Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Video Hongera zake kijana.
8 Reactions
108 Replies
35K Views
I. Hapa TANZANIA (Tanganyika na Zanzibar) tunao kwa MAELFU ya watu wenye tabia mbovu PENGINE KUMZIDI p.didy (za kuwadhulumu watu wengine kingono). II. Wengi wa waathirika huishia kunyamaza kimya...
16 Reactions
67 Replies
4K Views
Ee bhana eeh huu mwaka umeanza na mbio sana. Huu mwaka utaisha haraka maana si kwa raha hizi!! Ukiangalia mbele raha nyuma raha pembeni raha!! Ni raha juu ya raha!! Baada ya jux kufunga ndoa, na...
6 Reactions
43 Replies
3K Views
Celebrity Mwijaku ametoa zawadi ya Eid kwa kulipia Kodi za nyumba jamii Maskini 1000 kwa miezi 12
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Imenishangaza kuona ule ugomvi wa mganga maarufu wa miaka hiyo nani hakumfahamu Dr Manyaunyau? Akipigwa na mganga mwenzie mabanzi ya kutosha huku akitishiwa kubutuliwa na risasi pia wakiwa msibani...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Mwana yupo jela kwa Kesi ya unga, yule slay qeen karudi tena kwenye game la kukaa uchi Insta... she belongs to the streets. Mwanzo aliolewa akapotea mtandaoni na akabadili na Dini mixture kuvaa...
12 Reactions
125 Replies
9K Views
Miss Tanzania Namba 2 Mwaka 2006, Jokate Mwegelo maarufu kama Kidoti amesema kuwa katika mahusiano yake ya kimapenzi alitokea sana kumzimikia Hasheem Thabit kuliko Wanaume wote aliowahi kutoka...
12 Reactions
282 Replies
60K Views
Kupitia harusi ya Jux kule Nigeria nimepata somo kubwa sana. A: 1. Nigeria 🇳🇬 wanaheshimu sana mila 2. Nigeria 🇳🇬 ni wachangamfu sana 3. Nigeria 🇳🇬 wana vibe kubwa 4. Nigeria 🇳🇬 kwenye...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Stori Imelda Mtema na Erick Evarist | Gazeti la Uwazi PENZI motomoto kati ya mwanamuziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond' na Mrembo Nambari 3 wa Tanzania 2006, Jokate Mwegelo...
1 Reactions
33 Replies
8K Views
Mcheza filamu za ngono maarufu duniani Gizelle Blanco (miaka 23) aliyeoana mcheza ngono mwenzake Roman Nomar (miaka 48) july mwaka Jana amesema "Pamoja na furaha kubwa tuliyo nayo ndani ya ndoa...
35 Reactions
424 Replies
42K Views
Inasikitisha Groomsmen wa Jux kuvaa Pink tena vazi la Nigeria! Tuwaeleweje? Bora hata mngevaa lubega la kimasai.
2 Reactions
43 Replies
1K Views
Hivi ni nani ambaye ametuvuruga akili na kukosa utu kiasi hiki? Ni nani ambaye anaweza kutumia japo 5% ya akili yake kutambua kuwa sio kila kinapaswa kuwa Spotlight mitandaoni? Ni mtu yupi...
9 Reactions
28 Replies
2K Views
Kama picha zinavyojieleza, mlimbwende huyu atinga kwa mjengo kwa mwaliko maalumu.. Kwa kasi hii ya awamu ya tano, inayoongozwa na kiongozi makini, akisaidiwa na watu makini kama Prof Kabudi, Job...
7 Reactions
249 Replies
30K Views
Wakuu, Nashawishika kuomba nisaidiwe na wanajamvi kuhusu msanii huyu wa Bongo movies ambaye habari zimekuwa zikienea kuwa ni actor mzuri wa picha za wakubwa (porn movies). Kwa yeyote...
1 Reactions
23 Replies
11K Views
Zayed Bakhresa akiwa na kinywaji chake Red Bull mkononi. Kwanini hatumii Azam Energy? Tutafute hela kwa nguvu zote wakuu!! Anyway hii gari ndio Feitoto aliomba apigie nayo picha
19 Reactions
81 Replies
5K Views
"Ilinisikitisha sana kuona mwanaume akipigwa makofi na kudhalilishwa namna hiyo tena na Mwanaume mwenzake. Taswira hiyo imeumiza sana nafsi yangu. Ilinikasirisha sana. Naumia sana kuona mtu...
1 Reactions
4 Replies
463 Views
Ameandika makamu wa rais Yanga SC Arafat Haji kupitia ukurasa wake wa Instagram. “Wanaweza kusababisha kifo chako na bado wakaja msibani kujiliza sana, wanaweza kukusababishia matatizo na wakawa...
3 Reactions
10 Replies
582 Views
Siwezi kuongea kwa niaba ya watu wenye asili ya africa wote wanaopenda hip hop, wawe wabongo, wamarekani weusi, waingereza , n.k, lakini wacha nitoe maoni yangu, Eminem is the goat (great of all...
18 Reactions
159 Replies
56K Views
Wahenga salaam, Nakumbuka zama hizo Sinta aliibukia kwenye uigizaji enzi hizo na ray Kigosi , ghafla Shigongo naye akadondoka na magazeti ya udaku, miaka hiyo penzi la P Didy na j lo linatamba...
28 Reactions
153 Replies
39K Views
Back
Top Bottom