Leo niliangalia marudio ya Bongo Star Search ya Jumapili nimeona kabisa huyo Hamisi uwezo wake wa kuimba ni mdogo sana wakati wenzake uwezo wao ni mkubwa. Na amshukuru Mungu kufika hatua ya 10 Bora, hakustahili kufika hatua hiyo.
Ifike kipindi watanzania tuache unafiki pale Bongo Star Search wanaangalia kipaji na si mtu kutia huruma na washiriki wote wameenda kwa ajili ya kutafuta nafasi ya kuonekana na pia kutafuta maisha kupitia vipaji vyao.
Hitimisho: kiukwel Bongo Star Search ya mwaka huu ndio yenye vipaji vikubwa kuliko Bongo Star Search zote kwa mtazamo wangu. Kwa upande wangu nimewakubali hawa watu Frank, Mshaki na Leonard - wanafanya poa sana.
Ifike kipindi watanzania tuache unafiki pale Bongo Star Search wanaangalia kipaji na si mtu kutia huruma na washiriki wote wameenda kwa ajili ya kutafuta nafasi ya kuonekana na pia kutafuta maisha kupitia vipaji vyao.
Hitimisho: kiukwel Bongo Star Search ya mwaka huu ndio yenye vipaji vikubwa kuliko Bongo Star Search zote kwa mtazamo wangu. Kwa upande wangu nimewakubali hawa watu Frank, Mshaki na Leonard - wanafanya poa sana.