Harmonize,Marioo au Alikiba nani Akalie kiti ?

Justine Marack

JF-Expert Member
Jul 31, 2014
564
1,548
Katika Maisha lazima tujiandae na Mabadiliko tusiyo yatarajia. Hivyo hata katika Muziki wa Kibongo wasnii wanapaswa kuishi kwa maandalizi. Hata Diamond amabaye ni nguli wa hizi kazi naye lazima aishi kwa kujiandaa. Nitaandika kuhusu anguko la Diamondo siku nyingine.

Leo napenda kuzungumzia kiti ambacho kwa sasa kiangombewa kwa vita kali. Kiti kinacho gombewa ni kile cha upinzania mbacho Alikiba amekikalia kwa takribani miaka kumi na sasa ameinuliwa toka kitini hapo na sasa anasubiriwa apige hatua kurudi nguma au pembeni ili aache mwingine akalie. Je, nani kukalia kiti hicho ? Ni Marioo?ni Harmonize? au Alikiba atafanikiwa kung'ang'ana kama mzee wetu Polofesa kule kwa Ngangari?

Baada ya Konde boy kujiondoa WCB ilitarajiwa aibuke kuwa mpinzania mkubwa wa Mzee Baba lao lakini hali inaoneka kuwa tofauti na matarajio hasa baada ya Alikiba naye kufanya mabadiliko makubwa katika menejimenti yake mbayo infanya tunaona vitu ambavyo hatukuvizowea kwa Kiba. Sasa Kiba naye Anafanya festival, sasa kiba anamdis mondi kila interview sasa Kiba anapost na kuandika Mambo mbalimbali ya kujimwambafai tofauti na zamani. Meneja wa Kiba naye sasa anamjibu Tale ngadukwangadu . Hii yote ni Kiba anajaribu kubakisha mashabiki wake ambao waliona Harmonize ndio kimbilio ili kumkomoa Mondi na wakati wakiwa njiani kuelekea kwa Mmakonde huku nyuma wanaona mfalme wao amezinduka, je watamuamini na kurudi au wanaendelea na safari.
Wakati hayo yakiendelea kuna Marioo naye kaibuka kwa kasi ya kisulisuli. Huyu naye anaimba syle ya Mondi. Ndio, kila mtu anaangalia upenyo na si mwingine ni kupita alipo pita Mondi kama alivyo fanya Harmonize na kufanikiwa kutoboa.
Sasa Marioo anapita muemule na sasa naye amejimegea Mashabiki hasa toka katika kundi tengefu la Kiba. Hkweli ni Kwamba Mashabiki wa Diamond ni Blood fans ndio maana unaona vimbunga vyote kuanzia kwa Belle9,Yamoto Band,Aslay,Mavoko,Darasaa mpaka sasa kwa Harmo na zilipendwa wetu Kiba bado Mondi yuko imara. Uimara wa Chibu ni hii miaka kumi ambayo kila kijana amebarehe akicheza Sangoro sangoro mpaka sasa wana Kanyaga na Yope kisha wanajiona Baba lao.
Hizi ndio mbegu anazo panda mondi kwenye Mioyo ya hawa shabiki zake bila kusahau namna anavyo wapinduapindua katika dancefloor ukitoa Mbagala unabandika Kanyaga ukipiga Yope na kupoozea kwa Inama unakuja Kutuliza kwa Iyena na Nasema nawe hapo unakua umefika mpaka pwani na ukichoka untuliza kwa Baila.
Sasa hapo tunaona Mondi hana wa kumtikisa tena baada ya Darassa kushindwa. Nitaeleza makala ijayo kwanini namtaja Darassa. Labda kwa kudokeza tu kama ulikua hujui Wimbo ya Diomond na Mavoko KOKORO ni moja kati ya Nyimbo kubwa sana WCB na ingetikisa sana lakini Kimbunga cha MUZIKI ya Darassa kilifanya mpaka leo wimbo huu umekuwa wa kawaida yaani ile kisulisuli cha Darassa kinapoa na Kokoro imesahaulika ingawa mpaka sasa Mavoko huu ndio wimbo wake wa kujivunia jukwaani.

Turudi kwenye Mada yetu, je Nani atakalia kiti. Ni wazi Harmonize hakutarajia kama Kiba atabadilika na kuzinduka huku Marioo akiangalia step za wababe hawa ili awapige push kwa pamoja akae na kupambana na Mondi.
Tupe maoni yako.
 
Aibu naona mimi... Hata wachangiaje hamna.

Walau mie basi..
 
Katika Maisha lazima tujiandae na Mabadiliko tusiyo yatarajia. Hivyo hata katika Muziki wa Kibongo wasnii wanapaswa kuishi kwa maandalizi. Hata Diamond amabaye ni nguli wa hizi kazi naye lazima aishi kwa kujiandaa. Nitaandika kuhusu anguko la Diamondo siku nyingine.

Leo napenda kuzungumzia kiti ambacho kwa sasa kiangombewa kwa vita kali. Kiti kinacho gombewa ni kile cha upinzania mbacho Alikiba amekikalia kwa takribani miaka kumi na sasa ameinuliwa toka kitini hapo na sasa anasubiriwa apige hatua kurudi nguma au pembeni ili aache mwingine akalie. Je, nani kukalia kiti hicho ? Ni Marioo?ni Harmonize? au Alikiba atafanikiwa kung'ang'ana kama mzee wetu Polofesa kule kwa Ngangari?

