Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Aisee sisi Watanzania tuna mawazo ya ajabu sana. Naona watu wengi wanahusisha kifo Cha Nabeel na imani za kishirikina. Pointi yao ya msingi ni dhaifu sana ,eti kisa ile ajali ilikuwa mbaya sana...
5 Reactions
34 Replies
4K Views
Wakuu, Mimi naombeni mnitoe ushamba, kwanini huyu bibie amekua na wafuasi wengi Instagram kuliko watu wengine maarufu zaidi yake. Ana nini special kuliko wenzake.
0 Reactions
115 Replies
14K Views
Nyimbo anazotoa hazina mvuto tena na hazishiki number one kwenye platform yoyote mpaka boomplay ambayo inaonewa mpaka na maunderground kwa kushika number one trending. Watu wanamkimbia kwenye...
8 Reactions
63 Replies
4K Views
MSAAD KIDOGO. HIZI NYIMBO ZIKITOKA MWAKA GANI. DIAMOND FT GEEZ MABOVU NGWAIR...JISACHI. GODZILLA FT DIAMOND...MTOTO WA KIUME. TOPBAND FT BLUE...NILIKATAA GODZILLA FT ALIKIBA..MILELE
0 Reactions
1 Replies
456 Views
Ngoma zake zimenibamba hasa hii ya bam bam na mpe taarifa
1 Reactions
3 Replies
910 Views
Kutokana na baadhi ya mashabiki na Watanzania kwa ujumla kushangazwa na muonekano wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnum, kwa mara ya kwanza amezungumzia kuhusu muonekano wa mwili wake akisema...
8 Reactions
151 Replies
21K Views
Nataka niwamegee siri kidogo kwa nini Diamond ataendelea kuwaburuza wasanii wenzake kwenye kuinua na kuvitoa vipaji vipya. Nikichukulia mfano wa msanii wake Zuchu. 1. Ameakikisha Zuchu ana...
27 Reactions
69 Replies
9K Views
Dvoice_Ginnii Congratufuckinlations kid Hakika hii ni nafasi ya kipekee ambayo maunderground artists wengi huitamani sio kwamba hawana vipaji, hapana Ila Kila mmja anapata kwa wakati wake...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Katika ukurasa wake wa ig, chawa mwandamizi na mpambe Aristote aliomba msaada Huku akiwa kafungwa pingu. Alisema anaomba msaada wa polisiTanzania kabla hajauwawa na watu waliomkamata... Je...
0 Reactions
7 Replies
907 Views
Kweli mahakama inaona mbali, kama wangekubali huyu dada awe msimamizi wa mirathi na amiliki IPP Media, angekuwa ameshaimaliza. Muda wote yuko mahotelini Dubai, kwa asiyemjua anaweza kudhani...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Hatimaye ile ndoto ya muda mrefu ya msanii wa singeli kutokea Temeke ukipenda muite London boy D voice jinii inakaribia kutimia siku chache zijazo. Msanii D voice...
12 Reactions
61 Replies
6K Views
KAMA ANGEKUWA HAI, LEO ANGETIMIZA MIAKA 41. ALIZALIWA SIKU YA LEO. Nipe top5 ya ngoma unazozikubali kutoka kwake. Hakuwahi kuwa na ngoma mbovu ile nipe 5 tu za moto. Mimi hizi hapa...
6 Reactions
46 Replies
3K Views
Hongera sana msanii Juma Mkambala aka Jux kwa kufikisha subscribers million 1. Kutoka kwenye subscribers laki 4 hadi 1 million ndani ya miezi mitatu ni jambo la kupongezwa. Ni nzuri sana...
11 Reactions
28 Replies
2K Views
Msanii wa muziki Tanzania, Harmonize ameshinda tuzo tatu (3) Nchini Marekani usiku wa kuamkia juzi. Msanii huyo ameshinda tuzo hizo tatu za (AEUSA) katika vipengele vifuatavyo: Artist of the...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Album ya Feroouz SAFARI na album ya Daz Baba ELIMU DUNIA. IPI ILIKUWA HATARI ZAIDI??
0 Reactions
1 Replies
343 Views
Habari ya kusikitisha, ni Kwamba wachezeaji wawili nchini Rwanda wamefariki Usiku wa kuamkia leo kila mmoja akiwa nyumbani kwake. Hategekimana Bonaventure aka Gangi na Mume wa zamani za Irene...
12 Reactions
367 Replies
84K Views
Aliyekuwa Dancer wa Wasafi chini ya Diamond Platnumz, Bajuni H. Bajuni ametangaza gafla kuachana na kazi iliyompa umaarufu ya kucheza mziki katika Shows na Video za mziki. Ameandika kuwa leo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndoa ya mwanuziki Jay dee na mtangazaji mashuhuri wa radio Gardner G. Habash inasemekana imevunjika huku Gardner akihama Kimara alikokua akiishi na mkewe na kuhamia kwa moja wa ndugu zake wa...
6 Reactions
423 Replies
86K Views
Na Mwandishi Tukio la kihistoria, Jag Bains, mfanyabiashara mwenye umri wa miaka 25 na mmiliki wa kampuni ya lori kutoka Washington, ameandika jina lake katika historia ya televisheni ya ukweli...
0 Reactions
7 Replies
837 Views
Back
Top Bottom