The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,873
Wakati fulani marekani Robin Givens aliwahi kutajwa kuwa ndo the most hated woman in America, enzi hizo watu walikuwa wanamuona ndo chanzo cha Mike Tyson kuchanganyikiwa, hasa aliposema aliolewa na Tyson for money.
Any way hivi leo kwa hapa Tanzania ni nani ambaye tunaweza kusema ndo mtanzania anaetuboa zaidi? Tukiacha wanasiasa hasa wa CCM.
Kwenye upande wa burudani na jamii ni watanzania gani kama wapo unafikiri wana kuboa kupita kiasi?
Any way hivi leo kwa hapa Tanzania ni nani ambaye tunaweza kusema ndo mtanzania anaetuboa zaidi? Tukiacha wanasiasa hasa wa CCM.
Kwenye upande wa burudani na jamii ni watanzania gani kama wapo unafikiri wana kuboa kupita kiasi?