Baada ya Konde boy kujiondoa WCB ilitarajiwa aibuke kuwa mpinzania mkubwa wa Mzee Baba lao lakini hali inaoneka kuwa tofauti na matarajio hasa baada ya Alikiba naye kufanya mabadiliko makubwa katika menejimenti yake mbayo infanya tunaona vitu ambavyo hatukuvizowea kwa Kiba. Sasa Kiba naye Anafanya festival, sasa kiba anamdis mondi kila interview sasa Kiba anapost na kuandika Mambo mbalimbali ya kujimwambafai tofauti na zamani. Meneja wa Kiba naye sasa anamjibu Tale ngadukwangadu . Hii yote ni Kiba anajaribu kubakisha mashabiki wake ambao waliona Harmonize ndio kimbilio ili kumkomoa Mondi na wakati wakiwa njiani kuelekea kwa Mmakonde huku nyuma wanaona mfalme wao amezinduka, je watamuamini na kurudi au wanaendelea na safari.
Wakati hayo yakiendelea kuna Marioo naye kaibuka kwa kasi ya kisulisuli. Huyu naye anaimba syle ya Mondi. Ndio, kila mtu anaangalia upenyo na si mwingine ni kupita alipo pita Mondi kama alivyo fanya Harmonize na kufanikiwa kutoboa.
Sasa Marioo anapita muemule na sasa naye amejimegea Mashabiki hasa toka katika kundi tengefu la Kiba. Hkweli ni Kwamba Mashabiki wa Diamond ni Blood fans ndio maana unaona vimbunga vyote kuanzia kwa Belle9,Yamoto Band,Aslay,Mavoko,Darasaa mpaka sasa kwa Harmo na zilipendwa wetu Kiba bado Mondi yuko imara. Uimara wa Chibu ni hii miaka kumi ambayo kila kijana amebarehe akicheza Sangoro sangoro mpaka sasa wana Kanyaga na Yope kisha wanajiona Baba lao.
Hizi ndio mbegu anazo panda mondi kwenye Mioyo ya hawa shabiki zake bila kusahau namna anavyo wapinduapindua katika dancefloor ukitoa Mbagala unabandika Kanyaga ukipiga Yope na kupoozea kwa Inama unakuja Kutuliza kwa Iyena na Nasema nawe hapo unakua umefika mpaka pwani na ukichoka untuliza kwa Baila.
Sasa hapo tunaona Mondi hana wa kumtikisa tena baada ya Darassa kushindwa. Nitaeleza makala ijayo kwanini namtaja Darassa. Labda kwa kudokeza tu kama ulikua hujui Wimbo ya Diomond na Mavoko KOKORO ni moja kati ya Nyimbo kubwa sana WCB na ingetikisa sana lakini Kimbunga cha MUZIKI ya Darassa kilifanya mpaka leo wimbo huu umekuwa wa kawaida yaani ile kisulisuli cha Darassa kinapoa na Kokoro imesahaulika ingawa mpaka sasa Mavoko huu ndio wimbo wake wa kujivunia jukwaani.

Turudi kwenye Mada yetu, je Nani atakalia kiti. Ni wazi Harmonize hakutarajia kama Kiba atabadilika na kuzinduka huku Marioo akiangalia step za wababe hawa ili awapige push kwa pamoja akae na kupambana na Mondi.
Tupe maoni yako.

Umeongea kama mtoto mdogo, na umeongea kutojua historia!!

Umeongea kama katuni, umeongea kama umepagawa

Umeongea kwa ushabiki, na umeongea pasipo kushirikisha ubongo


KWANZA POLE

Wenye akili hatuko tayari kuingia kwenye hilo gari au huo mtumbwi wa kufananisha waimbaji!!!!! IS JUST INSANE

Labda uongelee nani kafanya mapinduzi ya nyimbo, nani kaleta mchango kwenye style na ongea with evidence, LEGENDARY wanapimwa kwa mtazamo huo, HAWAPIMWI kwa kuimba na kutoa single

Leo hata wewe ambae una sauti kama panya ukiimba, kazima kuna washabiki watatu utawapata na watakufia tu!!!!!! hata mtu awe mbovu vipi au mzuri vipi KUNA WATAKAOMPENDA NA KUNA WATAKAOMCHUKIA....ni asili, ni nature, ni kawaida, ndio ubinadamu, sawa we kilaza?

miaka ya tisini mwanzoni kulikuwa na makundi ya Hipohop Maeneo ya kishua DSM , Arusha, Moshi na Mwanza. Haya mengi yalianzia mashuleni na kuwa influenced na vuguvuvu la muziki wa USA, HipHop kwa kizazi kipya ndio muziki wa kwanza mkubwa, na uliokomaa, na ulizaa makundi mengi sana mpaka unakuwa public miaka ya 1994 haikuwa rahisi, na Radio One akina Muhagama na muda huo mawingu, clouds likuwa kama lebo tu, wauza kaseti, kupigisha disko kwenye masherehe n.k

Clouds baada ya experience ya mitaani wakaweka emphasis kwenye kuimba na baadhi ya makundi ya Rap/HipoHop members wakaanza kuingia kwenye muziki wa kuimba wa bongo flava

Akina TID, abby skils, dully skyes, Kiba, Voice Wonder na wengine ndio wale ambao akaufanya muziki wa kuimba uanze kupata washabiki na kuanza kuleta ubunifu mbalimbali, haya yaite MAPINDUZI NUMBER MOJA haya

KIBA, amefananishwa au kupambanaishwa na wengine wengi mno, akina MB-Dog, RJ-Desire, machozi, z-anto, belle9, suma lee, bushoke, marlaw, samir mzee wa nyuli nyuli, TID, Voice wonder, Pasha, beka ibrozama (kama una moyo mdogo usimsikilize huyu akiimba!)

Hawa wote wamepotea kwa sababu ya maisha yao na sababu mbalimbali na mchango wao ni mkubwa na mpaka leo nyimbo zao zinaishi..........Najua voice wonder haumjui, wewe ingia youtube watafute hao.....

