Wadau habari.
Muziki wa hiphop wa sasa umebadilika sana.Lakini kwa sisi wenye kumbukumbu za zamani hebu tukumbushane.
1.Je unaikumbuka ngoma ya kwanza Unit aliimba Bugz Malone na D Rob.Bug...
Rashid Makwiro almaarufu kama Chid Benz Msanii wa Bongo fleva ameonekana akiwa pamoja na Msanii Shetta ambaye pia ni Mgombea Ubunge CCM Kata ya Mchikichi wakiwa katika mkutano wa kampeni za...
Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Omary Nyembo maarufu kama Ommy Dimpoz amepost zawadi ya simu toleo jipya iPhone 17 Pro Max aliyonunuliwa kama zawadi na mke wa GSM.
Baada ya kupost zawadi hiyo...
Kajizolea umaarufu kwa video za ushauri huko tiktok na instagram
Si hivyo tu, kajizolea umaarufu kwa namna ya kipekee, mwisho wa video zake husisitiza "Nachoka mimi Baba yenu Clemence Mwandambo"...
Sio biashara tuu, Niffer pia anaujuzi mkubwa sana wa kudance midundo mbali mbali!
Tazama hapa katika video akionyesha umahiri wake katika nyanja ya kudance akiserebuka mdundo wa amapiano kutoka...
Kaka maarufu na mtangazaji wa Wasafi TV, Juma Lokole, amejikuta anaanikwa wazi kweupe na kijana Sutibega, kupitia chats zao.
Hali hiyo imekuja baada ya Sutibega kuandamwa na skendo na heka heka...
Mke wa msanii maarufu anayejulikana Kama Tomeka Thiam ambaye ni mke wa msanii maarufu wa R&B Akon ameenda kudai talaka mahakamani baada ya kuwa kwenye ndoa kwa miaka 29 akidai alipwe euro million...
Mrembo Anna Silva, amenukuliwa akisema amechoshwa na tabia ya mchezaji huyo wa Real Madrid kutaka kushiriki naye threesome. Licha ya hivyo pia Vini amekuwa akimtumia picha za nyeti zake mrembo...
Huyu mwanadada enzi hizo alitikisa sana hapa bongo, kiasi kwamba watu tuliamini ndio mwanamke mzuri Tanzania nzima.
Wanaume wote wa dasalama, walishirikiana kumkuwadia mwanetu Mb dogg. Ila...
Mke wa msanii kutoka Uganda Jose Chameleone aitwae Daniella ambaye wameishi kwenye ndoa kwa miaka 17 amepeleka kesi mahakamani ya kudai talaka na mgawanyo wa mali .
Hata hivyo Jose Chameleone...
Msanii Agness Suleiman maarufu kama Aggy Baby, ameibuka mshindi wa Tuzo ya Muigizaji Bora wa Kike wa Mwaka 2025 katika Achievers Awards International zilizofanyika nchini Nigeria, kutokana na...
Kwenye ulimwengu huu ambao kila mtu anasaka pesa ili aweze kuishi maisha mazuri na ya kifahari, hio ni tofauti kwa familia ya marehemu bilionea maarufu kule Zimbabwe aitwae Ginimbi.
Kama...
DANSA anayetikisa kupitia wimbo wa Mbosso Khan “Aviola”, Queen Fraison, amefunguka kuhusu kazi yake ya unenguaji ambayo kwa sasa ndiyo inampa zaidi kipato.
Queen Fraison amesema, hapendi kucheza...
Dogo anasumbua sana instagram kwa nyodo nyingi sana kwamba yeye hakuna wa kumfikia bongo kwa jeuri ya hela. kwa anayemjua vizuri huyu billionea atujulishe na sisi ili tu jifunze kutoka kwake jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.