Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Huyu kijana anatungiwa au anaimba mwenyewe maana kila siku anaaachia tu Hit songs, mimi si haters bali Tanzania haijawahi pata mtu kama huyu jamaa siku akitangulia itakuwa ni yale ya Kanumba...
11 Reactions
41 Replies
6K Views
Kwa mujibu wa utafiti wa CNN, Diamond ni moja kati ya Wasanii wa Africa wanaofanya vizuri Wasanii wengine ni 1. Burna Boy: Nigeria 2. Angelique Kidjo: Benin 3. Diamond Platnumz: Tanzania 4...
4 Reactions
57 Replies
12K Views
Kwa RDJ'S (Radio DJS) wa vituo mbali mbali vya redio hapa nchini, tukiweka pembeni sijui redio inayosikilizwa sana, coverage, hakuna maDJ wa redio wanaotisha kwa sasa kama maDJ wanaotoka East...
9 Reactions
41 Replies
6K Views
Kwa wale mliozaliwa mjini. Je, unamkumbuka DJ huyu?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa sababu naona kaamua kuchukua hatua za AJABU kudeal na WAKUBWA serikalini, na hii inapelekea baadhi ya watu kujiuliza huyu mtu ni nani? na yuko pale Tanzania kwa faida ya nani? na je kisheria...
0 Reactions
224 Replies
62K Views
Zifuatazo ni takwimu za diamond platnumz katika mtandao wa instagram. Takwimu zinaonesha tangu August 16 mpaka leo September 9 ,diamond platnums alijipatia idadi ya followers kama ifuatavyo...
2 Reactions
20 Replies
5K Views
Nina huzuni wimbo wa mshumaa wa Alikiba haukuweza kutrend youtube uliishia kushika namba mbili tu nyuma ya UNO ya Harmonize badae Baba Lao. Nilikua nategemea utashika no.1 lakini figisu hazikuisha...
5 Reactions
30 Replies
5K Views
Msanii wa muziki wa Kizazi Kipya wa muondoko wa Hop Hip, Hamis Mwinjuma maarufu MwanaFa amesema msanii wa muziki wa Hip Hop Tanzania, Rosa Ree amestahili adhabu ya BASATA, hivyo hawezi kujitokeza...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Ukiachana na u Tim huyu bwana anapendwa na watu sema hajui namna gan ya kufanya biashara ili kuendana na kas ya mashabiki Napokea maoni yenu
0 Reactions
82 Replies
10K Views
MwanaFa Asema Rosa Ree Amestahili Adhabu BASATA, Hivyo Hawezi kujitokeza kumtetea "Rosa Ree ni mdogo wangu lakini nafsi yangu itanisuta kama ntaenda kumtetea kutokana na video yake, nafkiri hata...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hii ni kwa wale wakuu wote waliochoshwa na mziki wa maigizo, Kiki za kipuuzi, sarakasi, show za play back, video za kucopy na kuungaunga, show off za kitoto na mziki wa big jii. Mark the date 25...
13 Reactions
110 Replies
15K Views
Nimefuatilia Interview aliyo ifanya Master J Na Refresh Ya Wasafi FM, Kama Master J upo Humu naomba Nikwambie na Niku JUDGE kuwa Wewe huwezi kufanya INTERVIEW na Sio JUDGE Mwenye Elimu Ya Kuwa...
12 Reactions
31 Replies
5K Views
Basi leo tunakumbuka kuzaliwa kwa King Ali Kiba naomba wote wenye mapenzi mema tumtakie neno la Heri Mfalme ukisindikiza na mstari wa wimbo unaoupenda mi naanza kama hivi... Yule aliyepanda...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Raphael Tenthani, ripota wa BBC kutoka Malawi ndani ya pozi kwenye red carpet.. Raphael Tenthani - Wikipedia
10 Reactions
141 Replies
30K Views
Ni zamu ya Konde Boi kila kona. Si ki mashairi vina na midundo tena bali ziara za kuonesha ukwasi, kukubalika na ukaribu na mamlaka zenye nguvu.Tunda limewiva sasa kila mtu analitaka. Mkulima...
73 Reactions
117 Replies
21K Views
Aliyekuwa Msanii wa Muziki, Cheka Hija Mzee maarufu 'Bibi Cheka' amefariki dunia leo mchana Novemba 28 katika hospitali ya Mloganzila Mkoani Dar. Kwa mujibu wa mtoto wa Msanii huyo mkongwe...
2 Reactions
28 Replies
7K Views
Ni juzi tu ametoka kuorodheshwa katika tuzo za Grammys 2020 akiwa na album yake ya AfricanGiant. Kwa sasa anafanya vizuri sana. Namzungumzia Burna Boy kutokea pande za Nigeria. Ngoma zake...
4 Reactions
243 Replies
26K Views
WanaJF, Maisha huwa kuna kupanda na kushuka. Kuna baadhi ya wasanii wamejimwambafai kuwa hawawezi kupanda usafiri wa umma; yupo radhi aombeombe kila sehemu ili apate fedha ya bajaji ajifiche humo...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Nadhani mtakubaliana na mimi mwanamama Zari umaarufu wake hapa Bongo umeanza kufutika; she is no more talk of the town, same to Hamissa Mobetto, washaanza kuwa old skulz. Nadhani either kutokana...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
nime miss huyu Bibi na ile single yake moja ya :ni wewe"
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom