Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Age 26 Hometown Dar es Salaam Occupation TV Broadcaster Biography Tune in on Sunday 1 May to get Bhoke’s full profile. Show itaanza may 1.... Haya kazi ni kwetu kumpa support dada yetu!
1 Reactions
818 Replies
102K Views
Dellaboss perfume ya Hajji manara hii aliizindua kwa mbwembwe zote huyu msemaji wetu wana msimbazi. Lakini sasa kimyaa hata mwaka haijamaliza. Mofaya ya Alikiba, hii ni kama sijui kufata mkumbo...
6 Reactions
97 Replies
12K Views
Kila anayehojiwa na Mtangazaji ' Critical ' na ninayempenda na kumkubali kabisa Siza wa Cloudstv 360 on Saturday wakiwa ' mubashara ' kabisa kutokea Mlimani City kuwa aelezee Historia ya Mafanikio...
28 Reactions
129 Replies
23K Views
Huyu dogo sijawahi kumwelewa amshukuru sana Diamond ndio anampiga tafu. Kila wimbo kamshirikisha kama hajashirikisha basi ujue ni remix. Namshauri ache kubana pua, sisemi nikiwa na maana kuwa...
6 Reactions
81 Replies
11K Views
Akikabidhiwa tuzo la rais la mcheza golf bora 2019. Mpaka sasa Tiger ni mcheza golf mwenye umri mdogo zaidi kupata tunzo hilo. Alisindikizwa na Erica girl friend wake, mama yake na watoto wake...
9 Reactions
95 Replies
13K Views
Carrymastory anawasalimu na kuwatakia weekend njema
1 Reactions
40 Replies
6K Views
Ni nani aliethibitisha wakati huo maana nasikiasikia tu mzee alikazia mezani...who has the details na video clip je?
1 Reactions
45 Replies
7K Views
Leo niliangalia marudio ya Bongo Star Search ya Jumapili nimeona kabisa huyo Hamisi uwezo wake wa kuimba ni mdogo sana wakati wenzake uwezo wao ni mkubwa. Na amshukuru Mungu kufika hatua ya 10...
3 Reactions
15 Replies
4K Views
Wakuu naitaji mwenye nyimbo hizi. 01 Public enemy- "fight The power" 02.sugarhill Gang-"Rapper's Delight". 03.Dr.Dre-"Nuthin But A 'G' Thang" 04.Run-DMC ft/Aerosmith-"walk This way"...
1 Reactions
78 Replies
12K Views
2 Reactions
131 Replies
11K Views
Kwa style hii Mondi atabaki mawinguni miaka 800.. Ukiangalia video mpya ya Harmonize baadhi ya scenes/shots ni zile zile za kwenye nyimbo ya Baba Lao zimerudiwa save to trivial changes. Sasa...
4 Reactions
77 Replies
10K Views
Wasafi media imefikisha mil 1 subscribers ya watazamaji YouTube na kuwa ni media pekee ya tz yenye subcriber wengi kuliko media yoyote ikiwa imeanzishwa muda si mrefu.
5 Reactions
31 Replies
5K Views
Leo kwenye kipindi cha Friday night kinachorushwa na EATV km kawaida yao ya Kuwaita wasanii na kuwahoji baada ya ma underground kibao kuhojiwa ikafika ZAMU ya ney wa motego na Mimi mars na ney wa...
1 Reactions
41 Replies
7K Views
Haters tunafeli wapi? Jitihada zote kum-nyamazisha zinafeli!!!! Huyu Mondi anachagizwa na chuki (hate) kwenye mafanikio yake sababu anafanya kazi ya ziada kuwapiga mabao haters na kuwa prove...
12 Reactions
36 Replies
4K Views
😂😂😂 Kazi ipo.
2 Reactions
29 Replies
4K Views
Kitendo Cha bongo star search kumualika rayvanny Kama guest judge kimewafurahisha wengi nikiwemo mimi.Pamoja kwamba Rayvanny ni msanii mkubwa na mwenyekufanya vizuri lakini rayvanny ana kipaji...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Kama mnavyojua utafiti unaonyesha Watanzania wengi hawana furaha ya kuishi,basi na ifike mahali waandaaji wa matamasha waige mfano wa clouds,kwamba kuna watu wanauhitaji sana wa kuwaona wasanii...
5 Reactions
82 Replies
9K Views
Msaani mzaliwa wa eneo la Georgia Marekani, David Datuna amekula ndizi iliyotumika katika kazi ya sanaa ya Maurizo Cattelan ambayo iliuzwa kwa kitita cha dola $120,000 sawa na Tshs275,997,147.33...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Baraza la Sanaa la Taifa “BASATA” limempunguzia adhabu rapa wa kike nchini, Rosa Ree kutokana na kumfungia miezi sita, na badala yakekuruhusiwa kuendelea na shughuli zake za kisanaa. Barua...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom