Xavi Hernandez Alcantara
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 278
- 280
Ni juzi tu ametoka kuorodheshwa katika tuzo za Grammys 2020 akiwa na album yake ya AfricanGiant.
Kwa sasa anafanya vizuri sana. Namzungumzia Burna Boy kutokea pande za Nigeria. Ngoma zake zinaenda sana.
Je Burna Boy ni zaidi ya Wizkid na Davido kwa sasa? Au tusubiri.
Kwa sasa anafanya vizuri sana. Namzungumzia Burna Boy kutokea pande za Nigeria. Ngoma zake zinaenda sana.
Je Burna Boy ni zaidi ya Wizkid na Davido kwa sasa? Au tusubiri.