Diamond kakuta mziki wa bongo flava umefika mbali , kauchukua kama shujaa na kuanza kufanya modification zake na kuweka vionjo mbali mbali na kuhusianisha muziki na maisha yake binafsi kupata washabiki! akaweka sura ya kibishara; MAPINDUZI NUMBER MBILI haya

Kiba umeona kabaki for the past 17 years akiwa active same voice, same style na hajabadilika, unaweza kusikiliza nyimbo za wa mwaka 2009, 2013, ni kama katoa jana, ni aina ya uimbaji wake na style yake ambayo inaelezea ile original BONGO FLEVA...ilikuwa na ilimaanisha kwa vizazi vyetu na aina ya watu tuliokuwa nao. akina kiba wanajua ndani ya moyo muziki kwetu ni kitu gani , unatakiwa uweje. siri hii ukitaka kujua , kaa chini angalia hata bongo flava za zamani hizo, za hao wengine zilikuwa nzuri. Hata diamond nyimbo za mwanzo zilikuwa na ile ladha halisi ya bongo flava na hazijaisha utamu hata leo.....utatamani na kufurahia kusikiliza 'nenda kamwambie'' hata kucheza sio vibe la miziki ya kicongo, ukianzia akina marijani rajabu, hemed maneti, remmy ongala, YOU SEE...ilikuwa just slow, mashairi, na kumbembelezana au kuchambana ( tarabu)


Sasa kila mmoja ana mchango wake, style yake; kwa heshima kabisa bila kupepesa macho hata DIAMOND anapaswa waziwazi akiri kuwa AII KIBA NI LEGEND kwake, i mean kama hana uswahili....kama ana kili za 'kizungu' na sio za Tandale vyoo vichafu

Ali kiba na Bob-junior ndio watu ambao walirekodi nyimbo ya diamond mara ya kwanza, na wao ndio waliomwambia asiimbe RAP!!

Kwa style ya kiba ya kutoa kali moja kwa mwaka au kwa miezi sita anatulia...........ni kazi kusema kesho atapotea

Diamond kwa akili yake ya kibiashara na anajua awape nini watu kwa muda huo, pia kazi kupotea. Maana siku za karibuni ka rely sana kupanda juu ya ubunifu wa wengine na kuweka vionjo vyake ili apate wateja wa muda huo. BADO YUKO SANA PIA, maana ana hunt nani anatoa kitu kikali, anaenda kuomba collabo ana modify.......sidhani kama anaweza kurudi kukaa chini na kuanza kama ''nenda kamwambie' anaweza kuwa HAWEZI PIA KWA SASA


Unapowaleta akina Marioo kuwafananisha na akina Ali Kiba, sio tu kuwa unajidhalilisha, bali unaonyesha una ubongo mdogo wa ujuzi wa mambo, na ikiwezekana nenda kwa mama mlaani kwa nini alikosea kukuzaa na ubongo kiduchu

Akili zako ndio za watanzania baadhi (mazezeta tu) ambao hatuwezi ku enzi historia, na waleo ambao walipambana kutufanya leo tuishi maisha haya aidha ngazi ya kitaifa au kifamilia


Nadhani umeshika adabu sasa
 
Umeongea kama mtoto mdogo, na umeongea kutojua historia!!

Umeongea kama katuni, umeongea kama umepagawa

Umeongea kwa ushabiki, na umeongea pasipo kushirikisha ubongo


KWANZA POLE

Wenye akili hatuko tayari kuingia kwenye hilo gari au huo mtumbwi wa kufananisha waimbaji!!!!! IS JUST INSANE

Labda uongelee nani kafanya mapinduzi ya nyimbo, nani kaleta mchango kwenye style na ongea with evidence, LEGENDARY wanapimwa kwa mtazamo huo, HAWAPIMWI kwa kuimba na kutoa single

Leo hata wewe ambae una sauti kama panya ukiimba, kazima kuna washabiki watatu utawapata na watakufia tu!!!!!! hata mtu awe mbovu vipi au mzuri vipi KUNA WATAKAOMPENDA NA KUNA WATAKAOMCHUKIA....ni asili, ni nature, ni kawaida, ndio ubinadamu, sawa we kilaza?

miaka ya tisini mwanzoni kulikuwa na makundi ya Hipohop Maeneo ya kishua DSM , Arusha, Moshi na Mwanza. Haya mengi yalianzia mashuleni na kuwa influenced na vuguvuvu la muziki wa USA, HipHop kwa kizazi kipya ndio muziki wa kwanza mkubwa, na uliokomaa, na ulizaa makundi mengi sana mpaka unakuwa public miaka ya 1994 haikuwa rahisi, na Radio One akina Muhagama na muda huo mawingu, clouds likuwa kama lebo tu, wauza kaseti, kupigisha disko kwenye masherehe n.k

Clouds baada ya experience ya mitaani wakaweka emphasis kwenye kuimba na baadhi ya makundi ya Rap/HipoHop members wakaanza kuingia kwenye muziki wa kuimba wa bongo flava

Akina TID, abby skils, dully skyes, Kiba, Voice Wonder na wengine ndio wale ambao akaufanya muziki wa kuimba uanze kupata washabiki na kuanza kuleta ubunifu mbalimbali, haya yaite MAPINDUZI NUMBER MOJA haya

KIBA, amefananishwa au kupambanaishwa na wengine wengi mno, akina MB-Dog, RJ-Desire, machozi, z-anto, belle9, suma lee, bushoke, marlaw, samir mzee wa nyuli nyuli, TID, Voice wonder, Pasha, beka ibrozama (kama una moyo mdogo usimsikilize huyu akiimba!)

Hawa wote wamepotea kwa sababu ya maisha yao na sababu mbalimbali na mchango wao ni mkubwa na mpaka leo nyimbo zao zinaishi..........Najua voice wonder haumjui, wewe ingia youtube watafute hao.....

