- Habari zilizopatikana hivi punde toka South Africa, ni kwamba Baba wa The Greatest promoter and entertainer nchini Ndugu yetu Joe Kusaga, yaani Mzee Kusaga, amefariki leo huko South Africa...
Kikaptula Alichovaa Michelle Obama Chazua Mjadala Mrefu
Je mke wa rais haifai kuvaa kaptula?
Wakati Michelle Obama alipovaa nguo ambayo ilionyesha mabega na mikono yake wazi mjadala...
Mayor of Moscow slams Abramovich self-interest
Moscow Mayor Yuri Luzhkov(R)
Roman Abramovichs purchase of Chelsea was patronage for ones own profit, says billionaires husband...
Kuna khabari kwamba JK anatarajiwa kufanya mabadiliko madogo kwenye baraza lake la mawaziri, na wanaotajwa tajwa sana huko kwenye mitaa ni waziri kijana ambaye inaonekana kashindwa kazi hasa baada...
wakuu kati ya wadada waliokuwa wananifanya nipagawe kwenye muziki wa twanga ni pamoja na huyu dada Jesca, lakini kwa kipindi kilefu sasa amekuwa haonekani au ameachana na shughuri ya muziki? wadau...
Lil Wayne pleaded guilty to felony gun possession in a Manhattan courtroom on Thursday (October 22) stemming from a July 2007 arrest following his first headlining concert in New York. The rapper...
Aisee,sanaaa ya bongo inaelekea wapi?
Mbona ugonvvi mwingine kati ya wasanii hauna maan?
Kama kawaida ya original comedy,wiki iliyopita walimuigiza kanumba akishindwa kuongea kimombo pale...
Jamani hii ni habari iliyotawala vyombo vya habari jana , Mwenzetu huyu katutoka usiku wa kuamkia jumatatu. inasemekana alikuwa anaruka ukuta wa kuingia nyumbani kwake usiku wa saa saba, akaanguka...
Waamuzi wazidi kumbana Ferguson
Mkuu wa chama cha waamuzi nchini Uingereza ametaka meneja wa Manchester United Sir Alex Ferguson afungiwe kutokana na madai yake kwamba mwamuzi Alan Wiley hakuwa...
Kuna kauli za baadhi ya watu maarufu hapa nchini zinaleta kizunguzungu cha mawazo. Najua zitakuwa nyingi ukichanganya na za wale wasio maarufu. Kauli kama 'u were born on the wrong part of the...
Fat Joe 9th album,Jelous Ones Still Envy 2 has sold only 8,343 copies in the 1st week.
kwenye thisis50.com imeandikwa;
the most anticipated album of this century,FAT JOE(J.O.S.E 2) including...
Jamani nilitaka kuuliza hivi Martin Kolikoli yule kijana aliyekuwa kwenye NBA draft yuko wapi,alienda kucheza NCCA au bado yupo Dar es salaam na anachezea kilabu gani?
Jamani kijana ana kipaji si mchezo..leo hii najaribu kumwangalia na nyimbo atakazo toka nazo kwenye final kwa kweli mtakaokuwepo hakuna atakaejutia kiingilio...njo ujamjaze mtoto beatrice mahela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.