Aisee sisi Watanzania tuna mawazo ya ajabu sana.
Naona watu wengi wanahusisha kifo Cha Nabeel na imani za kishirikina.
Pointi yao ya msingi ni dhaifu sana ,eti kisa ile ajali ilikuwa mbaya sana...
Wakuu,
Mimi naombeni mnitoe ushamba, kwanini huyu bibie amekua na wafuasi wengi Instagram kuliko watu wengine maarufu zaidi yake.
Ana nini special kuliko wenzake.
Nyimbo anazotoa hazina mvuto tena na hazishiki number one kwenye platform yoyote mpaka boomplay ambayo inaonewa mpaka na maunderground kwa kushika number one trending.
Watu wanamkimbia kwenye...
MSAAD KIDOGO. HIZI NYIMBO ZIKITOKA MWAKA GANI.
DIAMOND FT GEEZ MABOVU NGWAIR...JISACHI.
GODZILLA FT DIAMOND...MTOTO WA KIUME.
TOPBAND FT BLUE...NILIKATAA
GODZILLA FT ALIKIBA..MILELE
Kutokana na baadhi ya mashabiki na Watanzania kwa ujumla kushangazwa na muonekano wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnum, kwa mara ya kwanza amezungumzia kuhusu muonekano wa mwili wake akisema...
Nataka niwamegee siri kidogo kwa nini Diamond ataendelea kuwaburuza wasanii wenzake kwenye kuinua na kuvitoa vipaji vipya.
Nikichukulia mfano wa msanii wake Zuchu.
1. Ameakikisha Zuchu ana...
Dvoice_Ginnii Congratufuckinlations kid
Hakika hii ni nafasi ya kipekee ambayo maunderground artists wengi huitamani sio kwamba hawana vipaji, hapana
Ila Kila mmja anapata kwa wakati wake...
Katika ukurasa wake wa ig, chawa mwandamizi na mpambe Aristote aliomba msaada Huku akiwa kafungwa pingu. Alisema anaomba msaada wa polisiTanzania kabla hajauwawa na watu waliomkamata... Je...
Kweli mahakama inaona mbali, kama wangekubali huyu dada awe msimamizi wa mirathi na amiliki IPP Media, angekuwa ameshaimaliza.
Muda wote yuko mahotelini Dubai, kwa asiyemjua anaweza kudhani...
Hayawi hayawi sasa yamekuwa.
Hatimaye ile ndoto ya muda mrefu ya msanii wa singeli kutokea Temeke ukipenda muite London boy D voice jinii inakaribia kutimia siku chache zijazo.
Msanii D voice...
KAMA ANGEKUWA HAI, LEO ANGETIMIZA MIAKA 41. ALIZALIWA SIKU YA LEO.
Nipe top5 ya ngoma unazozikubali kutoka kwake. Hakuwahi kuwa na ngoma mbovu ile nipe 5 tu za moto.
Mimi hizi hapa...
Hongera sana msanii Juma Mkambala aka Jux kwa kufikisha subscribers million 1.
Kutoka kwenye subscribers laki 4 hadi 1 million ndani ya miezi mitatu ni jambo la kupongezwa. Ni nzuri sana...
Msanii wa muziki Tanzania, Harmonize ameshinda tuzo tatu (3) Nchini Marekani usiku wa kuamkia juzi. Msanii huyo ameshinda tuzo hizo tatu za (AEUSA) katika vipengele vifuatavyo:
Artist of the...
Habari ya kusikitisha, ni Kwamba wachezeaji wawili nchini Rwanda wamefariki Usiku wa kuamkia leo kila mmoja akiwa nyumbani kwake. Hategekimana Bonaventure aka Gangi na Mume wa zamani za Irene...
Aliyekuwa Dancer wa Wasafi chini ya Diamond Platnumz, Bajuni H. Bajuni ametangaza gafla kuachana na kazi iliyompa umaarufu ya kucheza mziki katika Shows na Video za mziki.
Ameandika kuwa leo...
Ndoa ya mwanuziki Jay dee na mtangazaji mashuhuri wa radio Gardner G. Habash inasemekana imevunjika huku Gardner akihama Kimara alikokua akiishi na mkewe na kuhamia kwa moja wa ndugu zake wa...
Na Mwandishi
Tukio la kihistoria, Jag Bains, mfanyabiashara mwenye umri wa miaka 25 na mmiliki wa kampuni ya lori kutoka Washington, ameandika jina lake katika historia ya televisheni ya ukweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.