Diamond kakuta mziki wa bongo flava umefika mbali , kauchukua kama shujaa na kuanza kufanya modification zake na kuweka vionjo mbali mbali na kuhusianisha muziki na maisha yake binafsi kupata washabiki! akaweka sura ya kibishara; MAPINDUZI NUMBER MBILI haya

Kiba umeona kabaki for the past 17 years akiwa active same voice, same style na hajabadilika, unaweza kusikiliza nyimbo za wa mwaka 2009, 2013, ni kama katoa jana, ni aina ya uimbaji wake na style yake ambayo inaelezea ile original BONGO FLEVA...ilikuwa na ilimaanisha kwa vizazi vyetu na aina ya watu tuliokuwa nao. akina kiba wanajua ndani ya moyo muziki kwetu ni kitu gani , unatakiwa uweje. siri hii ukitaka kujua , kaa chini angalia hata bongo flava za zamani hizo, za hao wengine zilikuwa nzuri. Hata diamond nyimbo za mwanzo zilikuwa na ile ladha halisi ya bongo flava na hazijaisha utamu hata leo.....utatamani na kufurahia kusikiliza 'nenda kamwambie'' hata kucheza sio vibe la miziki ya kicongo, ukianzia akina marijani rajabu, hemed maneti, remmy ongala, YOU SEE...ilikuwa just slow, mashairi, na kumbembelezana au kuchambana ( tarabu)


Sasa kila mmoja ana mchango wake, style yake; kwa heshima kabisa bila kupepesa macho hata DIAMOND anapaswa waziwazi akiri kuwa AII KIBA NI LEGEND kwake, i mean kama hana uswahili....kama ana kili za 'kizungu' na sio za Tandale vyoo vichafu

Ali kiba na Bob-junior ndio watu ambao walirekodi nyimbo ya diamond mara ya kwanza, na wao ndio waliomwambia asiimbe RAP!!

Kwa style ya kiba ya kutoa kali moja kwa mwaka au kwa miezi sita anatulia...........ni kazi kusema kesho atapotea

Diamond kwa akili yake ya kibiashara na anajua awape nini watu kwa muda huo, pia kazi kupotea. Maana siku za karibuni ka rely sana kupanda juu ya ubunifu wa wengine na kuweka vionjo vyake ili apate wateja wa muda huo. BADO YUKO SANA PIA, maana ana hunt nani anatoa kitu kikali, anaenda kuomba collabo ana modify.......sidhani kama anaweza kurudi kukaa chini na kuanza kama ''nenda kamwambie' anaweza kuwa HAWEZI PIA KWA SASA


Unapowaleta akina Marioo kuwafananisha na akina Ali Kiba, sio tu kuwa unajidhalilisha, bali unaonyesha una ubongo mdogo wa ujuzi wa mambo, na ikiwezekana nenda kwa mama mlaani kwa nini alikosea kukuzaa na ubongo kiduchu

Akili zako ndio za watanzania baadhi (mazezeta tu) ambao hatuwezi ku enzi historia, na waleo ambao walipambana kutufanya leo tuishi maisha haya aidha ngazi ya kitaifa au kifamilia


Nadhani umeshika adabu sasa
Msukule wa kiba ujitahidi kumpamba boss wako bahati mbaya watu hawamuelewi.
 
Umeongea kama mtoto mdogo, na umeongea kutojua historia!!

Umeongea kama katuni, umeongea kama umepagawa

Umeongea kwa ushabiki, na umeongea pasipo kushirikisha ubongo


KWANZA POLE

Wenye akili hatuko tayari kuingia kwenye hilo gari au huo mtumbwi wa kufananisha waimbaji!!!!! IS JUST INSANE

Labda uongelee nani kafanya mapinduzi ya nyimbo, nani kaleta mchango kwenye style na ongea with evidence, LEGENDARY wanapimwa kwa mtazamo huo, HAWAPIMWI kwa kuimba na kutoa single

Leo hata wewe ambae una sauti kama panya ukiimba, kazima kuna washabiki watatu utawapata na watakufia tu!!!!!! hata mtu awe mbovu vipi au mzuri vipi KUNA WATAKAOMPENDA NA KUNA WATAKAOMCHUKIA....ni asili, ni nature, ni kawaida, ndio ubinadamu, sawa we kilaza?

miaka ya tisini mwanzoni kulikuwa na makundi ya Hipohop Maeneo ya kishua DSM , Arusha, Moshi na Mwanza. Haya mengi yalianzia mashuleni na kuwa influenced na vuguvuvu la muziki wa USA, HipHop kwa kizazi kipya ndio muziki wa kwanza mkubwa, na uliokomaa, na ulizaa makundi mengi sana mpaka unakuwa public miaka ya 1994 haikuwa rahisi, na Radio One akina Muhagama na muda huo mawingu, clouds likuwa kama lebo tu, wauza kaseti, kupigisha disko kwenye masherehe n.k

Clouds baada ya experience ya mitaani wakaweka emphasis kwenye kuimba na baadhi ya makundi ya Rap/HipoHop members wakaanza kuingia kwenye muziki wa kuimba wa bongo flava

Akina TID, abby skils, dully skyes, Kiba, Voice Wonder na wengine ndio wale ambao akaufanya muziki wa kuimba uanze kupata washabiki na kuanza kuleta ubunifu mbalimbali, haya yaite MAPINDUZI NUMBER MOJA haya

KIBA, amefananishwa au kupambanaishwa na wengine wengi mno, akina MB-Dog, RJ-Desire, machozi, z-anto, belle9, suma lee, bushoke, marlaw, samir mzee wa nyuli nyuli, TID, Voice wonder, Pasha, beka ibrozama (kama una moyo mdogo usimsikilize huyu akiimba!)

