Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wadau habari. Muziki wa hiphop wa sasa umebadilika sana.Lakini kwa sisi wenye kumbukumbu za zamani hebu tukumbushane. 1.Je unaikumbuka ngoma ya kwanza Unit aliimba Bugz Malone na D Rob.Bug...
1 Reactions
3 Replies
206 Views
Rashid Makwiro almaarufu kama Chid Benz Msanii wa Bongo fleva ameonekana akiwa pamoja na Msanii Shetta ambaye pia ni Mgombea Ubunge CCM Kata ya Mchikichi wakiwa katika mkutano wa kampeni za...
1 Reactions
10 Replies
476 Views
Sweet - Nandy Cover Ukimwona - Diamond cover Kivuruge - Nandy Cover Siachane nawe - Baraka Cover
0 Reactions
2 Replies
204 Views
Sweet - Nandy Cover Ukimwona - Diamond cover Kivuruge - Nandy Cover Siachane nawe - Baraka Cover
0 Reactions
2 Replies
161 Views
Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Omary Nyembo maarufu kama Ommy Dimpoz amepost zawadi ya simu toleo jipya iPhone 17 Pro Max aliyonunuliwa kama zawadi na mke wa GSM. Baada ya kupost zawadi hiyo...
8 Reactions
24 Replies
1K Views
Kajizolea umaarufu kwa video za ushauri huko tiktok na instagram Si hivyo tu, kajizolea umaarufu kwa namna ya kipekee, mwisho wa video zake husisitiza "Nachoka mimi Baba yenu Clemence Mwandambo"...
8 Reactions
48 Replies
3K Views
Eti mwanaume bora wa mwaka? Wametumia metrics zipi kumuita mwanaume bora wa mwaka? Alikua anashindanishwa na nani?
3 Reactions
43 Replies
1K Views
GOAT - Greatest Of All Time. Aliewahi kukifanya kitu kwa ubora haijawai tokea
5 Reactions
41 Replies
1K Views
Sio biashara tuu, Niffer pia anaujuzi mkubwa sana wa kudance midundo mbali mbali! Tazama hapa katika video akionyesha umahiri wake katika nyanja ya kudance akiserebuka mdundo wa amapiano kutoka...
2 Reactions
12 Replies
615 Views
Kaka maarufu na mtangazaji wa Wasafi TV, Juma Lokole, amejikuta anaanikwa wazi kweupe na kijana Sutibega, kupitia chats zao. Hali hiyo imekuja baada ya Sutibega kuandamwa na skendo na heka heka...
5 Reactions
59 Replies
3K Views
Ni beats kavu hazina mashairi ( Instrumental ) Kwenye Chati Mkiwa Tamala Baby Gal Mtoto wa Geti Kila mtu na demu wake Chidi na Mzee Yusufu
3 Reactions
2 Replies
331 Views
Mke wa msanii maarufu anayejulikana Kama Tomeka Thiam ambaye ni mke wa msanii maarufu wa R&B Akon ameenda kudai talaka mahakamani baada ya kuwa kwenye ndoa kwa miaka 29 akidai alipwe euro million...
28 Reactions
70 Replies
2K Views
Mrembo Anna Silva, amenukuliwa akisema amechoshwa na tabia ya mchezaji huyo wa Real Madrid kutaka kushiriki naye threesome. Licha ya hivyo pia Vini amekuwa akimtumia picha za nyeti zake mrembo...
5 Reactions
55 Replies
2K Views
Huyu mwanadada enzi hizo alitikisa sana hapa bongo, kiasi kwamba watu tuliamini ndio mwanamke mzuri Tanzania nzima. Wanaume wote wa dasalama, walishirikiana kumkuwadia mwanetu Mb dogg. Ila...
13 Reactions
101 Replies
5K Views
Mke wa msanii kutoka Uganda Jose Chameleone aitwae Daniella ambaye wameishi kwenye ndoa kwa miaka 17 amepeleka kesi mahakamani ya kudai talaka na mgawanyo wa mali . Hata hivyo Jose Chameleone...
7 Reactions
57 Replies
3K Views
Msanii Agness Suleiman maarufu kama Aggy Baby, ameibuka mshindi wa Tuzo ya Muigizaji Bora wa Kike wa Mwaka 2025 katika Achievers Awards International zilizofanyika nchini Nigeria, kutokana na...
3 Reactions
6 Replies
446 Views
Kwenye ulimwengu huu ambao kila mtu anasaka pesa ili aweze kuishi maisha mazuri na ya kifahari, hio ni tofauti kwa familia ya marehemu bilionea maarufu kule Zimbabwe aitwae Ginimbi. Kama...
5 Reactions
23 Replies
1K Views
DANSA anayetikisa kupitia wimbo wa Mbosso Khan “Aviola”, Queen Fraison, amefunguka kuhusu kazi yake ya unenguaji ambayo kwa sasa ndiyo inampa zaidi kipato. Queen Fraison amesema, hapendi kucheza...
4 Reactions
12 Replies
827 Views
Dogo anasumbua sana instagram kwa nyodo nyingi sana kwamba yeye hakuna wa kumfikia bongo kwa jeuri ya hela. kwa anayemjua vizuri huyu billionea atujulishe na sisi ili tu jifunze kutoka kwake jinsi...
3 Reactions
228 Replies
56K Views
Back
Top Bottom