Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nmefuatilia hawa manguli wawili kwenye muziki wa kufokafoka R.O.M.A (Rhymes Of Magic Attraction) na KING KAKA aka Rabit aka rhymilionear na nyimbo zao mpya...
1 Reactions
36 Replies
6K Views
Sikupendi aisee kwa hii tabia yako
0 Reactions
55 Replies
7K Views
Habari wakuu, Nimekuwa msikilizaji mzuri wa kipindi cha supa mix cha East africa Radio kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 7 mchana. Kipindi hiki kinatangazwa na Zembwela (mchekeshaji wa zamani) na...
3 Reactions
97 Replies
20K Views
Wasalaam wana jamvi Katika moja ya changamoto kubwa kwenye biashara ya muziki na burudani kwa sasa ni wasanii kuweza kuwafurahisha mashabiki mwanzo wa show hadi mwisho hata kama msanii hana wimbo...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wakati fulani marekani Robin Givens aliwahi kutajwa kuwa ndo the most hated woman in America, enzi hizo watu walikuwa wanamuona ndo chanzo cha Mike Tyson kuchanganyikiwa, hasa aliposema aliolewa...
1 Reactions
220 Replies
26K Views
Wasalaam wakuu natumaini ni wazima wa afya tele,twenzetu kwenye mada novemba 9 Ilikuwa ni grand final ya wasafi festival in daresalaam nikili kuwa tamasha lilikuwa na muamko mkubwa Sana japo kuwa...
13 Reactions
30 Replies
5K Views
Kupiitia kipindi hewani cha mshereshaji muimbaji mwanamashairi mwanausasa Mrisho mpoto thedon kiitwacho KAA HAPA. Waziri Mwakyembe akakaribishwa kimahjiano. Katika mahijiano hayo yaliyojaa...
3 Reactions
86 Replies
11K Views
Hii ni couple ambayo wakati inaanza wengi haikuwashtua, lakini muda unavyozidi kwenda inazidi kuwa na nguvu za ajabu. Ni swala la muda tu, ila awa ndio Beyonce na Jiga wa Africa.
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Inasemekana gavana joho kampa nyumba mombasa pamoja na gari aina ya range na billion kadhaa. Huko marekani baada ya show ya kufa mtu last week p square wamemuomba collabo wamemlipa tsh 200m
9 Reactions
74 Replies
16K Views
Fahamu: Diamond Platnumz anaogopa kuoa mapema kwa hofu ya kupoteza mashabiki wake wengi wa kike kwani wapo wanaompigia mahesabu ya kumnasa kimapenzi hivyo akioa mapema haijulikani watakuwa na hali...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Waziri wa habari sanaa na michezo Dr Harrison mwakyembe ametoa pongezi zake kwa mwanamziki diamond kwa uzinduzi wa sports arena alioufanya kwa ukubwa kuanzia maandalizi pamoja na ubunifu walitumia...
1 Reactions
37 Replies
6K Views
Nasikia bibie na baby wake wapo central kwa utapeli, nasikia walimtapeli mtu kwenye instagram ya wema sepetu , watu wa matangazo.... sasa bibie akaamua aji hack apost matangazo🤣🤣, Ila njaa mbaya ...
8 Reactions
42 Replies
9K Views
Leo tuje kwenye maisha binafsi ya wasanii wetu nje ya mziki wao Tokea diamond awe na uhusiano na tanasha, mondi ametulia sana usikii sijui katoa na Nani Nampa pongezi tanasha kwa kumtuliza mondi...
1 Reactions
37 Replies
8K Views
MUIGIZAJI wa Bongo movie, Shamsa Ford amesema si kweli kwamba Diamond anawadhalilisha wanawake anaotoka nao kimapenzi kwa kusambaza video zao mtandaoni. Diamond amezua gumzo baada ya video yake...
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Kutokana na mabalaa yanayomkuta hamisa mobeto na hii caption ya shamsa , je huu ujumbe unaweza kuwa wa hamisa kutokana na matukio kadhaa aliyowahi kumfanyia zari huko nyuma? , ni kweli anayopitia...
2 Reactions
27 Replies
5K Views
Msanii wa Muziki wa Mombasa Nchini Kenya,maarufu kama Nyota Ndogo,ameamua kuachana na maisha ya upweke na kuamua kufunga ndoa na mchumba wake wa muda mrefu Kitendo cha Nyota Ndogo kuamua kufunga...
1 Reactions
38 Replies
11K Views
Mkurugenzi wa vipindi clouds media Joseph kusaga amefunguka kuhusu kudaiwa kuwa ana hisa ndani ya wasafi media kupitia mahojiano yake na jonijoo kwenye kipindi Cha bartender amesema " sina hisa...
2 Reactions
67 Replies
12K Views
Nadhani kuna siri kati ya wawili hawa... Diamond na Harmonize... Lakini hata kama ni siri lakini wameonesha ukomavu mkubwa kwenye mahojiano yao na media za bongo Media za kimbeambea na...
30 Reactions
41 Replies
8K Views
Jana nimejiskia vibaya mbaya kabisa huyu mama kaenda jamani 😴😴 Songi lake la "It must have been in love, nikimkumbuka roho Yauma eti RIP mamilooo
8 Reactions
25 Replies
4K Views
Back
Top Bottom