Hawa wote wamepotea kwa sababu ya maisha yao na sababu mbalimbali na mchango wao ni mkubwa na mpaka leo nyimbo zao zinaishi..........Najua voice wonder haumjui, wewe ingia youtube watafute hao.....

Diamond kakuta mziki wa bongo flava umefika mbali , kauchukua kama shujaa na kuanza kufanya modification zake na kuweka vionjo mbali mbali na kuhusianisha muziki na maisha yake binafsi kupata washabiki! akaweka sura ya kibishara; MAPINDUZI NUMBER MBILI haya

Kiba umeona kabaki for the past 17 years akiwa active same voice, same style na hajabadilika, unaweza kusikiliza nyimbo za wa mwaka 2009, 2013, ni kama katoa jana, ni aina ya uimbaji wake na style yake ambayo inaelezea ile original BONGO FLEVA...ilikuwa na ilimaanisha kwa vizazi vyetu na aina ya watu tuliokuwa nao. akina kiba wanajua ndani ya moyo muziki kwetu ni kitu gani , unatakiwa uweje. siri hii ukitaka kujua , kaa chini angalia hata bongo flava za zamani hizo, za hao wengine zilikuwa nzuri. Hata diamond nyimbo za mwanzo zilikuwa na ile ladha halisi ya bongo flava na hazijaisha utamu hata leo.....utatamani na kufurahia kusikiliza 'nenda kamwambie'' hata kucheza sio vibe la miziki ya kicongo, ukianzia akina marijani rajabu, hemed maneti, remmy ongala, YOU SEE...ilikuwa just slow, mashairi, na kumbembelezana au kuchambana ( tarabu)


Sasa kila mmoja ana mchango wake, style yake; kwa heshima kabisa bila kupepesa macho hata DIAMOND anapaswa waziwazi akiri kuwa AII KIBA NI LEGEND kwake, i mean kama hana uswahili....kama ana kili za 'kizungu' na sio za Tandale vyoo vichafu

Ali kiba na Bob-junior ndio watu ambao walirekodi nyimbo ya diamond mara ya kwanza, na wao ndio waliomwambia asiimbe RAP!!

Kwa style ya kiba ya kutoa kali moja kwa mwaka au kwa miezi sita anatulia...........ni kazi kusema kesho atapotea

Diamond kwa akili yake ya kibiashara na anajua awape nini watu kwa muda huo, pia kazi kupotea. Maana siku za karibuni ka rely sana kupanda juu ya ubunifu wa wengine na kuweka vionjo vyake ili apate wateja wa muda huo. BADO YUKO SANA PIA, maana ana hunt nani anatoa kitu kikali, anaenda kuomba collabo ana modify.......sidhani kama anaweza kurudi kukaa chini na kuanza kama ''nenda kamwambie' anaweza kuwa HAWEZI PIA KWA SASA


Unapowaleta akina Marioo kuwafananisha na akina Ali Kiba, sio tu kuwa unajidhalilisha, bali unaonyesha una ubongo mdogo wa ujuzi wa mambo, na ikiwezekana nenda kwa mama mlaani kwa nini alikosea kukuzaa na ubongo kiduchu

Akili zako ndio za watanzania baadhi (mazezeta tu) ambao hatuwezi ku enzi historia, na waleo ambao walipambana kutufanya leo tuishi maisha haya aidha ngazi ya kitaifa au kifamilia


Nadhani umeshika adabu sasa
Aisee. !! Watu mna kipaji cha kuadika aisee..
 
Umeongea kama mtoto mdogo, na umeongea kutojua historia!!

Umeongea kama katuni, umeongea kama umepagawa

Umeongea kwa ushabiki, na umeongea pasipo kushirikisha ubongo


KWANZA POLE

Wenye akili hatuko tayari kuingia kwenye hilo gari au huo mtumbwi wa kufananisha waimbaji!!!!! IS JUST INSANE

Labda uongelee nani kafanya mapinduzi ya nyimbo, nani kaleta mchango kwenye style na ongea with evidence, LEGENDARY wanapimwa kwa mtazamo huo, HAWAPIMWI kwa kuimba na kutoa single

Leo hata wewe ambae una sauti kama panya ukiimba, kazima kuna washabiki watatu utawapata na watakufia tu!!!!!! hata mtu awe mbovu vipi au mzuri vipi KUNA WATAKAOMPENDA NA KUNA WATAKAOMCHUKIA....ni asili, ni nature, ni kawaida, ndio ubinadamu, sawa we kilaza?

miaka ya tisini mwanzoni kulikuwa na makundi ya Hipohop Maeneo ya kishua DSM , Arusha, Moshi na Mwanza. Haya mengi yalianzia mashuleni na kuwa influenced na vuguvuvu la muziki wa USA, HipHop kwa kizazi kipya ndio muziki wa kwanza mkubwa, na uliokomaa, na ulizaa makundi mengi sana mpaka unakuwa public miaka ya 1994 haikuwa rahisi, na Radio One akina Muhagama na muda huo mawingu, clouds likuwa kama lebo tu, wauza kaseti, kupigisha disko kwenye masherehe n.k

Clouds baada ya experience ya mitaani wakaweka emphasis kwenye kuimba na baadhi ya makundi ya Rap/HipoHop members wakaanza kuingia kwenye muziki wa kuimba wa bongo flava

Akina TID, abby skils, dully skyes, Kiba, Voice Wonder na wengine ndio wale ambao akaufanya muziki wa kuimba uanze kupata washabiki na kuanza kuleta ubunifu mbalimbali, haya yaite MAPINDUZI NUMBER MOJA haya

KIBA, amefananishwa au kupambanaishwa na wengine wengi mno, akina MB-Dog, RJ-Desire, machozi, z-anto, belle9, suma lee, bushoke, marlaw, samir mzee wa nyuli nyuli, TID, Voice wonder, Pasha, beka ibrozama (kama una moyo mdogo usimsikilize huyu akiimba!)

