Pilato2006
Senior Member
- Aug 25, 2008
- 124
- 35
Jana nilikuwa nasikiliza mahojiano kwenye Cloud FM mida kama ya saa 8 hivi ya yule kijana mcheza Baske ball USA, Hashim Thabeet. Kwa niliishiwa nguvu sana pale mtangazaji namuulia vizuri sana ktena kwa kiswahili, lakini yeye kila mara anaanza yuo know... kila mara anachanganya mara kiingereza mara kiswahili. yaani wabongo bwana baala. sema nilikuw a nasinnzia kwenye daladala kwa sababu ya joto a foleni kubwa, kwa hiyo sikufuatila