ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Wataalamu wanasema pengine kumwelewa tu alivyo si lazima umwone kwa sura, hata kwa sauti au maandishi yake waweza kujua tabia zake na yale anayoyapenda na kuyachukia.
Ongezoko la bloggers wa kitanzania linaonekana kukua kwa kasi sana na kwa takwwimu za haraka haraka wengi wao ni wana habari (waandishi, wapiga picha na watangazaji) katika vyombo mbalimbali vya habari ndio waliojikita katika kupasha habari kwa staili hii ya blogu. Kama inavyofafahmika, waandishi wa habari wanadhamana kubwa katika jamii na pengine wale wanaojua kwa hakika maadili ya kazi zao wamekuwa wakizingatia hata pale wanapotakiwa kuandika kwa ajili ya maslahi yao binafsi.
Ukijaribu kutafiti kupitia blogu nyingi sana na wenzetu wana habari unatona kuwa yale yanaoandikwa na baadhi yao ni kana kwamba wahusika huwa hawafikiri na japo wana haki ya kuandika kwa maana ya kwamba wao ndio wamiliki wa hizo blogu zao, lakini haileti maana kama hata kufikiri athari ya kile unachokiandika na lugha unayotumia inakuanika wewe binafsi na kutosaidia jamii ambayo ingejifunza kutokana na yale unayoandika.
Kwa mfano, katika moja ya blogu, mmiliki wa blogu hiyo anaandika haya hapa chini ambayo ni wazi kabisa ilikuwa ni sehemu ya kazi ambayo awali alifanya ofsini kwake na lakini badae anaamua kuianika tena kwenye kwa staili ya majungu kwenye blogu yake ili mradi tu blogu ionekane ina habari:
Jamani kama twataka ufanisi, basi tukae chini, tufikiri, tujifunze toka kwa wenzetu ili tuweze kuboresha na si kukurupuka na kufanya kile ambacho pengine hakina mwelekeo wa kitaaluma wala kujenga jamii.
Ongezoko la bloggers wa kitanzania linaonekana kukua kwa kasi sana na kwa takwwimu za haraka haraka wengi wao ni wana habari (waandishi, wapiga picha na watangazaji) katika vyombo mbalimbali vya habari ndio waliojikita katika kupasha habari kwa staili hii ya blogu. Kama inavyofafahmika, waandishi wa habari wanadhamana kubwa katika jamii na pengine wale wanaojua kwa hakika maadili ya kazi zao wamekuwa wakizingatia hata pale wanapotakiwa kuandika kwa ajili ya maslahi yao binafsi.
Ukijaribu kutafiti kupitia blogu nyingi sana na wenzetu wana habari unatona kuwa yale yanaoandikwa na baadhi yao ni kana kwamba wahusika huwa hawafikiri na japo wana haki ya kuandika kwa maana ya kwamba wao ndio wamiliki wa hizo blogu zao, lakini haileti maana kama hata kufikiri athari ya kile unachokiandika na lugha unayotumia inakuanika wewe binafsi na kutosaidia jamii ambayo ingejifunza kutokana na yale unayoandika.
Kwa mfano, katika moja ya blogu, mmiliki wa blogu hiyo anaandika haya hapa chini ambayo ni wazi kabisa ilikuwa ni sehemu ya kazi ambayo awali alifanya ofsini kwake na lakini badae anaamua kuianika tena kwenye kwa staili ya majungu kwenye blogu yake ili mradi tu blogu ionekane ina habari:
Kuna kipindi nilifanya interview na Hemed katika ala za roho a star Request ..
Nikamuuliza PHD Ya kuwa eti una ugomvi na Yusuph Mlela na yeye akajibu hawez kuwa na Beef na MTU ANAEJULIKANA CLUB BILICANAS,MAISHA NA KINONDONI ..
Na chicks anaotoka nao yeye hawawezi kutoka na mlela kwani yeye ni Next level na anajulikana across Africa na Mlela yeye sio levol yake ...
Hemed akaendelea kusema kuwa eti jamaa alikuwa kama ndugu yake na baada ya kuona hemed katoka kupitia Tusker Project fame na kuingia katika Movie Industry ndo hapo sasa Akaanza nuna na kuanza Kumchuniachunia ila the story inasema hawa jamaa wali share msichana,yaani msichana wa hemed alikuja kutoka na Mlela ndio chanzo cha Beef lao na Mpaka sasa Hawaelewani na ni full Masharobalo records lips hazina lipshine nilambe na ulimi lol ..
ila kusema ukweli hemed alikana hizi habari na kusema sio kweli ni kwamba yeye kamzidi mlela na kingine chicks zake hawawezi toka na mlela kwani hana hadhi hiyo doe .. nasema tena doe kazi ipo ..
ila mlela hes such a good boy trust me so sijui whats up will holla at him nisikie side yake ya Pili coz kusema ukweli .. Ni aibu wanaume kununiana na kujisifusifu ovyo
u guys shuld work together as a team bana ..nyie young blood kabisa what the heck khaaa...
eti mnaonaje ??wanaume wanaonuniana ??
Hivi karibuni kuna Binti anaitwa Radhy ali andika status kupitia facebook na kumponda hemed na kusema unajiita PHD and sifa kibao while yo stil livin witcha mama ..kama wewe ni the best si uishi mwenyewe
banaaa ..hemed una lakusema rafiki yangu?wewe kuishi na yo mama still??
http://www.diva255.com/2010/05/told-u-its-gossip-site-either-eti-mlela.html
Posted by Diva at 5:35 PM
Jamani kama twataka ufanisi, basi tukae chini, tufikiri, tujifunze toka kwa wenzetu ili tuweze kuboresha na si kukurupuka na kufanya kile ambacho pengine hakina mwelekeo wa kitaaluma wala kujenga jamii.