Hawa wote wamepotea kwa sababu ya maisha yao na sababu mbalimbali na mchango wao ni mkubwa na mpaka leo nyimbo zao zinaishi..........Najua voice wonder haumjui, wewe ingia youtube watafute hao.....

Diamond kakuta mziki wa bongo flava umefika mbali , kauchukua kama shujaa na kuanza kufanya modification zake na kuweka vionjo mbali mbali na kuhusianisha muziki na maisha yake binafsi kupata washabiki! akaweka sura ya kibishara; MAPINDUZI NUMBER MBILI haya

Kiba umeona kabaki for the past 17 years akiwa active same voice, same style na hajabadilika, unaweza kusikiliza nyimbo za wa mwaka 2009, 2013, ni kama katoa jana, ni aina ya uimbaji wake na style yake ambayo inaelezea ile original BONGO FLEVA...ilikuwa na ilimaanisha kwa vizazi vyetu na aina ya watu tuliokuwa nao. akina kiba wanajua ndani ya moyo muziki kwetu ni kitu gani , unatakiwa uweje. siri hii ukitaka kujua , kaa chini angalia hata bongo flava za zamani hizo, za hao wengine zilikuwa nzuri. Hata diamond nyimbo za mwanzo zilikuwa na ile ladha halisi ya bongo flava na hazijaisha utamu hata leo.....utatamani na kufurahia kusikiliza 'nenda kamwambie'' hata kucheza sio vibe la miziki ya kicongo, ukianzia akina marijani rajabu, hemed maneti, remmy ongala, YOU SEE...ilikuwa just slow, mashairi, na kumbembelezana au kuchambana ( tarabu)


Sasa kila mmoja ana mchango wake, style yake; kwa heshima kabisa bila kupepesa macho hata DIAMOND anapaswa waziwazi akiri kuwa AII KIBA NI LEGEND kwake, i mean kama hana uswahili....kama ana kili za 'kizungu' na sio za Tandale vyoo vichafu

Ali kiba na Bob-junior ndio watu ambao walirekodi nyimbo ya diamond mara ya kwanza, na wao ndio waliomwambia asiimbe RAP!!

Kwa style ya kiba ya kutoa kali moja kwa mwaka au kwa miezi sita anatulia...........ni kazi kusema kesho atapotea

Diamond kwa akili yake ya kibiashara na anajua awape nini watu kwa muda huo, pia kazi kupotea. Maana siku za karibuni ka rely sana kupanda juu ya ubunifu wa wengine na kuweka vionjo vyake ili apate wateja wa muda huo. BADO YUKO SANA PIA, maana ana hunt nani anatoa kitu kikali, anaenda kuomba collabo ana modify.......sidhani kama anaweza kurudi kukaa chini na kuanza kama ''nenda kamwambie' anaweza kuwa HAWEZI PIA KWA SASA


Unapowaleta akina Marioo kuwafananisha na akina Ali Kiba, sio tu kuwa unajidhalilisha, bali unaonyesha una ubongo mdogo wa ujuzi wa mambo, na ikiwezekana nenda kwa mama mlaani kwa nini alikosea kukuzaa na ubongo kiduchu

Akili zako ndio za watanzania baadhi (mazezeta tu) ambao hatuwezi ku enzi historia, na waleo ambao walipambana kutufanya leo tuishi maisha haya aidha ngazi ya kitaifa au kifamilia


Nadhani umeshika adabu sasa


nimependa uchambuzi wako ndugu , ila punguza kuwaona wenzako hawana akili mara mazezeta , na wao wanachambua kulingana na uelewa wao , so taratibu kupitia uchambuzi wote mtaelewana na kujifunza mapya
 
Umeongea kama mtoto mdogo, na umeongea kutojua historia!!

Umeongea kama katuni, umeongea kama umepagawa

Umeongea kwa ushabiki, na umeongea pasipo kushirikisha ubongo


KWANZA POLE

Wenye akili hatuko tayari kuingia kwenye hilo gari au huo mtumbwi wa kufananisha waimbaji!!!!! IS JUST INSANE

Labda uongelee nani kafanya mapinduzi ya nyimbo, nani kaleta mchango kwenye style na ongea with evidence, LEGENDARY wanapimwa kwa mtazamo huo, HAWAPIMWI kwa kuimba na kutoa single

Leo hata wewe ambae una sauti kama panya ukiimba, kazima kuna washabiki watatu utawapata na watakufia tu!!!!!! hata mtu awe mbovu vipi au mzuri vipi KUNA WATAKAOMPENDA NA KUNA WATAKAOMCHUKIA....ni asili, ni nature, ni kawaida, ndio ubinadamu, sawa we kilaza?

miaka ya tisini mwanzoni kulikuwa na makundi ya Hipohop Maeneo ya kishua DSM , Arusha, Moshi na Mwanza. Haya mengi yalianzia mashuleni na kuwa influenced na vuguvuvu la muziki wa USA, HipHop kwa kizazi kipya ndio muziki wa kwanza mkubwa, na uliokomaa, na ulizaa makundi mengi sana mpaka unakuwa public miaka ya 1994 haikuwa rahisi, na Radio One akina Muhagama na muda huo mawingu, clouds likuwa kama lebo tu, wauza kaseti, kupigisha disko kwenye masherehe n.k

Clouds baada ya experience ya mitaani wakaweka emphasis kwenye kuimba na baadhi ya makundi ya Rap/HipoHop members wakaanza kuingia kwenye muziki wa kuimba wa bongo flava

Akina TID, abby skils, dully skyes, Kiba, Voice Wonder na wengine ndio wale ambao akaufanya muziki wa kuimba uanze kupata washabiki na kuanza kuleta ubunifu mbalimbali, haya yaite MAPINDUZI NUMBER MOJA haya

KIBA, amefananishwa au kupambanaishwa na wengine wengi mno, akina MB-Dog, RJ-Desire, machozi, z-anto, belle9, suma lee, bushoke, marlaw, samir mzee wa nyuli nyuli, TID, Voice wonder, Pasha, beka ibrozama (kama una moyo mdogo usimsikilize huyu akiimba!)

