hot cake” kwenye anga za muziki si tu kwa sababu ya mafanikio ya wimbo wake Copy and Paste, bali zaidi kutokana na sakata lake na lebo ya Konde Gang...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Aliyekuwa mwigizaji wa Filamu nchini marehemu Hawa Hussein (Carina), amezikwa leo Aprili 19, 2025 katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam. Carina alifariki dunia Aprili 15, 2025 nchini...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Mbilia Bel akiimba kwa hisia kubwa sana moja ya nyimbo zake za enzi zileeeee,nafikiri mtakuwa mnazikumbuka. “bado niko fiti” si mnamuona wenyewe,sasa msikose kesho pale new world...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Amani iwe nanyi wapendwa, Dada yetu Wastara Juma leo amefunga ndoa ya kiislam na kufanya idadi yake ya kuolewa kufika mara saba. Dada huyo ambaye juzi tumetoka kumchangia pesa za matitabu...
23 Reactions
280 Replies
37K Views
Back
Top Bottom