Waziri wa habari sanaa na michezo Dr Harrison mwakyembe ametoa pongezi zake kwa mwanamziki diamond kwa uzinduzi wa sports arena alioufanya kwa ukubwa kuanzia maandalizi pamoja na ubunifu walitumia kwa kitendo Cha kuwashusha kwa helikopta watangazaji waliowasajili lakini kuwepo kwa red carpet na kuwakutanisha wadau mbalimbali kutoka sector ya sanaa,michezo,habari pamoja na makampuni mbalimbali kwa pamoja ni Jambo jipya naikuwahi kufanywa hapo kabla hii inasaidia kuleta thamani kwenye industry.