IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,017
Mh Mbilinyi mimi naamini yeye ndio alikuwa na sifa za kumpokea kijana.
1. Mbunge.
2. Msanii mwenzao
Kivyovyote wangeongea lugha moja inayofanana, lakini nimeshangaa Dr. Tulia ndio mwenyeji.
Kama unakumbukumbu Ray kafanya sampo ya wimbo wa Sugu unaitwa SUGU.
Inaonyesha wako pamoja sana lakini maajabu sijajua kwanini hajaalikwa.
Au ndio mbio za kuchukua jimbo la Mbeya Mjini?
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Mbunge.
2. Msanii mwenzao
Kivyovyote wangeongea lugha moja inayofanana, lakini nimeshangaa Dr. Tulia ndio mwenyeji.
Kama unakumbukumbu Ray kafanya sampo ya wimbo wa Sugu unaitwa SUGU.
Inaonyesha wako pamoja sana lakini maajabu sijajua kwanini hajaalikwa.
Au ndio mbio za kuchukua jimbo la Mbeya Mjini?
Sent using Jamii Forums mobile app