Hawa wote wamepotea kwa sababu ya maisha yao na sababu mbalimbali na mchango wao ni mkubwa na mpaka leo nyimbo zao zinaishi..........Najua voice wonder haumjui, wewe ingia youtube watafute hao.....

Diamond kakuta mziki wa bongo flava umefika mbali , kauchukua kama shujaa na kuanza kufanya modification zake na kuweka vionjo mbali mbali na kuhusianisha muziki na maisha yake binafsi kupata washabiki! akaweka sura ya kibishara; MAPINDUZI NUMBER MBILI haya

Kiba umeona kabaki for the past 17 years akiwa active same voice, same style na hajabadilika, unaweza kusikiliza nyimbo za wa mwaka 2009, 2013, ni kama katoa jana, ni aina ya uimbaji wake na style yake ambayo inaelezea ile original BONGO FLEVA...ilikuwa na ilimaanisha kwa vizazi vyetu na aina ya watu tuliokuwa nao. akina kiba wanajua ndani ya moyo muziki kwetu ni kitu gani , unatakiwa uweje. siri hii ukitaka kujua , kaa chini angalia hata bongo flava za zamani hizo, za hao wengine zilikuwa nzuri. Hata diamond nyimbo za mwanzo zilikuwa na ile ladha halisi ya bongo flava na hazijaisha utamu hata leo.....utatamani na kufurahia kusikiliza 'nenda kamwambie'' hata kucheza sio vibe la miziki ya kicongo, ukianzia akina marijani rajabu, hemed maneti, remmy ongala, YOU SEE...ilikuwa just slow, mashairi, na kumbembelezana au kuchambana ( tarabu)


Sasa kila mmoja ana mchango wake, style yake; kwa heshima kabisa bila kupepesa macho hata DIAMOND anapaswa waziwazi akiri kuwa AII KIBA NI LEGEND kwake, i mean kama hana uswahili....kama ana kili za 'kizungu' na sio za Tandale vyoo vichafu

Ali kiba na Bob-junior ndio watu ambao walirekodi nyimbo ya diamond mara ya kwanza, na wao ndio waliomwambia asiimbe RAP!!

Kwa style ya kiba ya kutoa kali moja kwa mwaka au kwa miezi sita anatulia...........ni kazi kusema kesho atapotea

Diamond kwa akili yake ya kibiashara na anajua awape nini watu kwa muda huo, pia kazi kupotea. Maana siku za karibuni ka rely sana kupanda juu ya ubunifu wa wengine na kuweka vionjo vyake ili apate wateja wa muda huo. BADO YUKO SANA PIA, maana ana hunt nani anatoa kitu kikali, anaenda kuomba collabo ana modify.......sidhani kama anaweza kurudi kukaa chini na kuanza kama ''nenda kamwambie' anaweza kuwa HAWEZI PIA KWA SASA


Unapowaleta akina Marioo kuwafananisha na akina Ali Kiba, sio tu kuwa unajidhalilisha, bali unaonyesha una ubongo mdogo wa ujuzi wa mambo, na ikiwezekana nenda kwa mama mlaani kwa nini alikosea kukuzaa na ubongo kiduchu

Akili zako ndio za watanzania baadhi (mazezeta tu) ambao hatuwezi ku enzi historia, na waleo ambao walipambana kutufanya leo tuishi maisha haya aidha ngazi ya kitaifa au kifamilia


Nadhani umeshika adabu sasa
Umejitahidi sana kutumia akili mpaka za kukopa ili udhihiridhe unazi wako kwa Kiba. Lakini nina sikitika umefeli kuelewa dhumuni la uzi wangu. Haiingii akilini kwamba Kwakua Kiba ni Mkongwe sasa hawezi kupitwa na kupokonywa hadhi yake na Marioo au Harmo. Jiulize paoja na Kiba kusimama mbele ya magwiji ulio wataja, ilkuwaje leo Sio Kiba tena Msanii Namba wani Tanzania? Umesahau Diamond alikuja Kama Marioo na Akampokonya Kiba hadhi yake ya Ustaa? Basi kama umekumbuka hilo naamini utakubaliana na mimi kuwa Hata hiyo nafasi ya pili anaweza kupokonya na Mwingine.
Kwa Taarifa yako Mimi ni Muhenga zaidi yako na Historia ya Mziki wa Bongo ninao Tangu enzi za Kina Imam Abas na Sugu miaka ya 1990.
Umakosa burasa kuingiza Mzazi wangu katika haya mambo ya kijinga, Nimekusamehe na sikutukanii mama yako kwani ni Mzazi kama mzazi wangu nimechagua kumuheshimu.
 
Siku hizi kule mawingu harmo ndo wanamwita msanii number1, so najiuliza lengo lao nikumchomesha mahindi alikiba au kumkomoa mondi
1. Kama nikumchomesha mahindi alikiba wanamkosea adabu, bora wamwite hata young king ita make sense
2.kama nikumkomoa mondi wanajidanganya maana hata harmo mwenyewe anaijua shughuli ya domo
note:kama wataendelea kumuita harmo namba 1 watatengeneza msuguano katika team yao kitu ambacho kitawagharimu mbele ya safari
 
Umeongea kama mtoto mdogo, na umeongea kutojua historia!!

