Msanii wa kizazi kipya nchini na CEO wa Kondegang Harmonize, amehofia kurogwa na wapinzani wake ili wimbo wake ubume na usifanye vizuri.
Msanii Harmonize anatarajia kutoa wimbo wake kesho ambao amewashirikisha wasanii Bien toka Kenya na Boby Shmurda wa nchini Marekani.
Hii ndio post Harmonize ame-share kwenye ukurasa wake wa Instagram.
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1
Msanii Harmonize anatarajia kutoa wimbo wake kesho ambao amewashirikisha wasanii Bien toka Kenya na Boby Shmurda wa nchini Marekani.
Hii ndio post Harmonize ame-share kwenye ukurasa wake wa Instagram.
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1