Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

MAREKANI: Rapa na Mfanyabiashara, Sean "Diddy" Combs anatarajiwa kupandishwa Kizimbani kujibu mashtaka matatu aliyofunguliwa ambayo ni ulaghai, biashara ya ngono kwa kutumia nguvu, Usafirishaji...
14 Reactions
145 Replies
13K Views
Tarehe 16-09-2024 SEAN LOVE COMBS maarufu kama P DIDDY alikamatwa huko MANHATTAN jijini NEW YORK akihusishwa na makosa kadhaa ambayo ni kumiliki kundi kubwa la uharifu kusafirisha wanawake kingono...
5 Reactions
20 Replies
5K Views
Msanii wa Filamu na Mwanamitindo Maarufu Nchini Tanzania ametangaza ujio wa Tamasha la Rangi Zinaongea litakalo fanyika Tarehe 23/05/2025 katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ikiwa...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Wadau,hii picha nimeingalia mara tano nakujikuta kana macho yangu yananiambia huyu ni gwiji la Fashiooonnn(kwa sauti ya Deo Kitama) Ali Remtulla...nimejikuta nashangazwa na hilo pozi lake mbaya...
10 Reactions
238 Replies
40K Views
Nimesikiliza wimbo mpya wa msanii wa muziki wa kizazi kipya Emmanuel Elibariki almaarufu ‘’Nay wa Mitego’’ unaojulikana kwa jina la ‘’Amkeni’’. Wimbo huo kimsingi una baadhi ya maudhui ambayo...
5 Reactions
171 Replies
20K Views
Hawa ni wale wasanii ambao bado hawajaukubali ukweli na kila wakihojiwa wanasema wanaanda album au kuna kazi zao zinakuja mashabiki wasikilizie tu; 1. Q Chief 2. TID 3. Baraka da Prince 4. Young...
11 Reactions
30 Replies
3K Views
Kuimba mwenyewe, beat mwenyewe pia.
1 Reactions
7 Replies
458 Views
Kiungo mkabaji wa Yanga, Khalid Aucho, ameweka wazi maisha yake binafsi kuwa hajaoa mpaka sasa, lakini anataka mwanamke ambaye atampenda kutoka moyoni na si kwa sababu ya pesa zake au umaarufu...
4 Reactions
53 Replies
3K Views
Siku hizi hakuna mziki ni bange zinaimba tu, utakachoishia kuona kwenye runinga yako ni makalio sasa sijajua yanaweza kumpa mtu elimu gani Sijui itakuwa dunia ya aina gani ya watu kuoneshana...
8 Reactions
43 Replies
2K Views
Nina rafiki zangu identical twins,walizaliwa wanafanana kila kitu, Ilikuwa ngumu kuwatofautisha Kupanga ni kuchagua,Kurwa aliamua kusoma sasa yupo TRA Doto ni dalali tu mtaani Sasa tofauti yao...
15 Reactions
60 Replies
5K Views
Kama kuna bibi wa ovyo nchini ,Kajala yumo,anaulizwa kuwani kiungo gani kwenyemwili wake anakipenda zaidi anajibu eti makalio yake. P Funky ana roho ngumu sana,enzi za ujana wake kakimbiza sana...
26 Reactions
129 Replies
7K Views
Nay wa Mitego amekanusha madai ya Mange Kimambi kwamba amelipwa Milioni 100 na muda wowote atatangaza kuhamia CCM "Unaona mimi ni wa million 100 kweli.?! career yangu ina thamani kubwa sanaaaa...
10 Reactions
74 Replies
6K Views
#Porojozabongo "Usipojua kutafuta, utatafuta sababu ya kutokutafuta." "Unaelewa hiyo methali?" anauliza bongo, akiinamisha kichwa katika draft "Bado naitafakari," akajibu mgogo, akimtazama...
4 Reactions
5 Replies
368 Views
Tory lanez was reportedly stabbed in prison and rushed to a nearby hospital.
0 Reactions
3 Replies
479 Views
Ukumbi wa Super dome ulishangazwa na tukio la majiz,tajiri wa EFM na ETV kutinga ukumbini na nguo za bei chee pale tandale ambapo mgeni rasmi alikuwa rais Samia Suluhu Hadsan, Jamaa alitinga T...
4 Reactions
40 Replies
4K Views
Mwanamama huyu ni maarufu sana huko Instagram. Hufanya biashara ya chakula kwa mafanikio makubwa sana. Pia huamasisha wanawake kufanya mazoezi na Mambo ya maendeleo. Kwakweli ana majumba ya...
15 Reactions
793 Replies
126K Views
1. Sijaona awards wala msanii/ Sanaa toka Tanganyika kwenye MVCA. Kazi za sanaa mmeingiza siasa. Kimataifa mtapasikia Tu. 2. Kenya na Kiswahili chao cha kuunga wananyakua awards kama zote (Hata...
2 Reactions
4 Replies
488 Views
ZE AKILI ZANGU ZA ASUBUHI LIVE! WARAKA WANGU LIVE KWA NDUGU YANGU MARKO: Nimeusoma kwa MASIKITIKO MAKUBWA SANA WARAKA WAKO WA Baadhi ya Makundi katika Jamii kutaka KUKUMALIZA NA HASA...
74 Reactions
230 Replies
22K Views
Video ikimuonyesha the disgraced rapper P Didy akimbusu mama Yake. Acha ale tu mvua za kutosha! Nyau de adriz
2 Reactions
11 Replies
859 Views
Rihanna amethibitisha kuwa ni mjamzito wa mtoto wa tatu baada ya kuonyesha ujauzito wake hadharani kwenye hafla ya Met Gala 2025. Msanii huyo maarufu alitinga kwenye zulia jekundu akiwa amevaa...
8 Reactions
31 Replies
2K Views
Back
Top Bottom