Umeongea kama katuni, umeongea kama umepagawa

Umeongea kwa ushabiki, na umeongea pasipo kushirikisha ubongo


KWANZA POLE

Wenye akili hatuko tayari kuingia kwenye hilo gari au huo mtumbwi wa kufananisha waimbaji!!!!! IS JUST INSANE

Labda uongelee nani kafanya mapinduzi ya nyimbo, nani kaleta mchango kwenye style na ongea with evidence, LEGENDARY wanapimwa kwa mtazamo huo, HAWAPIMWI kwa kuimba na kutoa single

Leo hata wewe ambae una sauti kama panya ukiimba, kazima kuna washabiki watatu utawapata na watakufia tu!!!!!! hata mtu awe mbovu vipi au mzuri vipi KUNA WATAKAOMPENDA NA KUNA WATAKAOMCHUKIA....ni asili, ni nature, ni kawaida, ndio ubinadamu, sawa we kilaza?

miaka ya tisini mwanzoni kulikuwa na makundi ya Hipohop Maeneo ya kishua DSM , Arusha, Moshi na Mwanza. Haya mengi yalianzia mashuleni na kuwa influenced na vuguvuvu la muziki wa USA, HipHop kwa kizazi kipya ndio muziki wa kwanza mkubwa, na uliokomaa, na ulizaa makundi mengi sana mpaka unakuwa public miaka ya 1994 haikuwa rahisi, na Radio One akina Muhagama na muda huo mawingu, clouds likuwa kama lebo tu, wauza kaseti, kupigisha disko kwenye masherehe n.k

Clouds baada ya experience ya mitaani wakaweka emphasis kwenye kuimba na baadhi ya makundi ya Rap/HipoHop members wakaanza kuingia kwenye muziki wa kuimba wa bongo flava

Akina TID, abby skils, dully skyes, Kiba, Voice Wonder na wengine ndio wale ambao akaufanya muziki wa kuimba uanze kupata washabiki na kuanza kuleta ubunifu mbalimbali, haya yaite MAPINDUZI NUMBER MOJA haya

KIBA, amefananishwa au kupambanaishwa na wengine wengi mno, akina MB-Dog, RJ-Desire, machozi, z-anto, belle9, suma lee, bushoke, marlaw, samir mzee wa nyuli nyuli, TID, Voice wonder, Pasha, beka ibrozama (kama una moyo mdogo usimsikilize huyu akiimba!)

Hawa wote wamepotea kwa sababu ya maisha yao na sababu mbalimbali na mchango wao ni mkubwa na mpaka leo nyimbo zao zinaishi..........Najua voice wonder haumjui, wewe ingia youtube watafute hao.....

Diamond kakuta mziki wa bongo flava umefika mbali , kauchukua kama shujaa na kuanza kufanya modification zake na kuweka vionjo mbali mbali na kuhusianisha muziki na maisha yake binafsi kupata washabiki! akaweka sura ya kibishara; MAPINDUZI NUMBER MBILI haya

Kiba umeona kabaki for the past 17 years akiwa active same voice, same style na hajabadilika, unaweza kusikiliza nyimbo za wa mwaka 2009, 2013, ni kama katoa jana, ni aina ya uimbaji wake na style yake ambayo inaelezea ile original BONGO FLEVA...ilikuwa na ilimaanisha kwa vizazi vyetu na aina ya watu tuliokuwa nao. akina kiba wanajua ndani ya moyo muziki kwetu ni kitu gani , unatakiwa uweje. siri hii ukitaka kujua , kaa chini angalia hata bongo flava za zamani hizo, za hao wengine zilikuwa nzuri. Hata diamond nyimbo za mwanzo zilikuwa na ile ladha halisi ya bongo flava na hazijaisha utamu hata leo.....utatamani na kufurahia kusikiliza 'nenda kamwambie'' hata kucheza sio vibe la miziki ya kicongo, ukianzia akina marijani rajabu, hemed maneti, remmy ongala, YOU SEE...ilikuwa just slow, mashairi, na kumbembelezana au kuchambana ( tarabu)


Sasa kila mmoja ana mchango wake, style yake; kwa heshima kabisa bila kupepesa macho hata DIAMOND anapaswa waziwazi akiri kuwa AII KIBA NI LEGEND kwake, i mean kama hana uswahili....kama ana kili za 'kizungu' na sio za Tandale vyoo vichafu

Ali kiba na Bob-junior ndio watu ambao walirekodi nyimbo ya diamond mara ya kwanza, na wao ndio waliomwambia asiimbe RAP!!

Kwa style ya kiba ya kutoa kali moja kwa mwaka au kwa miezi sita anatulia...........ni kazi kusema kesho atapotea

Diamond kwa akili yake ya kibiashara na anajua awape nini watu kwa muda huo, pia kazi kupotea. Maana siku za karibuni ka rely sana kupanda juu ya ubunifu wa wengine na kuweka vionjo vyake ili apate wateja wa muda huo. BADO YUKO SANA PIA, maana ana hunt nani anatoa kitu kikali, anaenda kuomba collabo ana modify.......sidhani kama anaweza kurudi kukaa chini na kuanza kama ''nenda kamwambie' anaweza kuwa HAWEZI PIA KWA SASA


Unapowaleta akina Marioo kuwafananisha na akina Ali Kiba, sio tu kuwa unajidhalilisha, bali unaonyesha una ubongo mdogo wa ujuzi wa mambo, na ikiwezekana nenda kwa mama mlaani kwa nini alikosea kukuzaa na ubongo kiduchu

Akili zako ndio za watanzania baadhi (mazezeta tu) ambao hatuwezi ku enzi historia, na waleo ambao walipambana kutufanya leo tuishi maisha haya aidha ngazi ya kitaifa au kifamilia


Nadhani umeshika adabu sasa
Shabiki lia lia wa Ali kiba 😂😂, ila huo mstari wa mwisho umeniacha hoi kabisa.
 
Back
Top Bottom