Huyu Gigy Sijui alirogwa au kajiroga mwenyewe kila anapogusa ni nuksi tu, show ya watu huko imehairishwa tena chanzo kikiwa ni yeye mwenyewe, Sijui linajikutaga nani, Yan linaudhi, kila sehemu...
Katika kipindi cha miaka ya 80 na miaka ya 90, ngoma za dance hall, Rock na mitindo mbali mbali ndiyo ilikuwa inabamba sana, sio sasa kama ilivyo amapiano, Bongo flavor, hip hop na afro beats...
(hapa inakaaga salamu)
Itoshe tu kusema ulistahiri TUZO hii. Tunaofuatilia kazi zako ni wengi kuliko idadi unayo kadiria.
Umepeperusha bendera ya Tanzania
====
Leo nilifika mbele ya Wizara ya...
Mwan a Fa na Ay waliwahi kuwashtaki Tigo kutumia nyimbo zao kwenye miito ya kupiga simu, Tigo waliwalipa bilioni 2.15 lakini kiuhalisia huenda walibaki na bilioni 1.5 (kila moja milioni 750)...
Cassie amefungua kesi ya dola milioni 30 dhidi ya Diddy akimtuhumu kwa ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia. Mwanadada huyo anasema muda mfupi baada ya kukutana na Diddy mwaka 2005, akiwa na umri wa...
KITU AMBACHO HAKITAHOJIWA KWA SASA....
Mamilioni Yanayotumika Kumpaisha Leo Ukianzia Shughuli Yenyewe
Ukumbini Pesa Imezama mule, Halafu Kwenda Studio Na Pia Video
Kali, Mavazi Ya Kufa Mtu...
Sote tulijua Majani ni OG pioneer, lakini nimeshangaa kuwa bado hata leo kwenye hiki kizazi ambacho hawana kipya wao wanacopy tu miziki ya Nigeria na south Africa, Majani ndiye ameamua kuwa...
Huyu jamaa ana mameneja watatu ila naona kwenye suala la personality wameshindwa kumshauri kabisa. Kwa muonekano wa mondi wa sasa ni either kajiingiza kwenye drugs au mambo ya kigasho..muda...
Naanza na East Africa,Kuna wanamuziki ambao tangu niwajue hawajawahi toa ngoma mbovu msijichoshe sana wapo wawili:
Tanzania
Albert Mangwea[A.k.a Mimi] (R.I.P)
Huyu Jamaa hajawahi bahatisha,mbali...
Nyota wa Muziki wa Pop raia wa Colombia, Shakira amefikia makubaliano na Waendesha Mashtaka wa Uhispania kutatua kesi ya kukwepa Kodi kwa kulipa Euro Milioni 7.5 (Tsh. Bilioni 20.4) muda mfupi...
Hana vigezo vya kumfanya aonekane wa tofauti na wenzie. Anaimba kawaida Tena bora hata ya lavalava.
Tulitegemea tutaletewa msanii anayeimba kileoleo style za kina Rema, Ruger etc.
Mnatuletea...
Seven Mosha na P Funk wanaondoa uhalali wa kamati ya kusimamia tuzo za TMA Tanzania Music Awards. Sababu kubwa wana maslahi binafsi na kitu kinachoenda kukisimamia au tuseme conflict of interest...
Supastaa mpya mjini D Voice aka Jini ameianza safari yake ndani ya Wasafi kwa kasi ya kutishia sana. Ameweza kuingiza nyimbo zote kwenye trend za Tanzania uku nyimbo tano zikiwa kwenye top 10...
Fid Q namkubali sana kwa barz.
Leo baada ya kupiga mitungi nikasema nisikilize ngoma za Fid Q na Joh makini.
Lakini katika nyimbo zilizo nivutia katika mzuka ni hizi hapa.
Fid Q wimbo walk it...
Aman iwe juu na chini yenu wakuu
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Ingawa huwaga tunawapinga, kuwasimanga na kuwatus na kuwaita majina mabaya lakin nyie ndo wazee ubuyu humu ndani...
Hawa ma celeb wa Tanzania ni uchafu, huyu dada nilikuwa namuona ana akili lakini bure kabisa.
Huyu mwigizaji akijibu maswali ya waendesha kipindi cha Ubaoni cha Channel ya Sinema Zetu anasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.