Mkurugenzi wa vipindi clouds media Joseph kusaga amefunguka kuhusu kudaiwa kuwa ana hisa ndani ya wasafi media kupitia mahojiano yake na jonijoo kwenye kipindi Cha bartender amesema " sina hisa...
Nadhani kuna siri kati ya wawili hawa... Diamond na Harmonize... Lakini hata kama ni siri lakini wameonesha ukomavu mkubwa kwenye mahojiano yao na media za bongo
Media za kimbeambea na...
Huyu Binti wa Mhe Mtemvu ambaye amesababisha kufungiwa kwa mashindano ya miss tanzania,
na hivyo kuwakosesha fursa mabinti wengine na waandaaji wa mashindano hayo.
Nimemuona anahojiwa leo kwenye...
Binadamu aliyeumbwa na Mungu ana haki ya kuheshimiwa. Ikiwemo kuheshimiwa rangi ya ngozi yake. Hii ni haki ya kikatiba katika nchi yetu ya Tanzania.
Mtanzania Juma Lokole akihojiwa mitandaoni...
.
.
Miezi michache kadhaa niliandika Makala maalum kuhusu Konde Boy Juu ya uamuzi wake kujiondoa WCB na vitu atakavyotakiwa kuvifanya ili kuweza kuwin soko nje ya WCB, Makala niliichapisha kwenye...
Mchekeshaji na Tv Show host maarufu nchini Marekani Ellen na mkewe Portia walikua nchini Kenya kwa mapumziko baadae wakaenda Rwanda na kukutana na Rais Kagame,
Ellen na Portia wana project ya...
Inasemekana mtoto wa Bibi bomba,alienda kumuomba C.Bella atunge wimbo maalumu kwa ajili ya mama ake mzazi ambaye ni siti mtemvu.
Kwa mujibu wa Le mutuz wa Starlet,mtoto wa siti yupo morogoro
Mkurugenzi wa Lino Agency akichat Live na mashabiki wa EATV kupitia ukurasa wa facebook wa EATV
Mkurugenzi wa Lino Agency ambao ni waandaaji wa Miss Tanzania, Hashim Lundenga amefunguka na...
Huyu jamaa siku hizi naona hafanyi mixing Kali Kama zamani.
Yaani labda naona ufanisi wake umepungua. Muda mwingi planet bongo anakuwa dj dea ata kule fnl. Sijui kwanini.
Huyu summer...
Mwanaume Alivyotumia Sura Mbaya Kupata Umaarufu, Marafiki
Imeandikwa na Kaanaeli Kaale; Tarehe: 14th September 2009
Masoud Sura Mbaya kama anavyojulikana sasa ni msanii ambaye alivuma miaka...
Leo Mendez amefanyiwa interview na Dizzim online Tv....hii ni kama response ya Bartender ya juzi kati ya Kusaga na Jonijo...japo pia mambo mengi yamekua discussed ndani kuhusu safari yake kwenye...
Inasadikika Martha Mwaipaja kaachana na mumewe
Kisa cha kuleta huu uzi ni kuelezea ninachokiona kwa waimbaji wa Muziki wa Injili hasa hawa wa kike.
Kadri mwanamke anavyokuwa na Jina kubwa...
Diamond Platnumz alitosa kusainishwa na label inayomilikiwa na Jay Z, Roc Nation
Akiongea kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, staa huyo alisema hiyo ni moja tu ya label kubwa za...
Hope mko poa tuendelee kudadavua..
Ingawa wengi tumezoea kuona story teller wengi ni wafanyaji wa miondoko ya kufoka (hip hop) hasa kule USA, na hata hapa Bongo kuna watu walijaribu kuifanya...
Katika Maisha lazima tujiandae na Mabadiliko tusiyo yatarajia. Hivyo hata katika Muziki wa Kibongo wasnii wanapaswa kuishi kwa maandalizi. Hata Diamond amabaye ni nguli wa hizi kazi naye lazima...
Kwangu me hii ngoma ndio ngoma yangu Bora kwa mwaka huu.Wakati maua sama ametoa iokote nilizani amebahatisha hi ngoma ilikuwa kubwa sana kuliko jina la maua sama nikajiuliza je ngoma inayofuata...
Kazi hufanyi, hutaki kutokwa jasho, umekaa kaa tu bila kujishughulisha halafu unataka watu wakupe pesa, wewe nani?
Wazazi wake hawakujui, kwao hutaki kwenda, mmekutana tu barabarani halafu...
Nyota wa Muziki wa Rhumba (DRC) Mzee Simaro Lutumba (Micra Jazz 1958, Congo Jazz 1959/60, TP OK Jazz 1961-1993, Bana OK 1994-2018) wiki hii anastaafu kupiga muziki (umri na matatizo ya miguu)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.