mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
WanaJF,
Maisha huwa kuna kupanda na kushuka. Kuna baadhi ya wasanii wamejimwambafai kuwa hawawezi kupanda usafiri wa umma; yupo radhi aombeombe kila sehemu ili apate fedha ya bajaji ajifiche humo kuliko kuwa wa kawaida kama walivyokuwa wakina Mzee Small, Majuto au akina TX Moshi, lakini wasanii hawa wakizazi kipya huwa hawataki kukubali maisha yao ya wakati walionao. Hivi wanakwama wapi wanaoendekeza mambo hayo?
Maisha huwa kuna kupanda na kushuka. Kuna baadhi ya wasanii wamejimwambafai kuwa hawawezi kupanda usafiri wa umma; yupo radhi aombeombe kila sehemu ili apate fedha ya bajaji ajifiche humo kuliko kuwa wa kawaida kama walivyokuwa wakina Mzee Small, Majuto au akina TX Moshi, lakini wasanii hawa wakizazi kipya huwa hawataki kukubali maisha yao ya wakati walionao. Hivi wanakwama wapi wanaoendekeza mambo hayo?