Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,373
- 217,435
Huo umati usikushangaze, ndio kazi ya waandish kutafuta habariCha kushangaza ni umati wa vyombo vya habari , unaweza kudhani labda ni ndoa ya Mtoto wa Trump !
Karibu sana mkuu , tukiweka picha utasema kwa vile leo ni jumamosiPicha za maduka yaliyofungwa mbona hujatuma.
tumia akili kuanzisha thread sio kujaza serve tu.
Sasa na wewe mbona umeganda hapa JF? Nenda huko kapige picha utuletee sisi tulioko mbali na tukio.Cha kushangaza ni umati wa vyombo vya habari , unaweza kudhani labda ni ndoa ya Mtoto wa Trump !
iweke vizuri vyombo vya habari (za udaku udaku) na wale wenye smart phoneCha kushangaza ni umati wa vyombo vya habari , unaweza kudhani labda ni ndoa ya Mtoto wa Trump !
Kuna shida gani mkuu ukiwa na miaka 27 na uhakika wa kula hauna na ukatamani uoe binti mkali?Hvi sugu ana miaka mingap, alaf ukute mtu ana miaka 27 uhakika wa kula Hana na anatamani aoe bint mkali duuh
Picha za maduka yaliyofungwa mbona hujatuma.
tumia akili kuanzisha thread sio kujaza serve tu.
Cha kushangaza ni umati wa vyombo vya habari , unaweza kudhani labda ni ndoa ya Mtoto wa Trump !
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatawala nchi yote including Mbeya. Be careful kijana nchi haiwezi kuwa na marais wawili.Joseph Osmund Mbilinyi, Jongwe, Sugu MOTO CHINI. Mbeya's President.
Mbeya ni tofauti sana mjombaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatawala nchi yote including Mbeya. Be careful kijana nchi haiwezi kuwa na marais wawili.