naombeni msaada wa kumjua kwa undani huyu mtu,kuna mtu alikuwa ananidokeza kuwa karibu nusu ya serikali ya kikwete walikuwa kama si wafanya kazi wa rosta basi ni marafiki katika biashara...
hivi ni kwel kwamba AY anammanage cpwaa na shaa...???? Yan ndo anawataftia michongo ya nje??? Iz it tru??? Kama ndo hvo?? Mbona AY mwenyewe mchovu tu!!!!!!??
[Verse]
Yea... Yea... Ay yo
The things I've seen in life will make you choke by suprise
Like an aborted fetus in a jar that opened it's eyes
Provoking my demise, I'll leave your spirit broken...
She is our Taarab star hilo sina ubishi nalo na ninamuheshimu sana. Tatizo la Bi Kidude ni umri wake kila siku kubadilika mara miaka 104, mara 70 mara 99.........
Ila ananiachaga hoi kwa vituko...
The Brodus
The legendary Snoop Dogg Broadus na mkewe Shante Taylor na watoto wao Cori, Cordell and Corde.
The Simmons
Familia ya Russels Simmons
The Smiths-
The Jacksons-Ice cube family...
huyu miss tanzania wa mwaka 2004 asiyekuwa na kashfa ameolewa na naibu waziri wa viwanda, biashara na masoko bwana lazaro nyalandu.. ni wachumba au ndugu?? Nimeona kny gazet la leo la mwananchi...
Yampita majuma kadhaa huyu mzee wetu Mjasiriamali Reginald Mengi simuoni wala sijamsikia kwenye vyombo vya habari kama kawaida yake. Nimeshangaa sijamuona hata kwenye msiba wa mtangazaji maarufu...
Habari.
Nmesikia Mtangazaji aliekua akiripoti habari za BBC wa hapa kwetu Bongo amefariki leo asubhi.
Source: Radio Tumain, mtangazaji wakati wa kipindi cha magazeti...nae ametumiwa msg...
Anselm Soggy The-Entertainer
‎-Jamani nakumbuka mwaka 98 au 99 nilimuandikia wimbo Florence Kassela maarufu kama DATAZ na nikashirikiana nae pia kuuimba huo wimbo na tuliurekodi kwa Enrico...
Ujumbe uliomo kwenye mashairi /nyimbo zao hauhitaji wavae mavazi ya uchi kuutambulisha muziki wao. Kama unafahamu zaidi kuwa huru kuchangia lakini baadhi ya nyimbo zao ni
Maembe: Sumu ya Teja...
Dah, nimemmis sana jama hasa kwenye sakata la Kafulila, jamaa kapotea sana lakini sina shaka kwamba HAYUKO INDIA, mwenye taarifa au mawasiliano naye tafadhali mumwambie japo atutakie heri ya mwaka...
John Ngahyoma
Broadcaster Ngahyoma dies in Dar es Salaam
Seasoned journalist John Ngahyoma (50) has died in Dar es Salaam after a long battle against liver cancer, his brother also a journalist...
Mwanamuziki Andy Swebe a.k.a Ambassodar aliyepata kuvuma sana na kundi la MK GROUP enzi zile akipiga gitaa la base, leo asubuhi amefariki dunia baada ya kubanwa na pumu. Msiba upo Kijitonyama...
Marijani Rajabu a.k.a. Doza akiwa bado kinda!
Muone Marijan Rajabu katika onyesho 'live'
Wengi humfahamu Marijani Rajabu kama mtunzi na muimbaji, lakini alikuwa pia mpiga gitaa mahiri...