Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mkurugenzi wa vipindi clouds media Joseph kusaga amefunguka kuhusu kudaiwa kuwa ana hisa ndani ya wasafi media kupitia mahojiano yake na jonijoo kwenye kipindi Cha bartender amesema " sina hisa...
2 Reactions
67 Replies
12K Views
Nadhani kuna siri kati ya wawili hawa... Diamond na Harmonize... Lakini hata kama ni siri lakini wameonesha ukomavu mkubwa kwenye mahojiano yao na media za bongo Media za kimbeambea na...
30 Reactions
41 Replies
8K Views
Jana nimejiskia vibaya mbaya kabisa huyu mama kaenda jamani 😴😴 Songi lake la "It must have been in love, nikimkumbuka roho Yauma eti RIP mamilooo
8 Reactions
25 Replies
4K Views
Huyu Binti wa Mhe Mtemvu ambaye amesababisha kufungiwa kwa mashindano ya miss tanzania, na hivyo kuwakosesha fursa mabinti wengine na waandaaji wa mashindano hayo. Nimemuona anahojiwa leo kwenye...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Binadamu aliyeumbwa na Mungu ana haki ya kuheshimiwa. Ikiwemo kuheshimiwa rangi ya ngozi yake. Hii ni haki ya kikatiba katika nchi yetu ya Tanzania. Mtanzania Juma Lokole akihojiwa mitandaoni...
3 Reactions
54 Replies
14K Views
. . Miezi michache kadhaa niliandika Makala maalum kuhusu Konde Boy Juu ya uamuzi wake kujiondoa WCB na vitu atakavyotakiwa kuvifanya ili kuweza kuwin soko nje ya WCB, Makala niliichapisha kwenye...
2 Reactions
28 Replies
6K Views
Mchekeshaji na Tv Show host maarufu nchini Marekani Ellen na mkewe Portia walikua nchini Kenya kwa mapumziko baadae wakaenda Rwanda na kukutana na Rais Kagame, Ellen na Portia wana project ya...
4 Reactions
42 Replies
7K Views
Inasemekana mtoto wa Bibi bomba,alienda kumuomba C.Bella atunge wimbo maalumu kwa ajili ya mama ake mzazi ambaye ni siti mtemvu. Kwa mujibu wa Le mutuz wa Starlet,mtoto wa siti yupo morogoro
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Mkurugenzi wa Lino Agency akichat Live na mashabiki wa EATV kupitia ukurasa wa facebook wa EATV Mkurugenzi wa Lino Agency ambao ni waandaaji wa Miss Tanzania, Hashim Lundenga amefunguka na...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Huyu jamaa siku hizi naona hafanyi mixing Kali Kama zamani. Yaani labda naona ufanisi wake umepungua. Muda mwingi planet bongo anakuwa dj dea ata kule fnl. Sijui kwanini. Huyu summer...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Mwanaume Alivyotumia Sura Mbaya Kupata Umaarufu, Marafiki Imeandikwa na Kaanaeli Kaale; Tarehe: 14th September 2009 Masoud Sura Mbaya kama anavyojulikana sasa ni msanii ambaye alivuma miaka...
0 Reactions
7 Replies
15K Views
Leo Mendez amefanyiwa interview na Dizzim online Tv....hii ni kama response ya Bartender ya juzi kati ya Kusaga na Jonijo...japo pia mambo mengi yamekua discussed ndani kuhusu safari yake kwenye...
2 Reactions
73 Replies
13K Views
Inasadikika Martha Mwaipaja kaachana na mumewe Kisa cha kuleta huu uzi ni kuelezea ninachokiona kwa waimbaji wa Muziki wa Injili hasa hawa wa kike. Kadri mwanamke anavyokuwa na Jina kubwa...
24 Reactions
266 Replies
80K Views
Diamond Platnumz alitosa kusainishwa na label inayomilikiwa na Jay Z, Roc Nation Akiongea kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, staa huyo alisema hiyo ni moja tu ya label kubwa za...
27 Reactions
193 Replies
24K Views
Hope mko poa tuendelee kudadavua.. Ingawa wengi tumezoea kuona story teller wengi ni wafanyaji wa miondoko ya kufoka (hip hop) hasa kule USA, na hata hapa Bongo kuna watu walijaribu kuifanya...
4 Reactions
63 Replies
10K Views
Katika Maisha lazima tujiandae na Mabadiliko tusiyo yatarajia. Hivyo hata katika Muziki wa Kibongo wasnii wanapaswa kuishi kwa maandalizi. Hata Diamond amabaye ni nguli wa hizi kazi naye lazima...
4 Reactions
30 Replies
7K Views
Kwangu me hii ngoma ndio ngoma yangu Bora kwa mwaka huu.Wakati maua sama ametoa iokote nilizani amebahatisha hi ngoma ilikuwa kubwa sana kuliko jina la maua sama nikajiuliza je ngoma inayofuata...
3 Reactions
17 Replies
4K Views
Kazi hufanyi, hutaki kutokwa jasho, umekaa kaa tu bila kujishughulisha halafu unataka watu wakupe pesa, wewe nani? Wazazi wake hawakujui, kwao hutaki kwenda, mmekutana tu barabarani halafu...
8 Reactions
26 Replies
9K Views
Nyota wa Muziki wa Rhumba (DRC) Mzee Simaro Lutumba (Micra Jazz 1958, Congo Jazz 1959/60, TP OK Jazz 1961-1993, Bana OK 1994-2018) wiki hii anastaafu kupiga muziki (umri na matatizo ya miguu)...
5 Reactions
33 Replies
7K Views
Kuna tetesi eti mrembo huyo wa tasnia ya bongo movie kuwa ameolewa kimya kimya na mwarabu mmoja mwenye pesa zake. Tusaidiane jamani.
0 Reactions
41 Replies
11K Views
Back
Top Bottom