KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Marijani Rajabu a.k.a. Doza akiwa bado kinda!
Muone Marijan Rajabu katika onyesho 'live'
Wengi humfahamu Marijani Rajabu kama mtunzi na muimbaji, lakini alikuwa pia mpiga gitaa mahiri, kama anavyoonekana katika video hii wakati yuko katika kundi lililokuwa na staili wakiiita 'Mahepe Ngoma ya Wajanja'. Hii ni clip fupi kati ya nyingi zitakazoonekana katika kipindi cha TV kitakachoanza kuwa hewani karibuni ili kuhifadhi historia ya sanaa zetu Tanzania.(JOHN KITIME)
Marijani rajabu1 - YouTube
Hapa pata bonus truck kitu mwajuma toka kwake "doza' marijani rajabu,unakumbuka wapi?
mwajuma- MARIJANI RAJAB - YouTube