Je analipa kodi inavyostahiki?Angalia hapa jinsi Dj Ally anavyotamba na Mandinga yake.
View attachment 2880234
Anakwambia tafuta hela ili uwe na machaguzi mengi.
Chembe chembe za wivu kama zilivyo chembechembe za mavi matakoni mwa demu ukimpiga dogi stailiNasemajee nasemajee" end ze mwisho utasikia jamaa punga au jamaa anasafilisha madawa ya kulevya... Ila ngoja kwanza eny kizaz msicho na uelewa kusema mitandaon una hela ni kaz ndogo sana hasa ukiwa maarufu vuta picha clip ina dakika ngap? 3 haya vp leo unaazima gar unashutia unarusha mtandaon kesho unakod nyngn una rusha mtandaon, hiv nyie kizaz msicho na akil mfano ww mfanyakaz wa taasis flan unatumwaga kupeleka pesa bank unafika katikat unachukua clip ukiwa na manoti na misifa kibao zen unazipeleka bank,,? Eny kizaz kisicho na akil umekod hotel umewatia wahudumu pesa afu unatangaza kwenye clip jengo na gar zilizopo zako nani atakupinga kwenye hizo clip zako? Samtaimu tutumie akili ya kufikiri sio hsia hata wewe ukiamua unaweza cha kufanya anza kutafuta jina zen jipendekeze kwa mabos wenye mandinga kumamamamamamamake
Uzi ufungweMoney doesn't like noise, thats why they don't play loud music in the bank.
Kwa kipimo gani?Dj Bora kwa sasa
Nilimuona TikTok akiwa Morogoro kamtembelea Bibi yake Mzee,kile kitanda anacholalia Bibi yake na yale mazingira ya Chumba hata ya Mbwa wangu nyumbani yana nafuu,hizi show off za kuonyesha ana pesa nyingi wakati ndugu zake wanaishi jalalani sidhani kama zina faidaAngalia hapa jinsi Dj Ally anavyotamba na Mandinga yake.
View attachment 2880234
Anakwambia tafuta hela ili uwe na machaguzi mengi.
Mamakee...Angalia hapa jinsi Dj Ally anavyotamba na Mandinga yake.
View attachment 2880234
Anakwambia tafuta hela ili uwe na machaguzi mengi.