Mbona huulizi mbona wazazi wa harmo hawapoDabuliyusibii wenzake mbona hawapo
Dabuliyusibii wenzake mbona hawapo
Hamna ndoa hapo, kuna wimbo unatarajia kutoka wiki moja au mbili kutoka sasa ambao hajamshirikisha mtu (ameimba peke yake).
Sio kweli .. Amelipiza kisasi kwasababu hakualikwa baby shower ya SimbaNisikiavyo ilikuwa sherehe ndogo iliyohusu familia na watu wa karibu. Kundi zima la WCB hawakualikwa.
Akampatie mauno ya kimakonde na apige style za baba paroko ili sara afurahie
Hamna kitu hapo, hiyo ndoa haina mwaka haijavunjika, naipa mwaka 1 tu...