nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
what is this? wote uliowataja hapo wana matatizo sana tu, Tyson alikuwa mwehu kwa pesa alizopata baada ya kutoka hood tena akiwa mdogo akafanya maujinga sana na yeye mwenyewe alikiri hilo later on, whitney houston kala sana unga na mmewe Bob na hata binti yao Bob kristine alikuja kurithi Uteja akafa na unga pia
Michael Jackson na R kelly walishakuwa cleared huko nyuma kuhusu u paedophile wao,ila 15 years ago wote tuliona video ya R kelly akimkojolea mdomoni binti wa miaka 14 cousin wa mwimbaji sparkle cha kushangaza akashinda case,michael jackson yeye aliwapa mamilioni kina Jordan chandler kuua kesi
Leo R kelly na Michael yamefumuka upya sababu ya documentaries za SURVIVING R KELLY NA LEAVING NEVERLAND.
Iko hivi bwana Gavana mkuu wa mkoa,hawa walitumika na system yao,yaani secret socities zao,famously Illuminati,kipindi wanalindwa huko miaka ya nyuma walikuwa wanahitajika,leo mambo yame change R kelly sio useful tena hata wakati Michael anakufa hakuwa useful kwao,the same jinsi walivyomshusha Nick minaj kumpandisha Card b.
Huo mfano wako wa Diamond sijui kukaa na mademu madale ni hovyo kabisa,R kelly anaishi na wale ma teenagers wa 19 years na ana wa control psychologically yaani STOCKHOLM SYNDROME haina tofauti na chama chako cha CCM kinavyotufanyia watanzania
umesema ni tuhuma tu,vipi wale uliowapa tuhuma tu na ukahakikiasha wanaingia sero ijumaa ili wasote tena inasemekana ulikuwa unaenda kuwatembelea usiku na KUWA TAUNT hadi mwana dada wa bongo movie alipotoka akakimbia chadema na kujifanya anakupenda kukupost na kukusifia,hiyo ni STOCKHOLM SYNDROME
Anyway nilichoshukuru umesema ni tuhuma tu hadi mahakama ithibitishe,sasa WALK THE TALK katika matendo na maneno yako wewe huwa unatuhumu,unahukumu ,unaumiza watu na kuharibu maisha yao .
Michael Jackson na R kelly walishakuwa cleared huko nyuma kuhusu u paedophile wao,ila 15 years ago wote tuliona video ya R kelly akimkojolea mdomoni binti wa miaka 14 cousin wa mwimbaji sparkle cha kushangaza akashinda case,michael jackson yeye aliwapa mamilioni kina Jordan chandler kuua kesi
Leo R kelly na Michael yamefumuka upya sababu ya documentaries za SURVIVING R KELLY NA LEAVING NEVERLAND.
Iko hivi bwana Gavana mkuu wa mkoa,hawa walitumika na system yao,yaani secret socities zao,famously Illuminati,kipindi wanalindwa huko miaka ya nyuma walikuwa wanahitajika,leo mambo yame change R kelly sio useful tena hata wakati Michael anakufa hakuwa useful kwao,the same jinsi walivyomshusha Nick minaj kumpandisha Card b.
Huo mfano wako wa Diamond sijui kukaa na mademu madale ni hovyo kabisa,R kelly anaishi na wale ma teenagers wa 19 years na ana wa control psychologically yaani STOCKHOLM SYNDROME haina tofauti na chama chako cha CCM kinavyotufanyia watanzania
umesema ni tuhuma tu,vipi wale uliowapa tuhuma tu na ukahakikiasha wanaingia sero ijumaa ili wasote tena inasemekana ulikuwa unaenda kuwatembelea usiku na KUWA TAUNT hadi mwana dada wa bongo movie alipotoka akakimbia chadema na kujifanya anakupenda kukupost na kukusifia,hiyo ni STOCKHOLM SYNDROME
Anyway nilichoshukuru umesema ni tuhuma tu hadi mahakama ithibitishe,sasa WALK THE TALK katika matendo na maneno yako wewe huwa unatuhumu,unahukumu ,unaumiza watu na kuharibu maisha yao .