Simjui. Ndo nani ?
Mwanadada mwenye page yake ya umbea na udaku kule instagram CarrymastorySimjui. Ndo nani ?
Huyu Ndio nani? Mbona kafanana na dr shika?
Mkuu, salamu kwako!! Kitambo SanaNa kwake pia
Ni mzuri na mrembo sana lakini hajamfikia Lovenear wa BujibujiCarrymastory anawasalimu na kuwatakia weekend njema
View attachment 1172384
Ana kimondo eti ehh!!!???Hana nyota
Tuma picha yake tumuone na yeye mkuu
Picha tulinganishe mzeeNi mzuri na mrembo sana lakini hajamfikia Lovenear wa Bujibuji