Haji Manara amejibu swali la wadau wengi walioliza kuhusu kufanyika kwa sherehe ya ndoa yake aliyofunga na Mrembo Zailyssa.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Manara amesema,
"Naulizwa sana kuhusu sherehe ya Harusi, itafanyika au itakuwaje ? Je mtaifanya kwa ukubwa gani kama Engagement Party tu ilikuwa Royal!!!
Ye, Tutafanya InshaAllah na itakuwa katika Standard kubwa kuzidi ya juzi na tushaanza mazungumzo ya kina kupata Tv rights na Vituo vya Television nchini.
Itaitwa LE GRAND ROYAL WEDDING PARTY na tunakusudia kuifanyia Benjamin Mkapa Memorial Stadium, tukitazamia wageni Elfu HAMSINI kuhudhuria!! tutaipamba ile stadium kisawa sawa na haitajulikana kabisa kama ni uwanja wa Mpira" Alimalizia Manara
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Manara amesema,
"Naulizwa sana kuhusu sherehe ya Harusi, itafanyika au itakuwaje ? Je mtaifanya kwa ukubwa gani kama Engagement Party tu ilikuwa Royal!!!
Ye, Tutafanya InshaAllah na itakuwa katika Standard kubwa kuzidi ya juzi na tushaanza mazungumzo ya kina kupata Tv rights na Vituo vya Television nchini.
Itaitwa LE GRAND ROYAL WEDDING PARTY na tunakusudia kuifanyia Benjamin Mkapa Memorial Stadium, tukitazamia wageni Elfu HAMSINI kuhudhuria!! tutaipamba ile stadium kisawa sawa na haitajulikana kabisa kama ni uwanja wa Mpira" Alimalizia Manara
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1