Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Source:gazeti la kiu,Jamaa amefulia na hana hela,Mkewe anamzingua,hakuna maelewano kabisa::
0 Reactions
21 Replies
11K Views
naombeni msaada wa kumjua kwa undani huyu mtu,kuna mtu alikuwa ananidokeza kuwa karibu nusu ya serikali ya kikwete walikuwa kama si wafanya kazi wa rosta basi ni marafiki katika biashara...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
hivi ni kwel kwamba AY anammanage cpwaa na shaa...???? Yan ndo anawataftia michongo ya nje??? Iz it tru??? Kama ndo hvo?? Mbona AY mwenyewe mchovu tu!!!!!!??
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Yule Jamaa aliyewahi kuwa Waziri wa mambo ya ndani ni Mkurugenzi wa ECO na Mimi sijui hiyo ECO inafanya kazi gani au ameanzisha Ofisi ya Ulinzi?
0 Reactions
87 Replies
13K Views
[Verse] Yea... Yea... Ay yo The things I've seen in life will make you choke by suprise Like an aborted fetus in a jar that opened it's eyes Provoking my demise, I'll leave your spirit broken...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
She is our Taarab star hilo sina ubishi nalo na ninamuheshimu sana. Tatizo la Bi Kidude ni umri wake kila siku kubadilika mara miaka 104, mara 70 mara 99......... Ila ananiachaga hoi kwa vituko...
0 Reactions
39 Replies
11K Views
The Brodus The legendary Snoop Dogg Broadus na mkewe Shante Taylor na watoto wao Cori, Cordell and Corde. The Simmons Familia ya Russels Simmons The Smiths- The Jacksons-Ice cube family...
1 Reactions
8 Replies
7K Views
  • Closed
huyu miss tanzania wa mwaka 2004 asiyekuwa na kashfa ameolewa na naibu waziri wa viwanda, biashara na masoko bwana lazaro nyalandu.. ni wachumba au ndugu?? Nimeona kny gazet la leo la mwananchi...
0 Reactions
38 Replies
11K Views
  • Closed
Yampita majuma kadhaa huyu mzee wetu Mjasiriamali Reginald Mengi simuoni wala sijamsikia kwenye vyombo vya habari kama kawaida yake. Nimeshangaa sijamuona hata kwenye msiba wa mtangazaji maarufu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari. Nmesikia Mtangazaji aliekua akiripoti habari za BBC wa hapa kwetu Bongo amefariki leo asubhi. Source: Radio Tumain, mtangazaji wakati wa kipindi cha magazeti...nae ametumiwa msg...
0 Reactions
123 Replies
16K Views
Anselm Soggy The-Entertainer ‎-Jamani nakumbuka mwaka 98 au 99 nilimuandikia wimbo Florence Kassela maarufu kama DATAZ na nikashirikiana nae pia kuuimba huo wimbo na tuliurekodi kwa Enrico...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani kama kuna mwana Jf yoyote katika fukwe za coco ajongee karibu tutakiane heri ya mwaka mpya.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Babu wa loliondo hv yupo wapi??????????/mbona kimya????
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ujumbe uliomo kwenye mashairi /nyimbo zao hauhitaji wavae mavazi ya uchi kuutambulisha muziki wao. Kama unafahamu zaidi kuwa huru kuchangia lakini baadhi ya nyimbo zao ni Maembe: Sumu ya Teja...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Dah, nimemmis sana jama hasa kwenye sakata la Kafulila, jamaa kapotea sana lakini sina shaka kwamba HAYUKO INDIA, mwenye taarifa au mawasiliano naye tafadhali mumwambie japo atutakie heri ya mwaka...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
John Ngahyoma Broadcaster Ngahyoma dies in Dar es Salaam Seasoned journalist John Ngahyoma (50) has died in Dar es Salaam after a long battle against liver cancer, his brother also a journalist...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwanamuziki Andy Swebe a.k.a Ambassodar aliyepata kuvuma sana na kundi la MK GROUP enzi zile akipiga gitaa la base, leo asubuhi amefariki dunia baada ya kubanwa na pumu. Msiba upo Kijitonyama...
2 Reactions
29 Replies
6K Views
Jamani, Nasikia amefariki asubuhi ya leo. Chanzo: Idhaa ya Kiswahili ya BBC jioni leo tarehe 30 Desemba 2011.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni mtangazaji wa TBC Taifa amefariki alfajiri ya kuamkia leo saa 9 kwa presha. Source: TBC Taifa
2 Reactions
98 Replies
22K Views
Marijani Rajabu a.k.a. Doza akiwa bado kinda! Muone Marijan Rajabu katika onyesho 'live' Wengi humfahamu Marijani Rajabu kama mtunzi na muimbaji, lakini alikuwa pia mpiga gitaa mahiri...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…